Ukweli kwa walimu

Ukweli kwa walimu

Ni nani aliyepata À mathematics au À chemistry ni mwalimu, walimu wengi ni watu waliofeli darasani, Mtu akishindwa Maisha anakimbilia kusoma ualimu apate ajira mapema
Kumbe walimu ni mabingwa sana, wamepata hesabu F, halafu wanamfundisha mtu hesabu hiyo hiyo iliyowashi da halafu mfundishwaji anapata A!!!! Marvelous!!
 
Ni nani aliyepata À mathematics au À chemistry ni mwalimu, walimu wengi ni watu waliofeli darasani, Mtu akishindwa Maisha anakimbilia kusoma ualimu apate ajira mapema
Bila shaka kuna ticha kakuchapia demu wako

Sio kwa hizi chuki binafsi
 
fanya uchunguzi kwanza kabla ya kuongea.je unajua wanachofundishwa waalimu vyuoni. na kwann awe engnier alafu umkute shulen akishika chaki wakat c eneo lake la kazi.be care
Engineer anaishia kushika chaki
Hana ubunifu

Tenda wanapewa wachina wao wanabaki kuwa manamba tu
 
Watu wengi ambao hawakusoma ualimu ndio wanaojua vizuri masomo ya hisabati, kemia na biolojia, Tatizo mfumo uliopo ndio uliwafanya wasome kozi zingine, Ukichukua watu waliosoma Engineering au Commerce wapo vizuri kwenye hesabu kuliko walimu waliosomea darasani.

Hivyo hawa walimu tulionao wa Science wengi ni vilaza sana, Fuatilia masomo ya kidato cha tano wengi hufundishwa na watu ambao hawana mpango wa ualimu na wapo vizuri, Naunga mkono serikali ikague vyeti vyao walipata nini huko sekondari, utawezaje fundisha hesabu kidato cha sita wakati ulipata herufi za mwisho darasani.
Ualimu ni wito wapo waliofanya vizur walikuwa na sifa za kwenda engineering, doctor lkn wakaenda ualimu sio kila aliesomea ualimu ame misfit kwenye kada zingine ualimu sio dumping place walio weng wanadharau kwasababu za kiuchumi tu na dhana potofu miongoni mwetu kiukweli serikali haijatilia mkazo sana kwenye maslahi ya walimu kwasababu ya wingi wao
 
Back
Top Bottom