Ukweli kuhusu wewe na dunia

Ukweli kuhusu wewe na dunia

Ukiwa upo katika imani fulani itakuwa ni vigumu sana kuelewa hii mada.

Mkuu dunia ya sasa inapoenda you can not afford to be netraul, upepo wowote utakao vuma utakupeleka..na ninaamin kila mtu ana imani yake either your luciferian or God believer...kama hupo hapo katikati ni mbaya kwasababu ujui unapoenda ni kama kipofu tu...Heri kuamin kuna Mungu alafu umkose, kuliko kuamini hakuna Mungu halafu umkute
 
Ndio hicho ambacho ninacho kiongelea msingi wa OWO ulijengwa katika msingi wa kuwagawa watu. Kidini, Kinchi na kikabila au kitabaka.
NWO lengo lake ni kuweka dunia kama planet as the one.
Hebu fikiria unasafiri kwenda nchi yeyote bure bila kulipa, unakula bila kulipa unakaa kwenye nyumba bila kulipa. Central system inashughulikia kila kitu duniani as one. Hapo hakutakuwa na utofauti mwenye nacho na asiye nacho na tutakuwa na better planet. Tutaanza kufikiria kwenda planet zingine. Please open your mind.

Tatizo lililopo ni kuitokomeza OWO ile ya kikatili ya kibaguzi na kutumikia watu wachache. I like NWO

Naushindwe kwajina la Bwana wetu Yesu Kristo
 
Nasikia binadamu duniani ni sawa buu juu ya jani la mti. Anapozunguka kwenye jani anafikiri dunia yote ni ile tu, kumbe kuna msitu una majani kwa mabilioni yamemzunguka...dunia ina mengi ya kujifunza ndugu zangu.
 
Deceptions...dotrine ya lucifer...oneness haikupeleki popote hii new age religion inawapotosha wengi...hata Ophray alileta hii mada kwenye talk show zake wamama alimletea shida...Hivi wewe kama binadamu ukikaa usiku na mchana ukiangalia juu angani..hata basi zile images za hubble telescope utajua jinsi ulivyo mdogo the universe is infinity...sasa how can you redem yourself...ndo maana Yesu alisema yeye ndio njia na kweli...hakusema kwa kubatisha halijua watu kama nyie mtakuja potea njiani...Hiyo doctrine sio kabisa...hata Lucifer aliamini anaweza kuwa mungu now he is working among us...

Huo udogo unaouongelea hata yesu alikuwa nao
 
Mkuu dunia ya sasa inapoenda you can not afford to be netraul, upepo wowote utakao vuma utakupeleka..na ninaamin kila mtu ana imani yake either your luciferian or God believer...kama hupo hapo katikati ni mbaya kwasababu ujui unapoenda ni kama kipofu tu...Heri kuamin kuna Mungu alafu umkose, kuliko kuamini hakuna Mungu halafu umkute

Hizo ni kauli za kujikatia tamaa mzazi
 
Huo ni ukweli. New World order.Au new age of Aquarius
 
Ukiwa upo katika imani fulani itakuwa ni vigumu sana kuelewa hii mada.
Ndugu unanikwepa sana. jibu hoja zangu namba 273 na 276 ili twende sawa. ulisema utajibu naona unajibia pembeni kukwepa
 
Mkuu dunia ya sasa inapoenda you can not afford to be netraul, upepo wowote utakao vuma utakupeleka..na ninaamin kila mtu ana imani yake either your luciferian or God believer...kama hupo hapo katikati ni mbaya kwasababu ujui unapoenda ni kama kipofu tu...Heri kuamin kuna Mungu alafu umkose, kuliko kuamini hakuna Mungu halafu umkute


Dunia ya sasa haina uhusiano wowote na swala lako la kuwa bendera fata upepo, na kuna watu wa aina nyingi kuliko hao ulowataja. Na wala sio lazima uwe luciferian wala God believer.

Hii kauli yako tu ya kuwa ni heri kuamini kuna Mungu halafu umkose kuliko kuamini hakuna Mungu halafu umkute inadhihirisha jinsi ambayo mnabahatisha na wala hamjui unachokiamini.

Kwa taarifa yako tu ni kwamba sio kwamba tunaamini hakuna Mungu, bali ndivyo ilivyo kwamba Mungu hayupo hiyo sio imani.
Imani ni hiyo mnayoamini kuwa Mungu yupo wakati mnajua fika kuwa hilo swala halina ushahidi wowote ule.
 

View attachment 299038

Hivi ndio vitu mnataka tuamini? Where is the free mind wakati mmeshamuweka huyo joka lenu. Mbaya zaidi mnamuweka Lucifer katika utukufu fulani. Nimejaribu kusoma huo upuuzi huko nikakuta nako kuna mkanganyiko kweli. Yaani picha, clips, maelezo ni very confusing. Ni ushetani fulani, japo si kila lililoandikwa huko si sahihi. Na hii ishu ya mpinga Kristo niliisikia kitambo sana kabla hata sijabalehe, miaka ya themanini huko. Naona sasa mambo yanaanza kujidhihirisha. Labda uniambe kuwa hao walioweka OWO ndio wanaoiweka NWO na si vinginevyo.

Nilikuwa nina fikiria sana ninamuna gani ninaweza kukujibu. Na nimejaribu kukujibu kwa njia fulani lakini kwa kweli umeshindwa kunielewa.

Hiyo michoro na picha tofauti tofauti unaweza kujaribu kuziangalia na kutafsiri vyovyote unavyoweza kutafsiri.
Lakini jambo kubwa unalitakiwa kuelewa ni kwamba, vitu unavyo viona na ullivyojifunza kutoaka ukiwa mtoto mdogo sio ukweli wa mambo. Umekuta wazazi na watu wakikuambia kuhusu shetani na nk na wewe ukawa umeweka kwenye akili yako kitu hicho.

Mimi ninacho weza kukueleza ni hebu jaribu kwenda zaidi kidogo kutulia na kutoa mda kwaajiri ya nafsi yako. Ninakuhakikishia utaanza kubadirika.
 
Fiki nnkamu...tukulonda ikisu ikipya=NWO

mma mmanya keta utundu utu mukujobha to twa setano gwe, nguswigha mukuti tata akajapo afu mutikutika kabisa yn! kali munwile fiki wagwitu.
 
Dunia ya sasa haina uhusiano wowote na swala lako la kuwa bendera fata upepo, na kuna watu wa aina nyingi kuliko hao ulowataja. Na wala sio lazima uwe luciferian wala God believer.

Hii kauli yako tu ya kuwa ni heri kuamini kuna Mungu halafu umkose kuliko kuamini hakuna Mungu halafu umkute inadhihirisha jinsi ambayo mnabahatisha na wala hamjui unachokiamini.

Kwa taarifa yako tu ni kwamba sio kwamba tunaamini hakuna Mungu, bali ndivyo ilivyo kwamba Mungu hayupo hiyo sio imani.
Imani ni hiyo mnayoamini kuwa Mungu yupo wakati mnajua fika kuwa hilo swala halina ushahidi wowote ule.

That is the reality which you choose too see, amna watu wa haina nyingi...the are only two side, so which side are you? Usidanganyike kwasababu ya majina ndo ukasema ni tofauti basi ziko nyingi...jiulize nini kilichopo ndani yake? Ni kama mito, bahari, Maziwa na mabawa ni tofauti kwa majina lakini vyote kuna maji ndani yake
 
"No one will enter the New World Order unless he or she will make a pledge to worship Lucifer. No one will enter the New Age unless he will take a Luciferian Initiation."-David Spangler, Director of Planetary Initiative, United Nations
 
Back
Top Bottom