Hiyo inayoleta hizo vita ni OWO iliyotugawa sisi kwa matabaka. Imetugawa Kidini, Kinchi, kimakundi nk.
Lakini NWO inatuweka pamoja na hakutakuwa na nchi ya kujitegemea maana tutakuwa na serikali moja. Hakuna mtu atakayekuwa (pekee yake ) anamiliki uchumi Hakuna ubepari.
Be Illuminati upate mwanga.
Lakini mkuu vurugu zote hizi duniani unataka kuniambia kwamba ipo siku dunia itakuwa moja?au mwenzetu upo sayari nyingine na niliyopo mimi,umesikia kilichotokea jana Garissa Kenya,unayasikia yanayotokea Iraq na Syria waarabu wa #ISIS kwa visasi vyao wanawachinja mateka wa kizungu,wenyewe kwa wenyewe wanachinjana yaani ni kusema kwamba Palestine itokee siku akae na Israel wawe kitu kimoja bila vurugu zozote,America na vitisho vyote vya kigaidi aruhusu unknowns people waingie na kutoka bila searching yoyote airport na ktk vituo vya treni? Annael labda uniambie hao unaosema sijui NWO wataleta gharika kama aliyoileta Mungu kipindi cha Nuhu iangamize dunia nzima then hao watakaoishi baada ya hapo ndo wataiishi hiyo NWO yao ila sio kizazi hiki ni kujidanganya kaka.
View attachment 240091
Jicho la tatu ndilo linalotufanya tuone vitu kwenye ulimwengu wa 4D.
Kwa sababu ni mda mrefu sana haujawahi kulitumia jicho hilo ni vyema kuanza kufanaya mazoezi jinsi ya kulitumia. Tafuta sehemu iliyotulia. ambayo hakuna kelele kelele. Au ikiwezekana jifungie chumbani na uzime taa.
Hatua utakazo fanya ni unakaa vizuri mikono yako weka kwenye magoti.
Fumba macho yako haya mawili. Kaa kimya kwa mda wa dakika kama 6 - 10 hivi. Vuta hewa kwa kutumia pua na itoe kwa kutumia mdomo. Fanya hivyo taratibu taratibu. wakati mwingine ukiwa unaanza utasikia kichwa kinauma. Usihofu hiyo ni kawaida.
Anza kutoa sauti kwa taratibu ukisema MEYIIIIIIIIIIIIII, MEYIIIIIIIIIII. Bada ya mda jicho la tatu litaanza kufunguka taratibu. Kwa sababu mda mrefu hujawahi kulifumbua utaona giza giza vitu vitu usivyo vielewa. Fanya hivyo kwa mda wa wiki mbili tayari utakuwa umezoea utaanza kuwa na uwezo sana.
Utaanza kujua vitu vingi sana na kuanza kujielewa sasa wewe ni nani na unanguvu gani. Nitakueleza siri hiyo wanatumia akina nani na inaleta matokeo gani. Hakuna uchawi hapa mtu asikudanganye. Ni wewe tu jinsi ya kujielewa.
Je unafahamu Cosmic energy? Je umewahi kusoma kuhusu Element?Nimesoma pachiko lako lote, na nilichokiona ni kuwa, unatangaza ushetani katika vazi la NWO basi. Hebu niambie, je NWO inaweza kujibu haya maswali?.
1. Kwa nini kuna dunia?
2. Kwa nini dunia ina watu?
3. Kwa nini kuna matatizo duniani?
4. Je, mtu akishakufa anaenda wapi?
Kama hao wapuuzi wa illuminat wanaweza kuwa na majibu ya maswali hayo, sitakuwa na maana ya kusali.
OLD WORLD ORDER........... Msingi wa NWO unataka kuwafaidisha watu wote. Kuwa na kitu kimoja kwa ajili ya wote. kama kutumia pesa kutumia pesa ya aina moja kwa manufaa ya watu wote...............
...........Hebu fikiria unasafiri kwenda nchi yeyote bure bila kulipa, unakula bila kulipa unakaa kwenye nyumba bila kulipa.............
........Lazima kuwe na system moja inayo simamia mambo yote Diniani ndio conflict zitaisha.
.....
........Coflict zipo kwa sababu za Kidini, Kikabila, Kinchi nk. Lakini hayo yote yakiisha wanadamu tutaishi kwa raha bila kubaguana.....
.........Ni nchi kubwa kubwa ndio ambao hawataki NWO
Je unafahamu Cosmic energy? Je umewahi kusoma kuhusu Element?
Na ukiangalia maswali uliyouliza unataka kutuaminisha kuwa uwepo wa OWO ndio sahihi. Socrates alisema hata kama sina majibu mimi hapa kuna mtu atatokea mmoja duniani na kuprove kuwa dunia imetokea wapi.
Hapa tunataka proof za Kihisabati na sayansi isipokuwa na proof za kisayansi ni upuuzi.
Hiyo inayoleta hizo vita ni OWO iliyotugawa sisi kwa matabaka. Imetugawa Kidini, Kinchi, kimakundi nk.
Lakini NWO inatuweka pamoja na hakutakuwa na nchi ya kujitegemea maana tutakuwa na serikali moja. Hakuna mtu atakayekuwa (pekee yake ) anamiliki uchumi Hakuna ubepari.
Be Illuminati upate mwanga.
...........Iko proved UN na lazima itokee...........
........... Akina Bush sasa hivi wanahaha na biashara zao ndio wanaotoa uvumi kuhu upinga kristo............