Ukweli kuhusu wewe na dunia

Ukweli kuhusu wewe na dunia

JINSI YA KUTUMIA JICHO LA TATU
Unajua mtu anaishi katika sehemu mbili Katika ulimwengu wa 3D na katika ulimwengu wa 4D.
D= Dimension.
Katika ulimwengu wa 3D ndio huu unaoniwezesha sasa naandika haya kwenye kompyuta na nikiangalia ninaona jua magari na tunaenda shule kusoma nk. Ni ulimwengu huu ambao umeuzoea siku zote tuna kula na kunywa. Katika ulimwengu huu tunatumia macho mawili na huku tunashangaa kwanini watu wengine wanafanya miujiza wakati sisi wengine hatuwezi? Au kwanini watu wengine wanatabiri wakati sisi hatuwezi?

Hawa watu wanaweza wakafanya hivyo kwa sababu wanaweza wakatumia jicho la tatu ambalo mtu akiwa mtoto mdogo au mchanga huwa lipo active. Na kadri anavyozidi kuwa mkubwa jicho hilo hufumbwa na kufanya asiweze kuona tena vitu vilivyo kwenye 4D.

Watu wanafanya mambo hayo ni kwa sababu wanauwezo wa kufumbua jicho la tatu na kuona vitu vilivyo kwenye 4D. Huo uwezo wa kufumbua hilo jicho ndio unaosababisha watu wanafanya miujiza wanatabiri na wanafanya vitu vingi ambavyo havionekani.

Kwa sababu mtu amefumba jicho hilo kwa mda mrefu huwa inamchukua mda kuwa na uwezo wa kulifumbua jicho hilo. La kini kwa maelekezo maalumu jicho hilo linaweza likafumbuka. Jicho la tatu linakufanya uone ulimwengu mwingine tunaoishi sisi ambao ni mzuri sana. Tafauti na huu ambao umeharibiwa na watu wachache. Mantiki ya sisi kuwepo ni kuufanya ulimwengu huu ufanane na ulimwengu ulio kwenye 4D. Uoga na kuogopeshwa kumewafanya watu wasiweze kabisa kuingia katika ulimwengu huo.

Nitajaribu kueleze jinsi ya kuingia katika ulimwengu huo hatua kwa hatua na ndipo sasa utaanza kujielwea wewe mtu ni wa namna gani je ni nguvu gani uliyo nayo ambayo umefungwa na watu wachache walioweka kanuni zao ili wewe upumbazike.
Naomba uni call
 
Utaona mtu anatajirika ghafla au cheo chapchap kumbe anatumia jicho la tatu . Atakuambia Mungu kampa, kana kwamba Mungu ana upendeleo. Njia uliyosema kweli unaweza kutumia jicho la tatu? Hata dakika moja tu nijue kuna nini?
 
Annael naomba uendelee nasomo mie nipitie comment mojamoja
 
freemason, hii jamii iko na mambo mengi ya siri , ambayo binadamu uliyejificha chini ya mwavuli wa dini hutokaa ujue, mpaka unazikwa, but ni moja ya jamii muhimu sana iwapo hutosikiliza propaganda. na hizi propaganda zina maana yake kwa binadamu wa levo ya chini, kuwapumbaza
 
mkuu unaonekana una uelewa ila kabla hii Nwo haijaanza rasmi malaika wa Mungu watapita duniani kote kuwatia ishara ktk paji la uso watu wa Mungu na nafas itakayobaki ni kwa wale kondoo ambao hawajawah kuwa ktk zizi la kristo ila waliyashika na kuyatii aliyoyafundika. Kitabu cha ufunuo, mathayo 24 na Daniel vina maelezo zaidi
Alifundishwa babu mpaka mjukuu NA vilembwekeze Wanatumia anyway sitaki kupotosha imani yakoo
 
Write your reply...Kumbe wewe ni illuminate halafu unataka watu Waite meyii we unadanganya wasiojielewa, laiti yanauotokea yangekuwa tofauti na biblia ilivosema ningekuamini ila mnayoyatetea biblia ilishatuonya, na nikwambie tu ili dunia iwe salama nivlazima tufute kitu kinaitwa utawala. tukifuta utawala watu wajitawale dunia itakuwa salama lakini kuwa na serikali moja ya dunia utatokea utumwa ambao haujawahi kutokea.
 
View attachment 240091
Jicho la tatu ndilo linalotufanya tuone vitu kwenye ulimwengu wa 4D.
Kwa sababu ni mda mrefu sana haujawahi kulitumia jicho hilo ni vyema kuanza kufanaya mazoezi jinsi ya kulitumia. Tafuta sehemu iliyotulia. ambayo hakuna kelele kelele. Au ikiwezekana jifungie chumbani na uzime taa.

Hatua utakazo fanya ni unakaa vizuri mikono yako weka kwenye magoti.
Fumba macho yako haya mawili. Kaa kimya kwa mda wa dakika kama 6 - 10 hivi. Vuta hewa kwa kutumia pua na itoe kwa kutumia mdomo. Fanya hivyo taratibu taratibu. wakati mwingine ukiwa unaanza utasikia kichwa kinauma. Usihofu hiyo ni kawaida.
Anza kutoa sauti kwa taratibu ukisema MEYIIIIIIIIIIIIII, MEYIIIIIIIIIII. Bada ya mda jicho la tatu litaanza kufunguka taratibu. Kwa sababu mda mrefu hujawahi kulifumbua utaona giza giza vitu vitu usivyo vielewa. Fanya hivyo kwa mda wa wiki mbili tayari utakuwa umezoea utaanza kuwa na uwezo sana.

Utaanza kujua vitu vingi sana na kuanza kujielewa sasa wewe ni nani na unanguvu gani. Nitakueleza siri hiyo wanatumia akina nani na inaleta matokeo gani. Hakuna uchawi hapa mtu asikudanganye. Ni wewe tu jinsi ya kujielewa.
Mh!
 
Mojawapo ya mabandiko bora, kupata kukutana nayo.Annael, Annael Asante.
 
Mimi nilipokea ukristu kizuzu bila kujua. Sasa nimepata kamwanga fulani kanakoniruhusu kuhoji kuhusu "ufufuko" "is resurrection a historical event?". I'm doubting, let me see at the end of my life. When the soul will come out of the body, is the time to see the reality. No body knows the truth.
 
Back
Top Bottom