Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,748
Hayakuhusu!
kama haituhusu ulileta hapa ya nini?
Ndio maana nasema wewe kijana una mtindio
Hayakuhusu!
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.
Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.
Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.
VIVA UVCCM VIVA.
Hili ndo kosa kubwa la CCM. Angalia kuna wakati kitengo cha uenezi kiliongozwa na wahamiaji (Tambwe, yule kijana ambaye ni Mkuu wa Wilaya etc). Hivi ni sawa na walivyompa Nape (CCJ) hii nafasi. Inasikitisha kwa kuona mtu ambaye anakuwa mwenezi wakati ni kigeugeu. Hii ni sawa na kumfanya Receptionist mtu ambaye haijui vizuri taasisi. Msemaji wa Taasisi ni mtu ambaye siyo subject matter specialist. Naona kuna viongozi wa CCM wanapenada kuiua. Hivi huwa najiuliza sababu za kumweka Mzee Wasira katika CC sipati jibu. Jua ukimkamata mke/mme anacheza mechi za mchangani usidhani kaacha!!!!! Anyway CDM yetu tujifunze kutokana na makosa yao........ Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.
Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.
VIVA UVCCM VIVA.
Ganz mbona wewe ulikuwa mvuta bangi maarufu na mtoro....so tukuhukumu kwa historia yako...
Mods Tunaomba huyu jamaa athibitishe kauli yake tofauti na hapo sheria ichukue mkondo wake.
Nimemwachia Josephine Mushumbuzi aendelee nayo!!!
Stupidest thread from studpest of allKwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.
Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.
Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.
VIVA UVCCM VIVA.
Kweli hela yetu kupitia HESLB ilipotea bure!
Ni bora ngalipewa marehemu Matonya
njaa mbaya sana mwalim wewe si saizi ya mbowe kabisa wala slaa,, hata kama dj or padre si saiz yako brooSio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
Slaa anaelimu ya Theologia(dini) na mbowe ana zero form six Ihungo secondary but mimi nina Degree kwa hio kweli hawa jamaa sio size yangu.