Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Njaa mbaya sana umeona uji hautoshi bora ukimbilie keki ya ufisadi kwa magamba....
attachment.php

Hapo ndio nyumbani kwetu karibu sana.
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

Duh hicho kitengo ulikua nacho tokea ukiwa BAVICHAA au kilikua wazi kukusubiri? Ina maana UVCCM hawakua na mtu makini wa kuweza kushika hiyo nafasi...??? Hongera sana, inaonesha ni namna gani BAVICHA ilivyo na vijana makini ambao wakitoka tu hawakosi nafasi UVCCM.
 
Mtela Mwampamba wa CCM, UMEMALIZA!

Hawa pro CHADEMA walidhani upo CCM kwa kutanga tanga?, you're in CCM to stay, we're all in CCM to stay. Period.
 
Duh hicho kitengo ulikua nacho tokea ukiwa BAVICHAA au kilikua wazi kukusubiri? Ina maana UVCCM hawakua na mtu makini wa kuweza kushika hiyo nafasi...??? Hongera sana, inaonesha ni namna gani BAVICHA ilivyo na vijana makini ambao wakitoka tu hawakosi nafasi UVCCM.

Mkuu Mark...huyu jamaa ni debe tupu.....BAVICHA walimwona hafai ndo maana wakamtimua...Afu kule Mbozi 2015 Tunamweka CHENZA kaka
 
Mtela Mwampamba wa CCM, UMEMALIZA!

Hawa pro CHADEMA walidhani upo CCM kwa kutanga tanga?, you're in CCM to stay, we're all in CCM to stay. Period.

Hahahah...Na wewe nawe...Joblesss......kukalia JF tu......Ni aibu kuwa na vijana au wazee kama wewe katika taifa hili.....Hivi kwa mtu anaemwona Mwampamba ana akili....duh...huyo atakuwa ndo hamnazo.....huyu Stella ni makapi ya Bavicha alitimuliwa....Na hata nyie CCM amewasaidia nini hadi sasa?
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

pole ila acha uhuni utapa ban ya milele.
 
Nani kampongeza huyu jamaa kuleta bandiko bila kumtaja Slaa au CDM? naomba siku nyingine usitoe pongezi mapema mpk ujiridhishe ,hao sasa kawataja naomba ufute pongezi zako.
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

Haya 'oil chafu' tunashukuru kwa kutujuza kuwa umepewa kitengo baada ya kuasi harakati za kuikomboa nchi na sasa umeamua kuungana na walaji kwa kuwa lengo lako lilikuwa kuchumia tumbo. Kila la heri kwa usaliti wa taifa
 
Hivi kabla yako ni nani alikuwa mkuu wa hicho kitengo na kama alikuwepo aliondoka kwa sababu gani? Na kama hakikiwa na mtu ni kwa nini?
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

Mbona sjaelewa alichoandika huyu kada wa kufikia Wa CCM,au ndio ashakunywa juisi ya kijani inayotokana na bendera ya CCM?.
 
vipi mkuu siku ile pale nam hotel wakati mkiwakamua vijana wa chadema ili wawataje mbowe na slaa kuwa ni magaidi ndiyo ulikuwa unapewa maelekezo ya hicho kitengo?
 
Back
Top Bottom