Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

Ingekuwa maajabu kama usingewataja hawa jamaa ktk hili bandiko lako.
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

Nimeamini kumbe kweli maana kuna mwanaJF alisema huwezi maliza uzi wako bila kuwataja watu hawa
 
Kaka naomba unijibu swali langu moja tu. Ina maana UVCCM wanaajiri tu bila kujua kama mtu anajua ilan ya CCM au la?
Vinginevyo wewe kwel utakuwa msaliti maana inawezekana ulianza kuisoma ilani ya CCM na kuielewa hata kabla ya kutoka CDM. Upi ukwel hapa?

Umempa swali zuru sana,sidhani kama atakujibu.
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

Ewe mtumishi wa CCM umepewa cheo kama kile alichopewa Tambwe Hiza baada ya kujiunga CCM kutoka CUF, yeye alipewa cheo cha kuwa mkuu wa kitengo cha propaganda CCM na wewe ni mkuu wa kitengo cha habari (propaganda?) na mawasiliano ya umma UVCCM. Kimisingi kitu ni kilekile, Tambwe alijishughulisha na propaganda katika CCM nzima lakini wewe unajishughulisha na propaganda katika level ya UVCCM. Mwisho wa siku kilichompata Tambwe kisiasa ndicho kitakachokupata wewe.

Hicho cheo kilimkosa mtu ndani ya UVCCM hadi wakakusubiri wewe toka CDM au waliamua kukuzawadia cheo hewa ndani ya UVCCM kwa kukubali kuisaliti CDM? Mara zote uelewa mdogo ni kilema mbaya kabisha katika maisha kwa sababu utakuwa unatumiwa tu na wajanja kwa ajili ya manufaa yao, mwishowe utatupwa dampo. Watch out!
 
Hivi UVCCM wanaajiri watu kupitia vigezo gani? If a person like you umepata kazi UVCCM basi kuna walakini. Nadhani kuna haja ya kufatilia mchakato uliokupa kazi wewe.
 
Le mutuz a.k.a William Malecela alikuja hapa na kulalamika kuwa UVCCM mmekuwa kimya kwenye mijadala ya rasimu ya katiba na akafika mbali na kuhoji UVCCM ya sasa imekuwa sio machachari kama ile ya enzi zile za mwaka 47.

Ningependa wewe kama msemaji wa UVCCM utoe ufafanuzi juu ya maswali yafuatayo:

Je UVCCM mmesusia mpango wa kuhamasisha wanachama wenu kutetea maslahi ya CCM kwenye katiba mpya kama wafanyavo Jumuiya ya Wazazi CCM hadi kufikia hatua ya mjumbe wa jumuiya hiyo ya wazazi kulalamika mitandaoni??

Je UVCCM mmegoma kulishwa maneno na Nape Nnauye that why hamuonekani mkiendesha mabaraza ya katiba kama aliyolalamika William Malecela hapa jamvini???
hapa bila madesa usitegee majibu yenye tija.
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

Ingekuwa maajabu kama usingewataja hawa jamaa ktk hili bandiko lako.
 
kama wewe ndio kiongozi wa habari,basi CCM na UVCCMwapepotea sana,wewe na NAPE huwa amna busara ya kuzungumza mpaka tuna jiuliza mna wazazi hao ndio wale jamaa wa Kariakoo,sawa jirekebishe usije ukapigwa bun tena ok ila UVCCM wategemee pigo
 
jaani mtela wewe sijui hata shule ulienda kufanya kipi,kila siku ni kuwasema watu,mpaka najiuliza kuwa wewe una wazazi kweli?haya maana kila siku una ambatana na Nchemba mpaka kwao,wewe ni msadizi wa mbunge au?tulia katika kituo chako cha kazi kaka,
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

Hivi wewe hiyo degree unayo kweli, hivi upadri ni taaluma kweli?hujui kuwa mapadri wanakuwa wamesoma taaluma mbalimbali philosophy na theorogy vikiwa za lazima, kama uwezo wako wa kufikiri ndio wa kiwango hiki waliokufukuza uanachama wameitendea haki dunia.
 
Wewe ni miongoni mwa wenye akili ndogo,ulifukuzwa CDM kwa kuwa akili zako ni ndogo...huwezi kuchanganya akili kubwa na ndogo zikafanya kazi sawasawa.
Umepotea kisiasa,unaenda kwenye chama ambacho watu wake wanaombewa kufa kila wapatapo ajali,umelaaniwa,bora ungeenda hata NCCR-MAGEUZI.
Kafie mbali huko...na siasa zako za kipuuzi.
 
ahsante sana mwalimu mtela mwapamba,duce ulikuwa mshamba sana ila baada ya kukutana nchemba ukawa mshamba zaidi wa siasa za ccm
 
Kweli vijana wameisha ccm???kuna vijana wako vizuri upstairs wangeweza kuwapa hicho kitengo wakafanya vizuri sana kama kina anthony mavunde,paul makonda lakini wameamua kuchagua galasa!!!!!!!!! Basi nisije nikapigwa ban hapa ngoja niondoke atakavyoondoka mwenyekiti huyu wengi mtakaa juu ya mawe na ndio utakuwa mwisho wa kuishi kiujanjaujanja,sasa tazama vijana kama wewe unategemea mama ntilie akulishe anashamba hilo!!!!!!!!!!???
 
Back
Top Bottom