Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

umefunguliwa waandika ujinga mnafiki wewe ulitaka kuiuza chadema bora ulistukiwa nenden huko maana nasikia shoza kawekwa kinyumba na mwigulu njaa zitakuua
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
 
Wana jf, huyo maamuma asiwadanganye chochote,

Ofisi ya CCM makao makuu au ngazi yoyote ile haimtambui Mtela Mwampamba aka Ganzi kuwa ni kiongozi wa kikundi au idara yoyote ndani ya ccm,

Kilichopo nikuwa yupo kwenye ofisi ya Mwigulu Nchemba na amekuwa akishiriki au akiambatana na Mwigulu katika kazi zake tu, hivyo amejivika ufalme huo,
Mwigulu hawezi kukupa ukuu wa ofisi yake bila kufuata utaratibu wa chama!


Kwamjibu wa uchaguzi wa ccm uliofanyika mwaka jana, na uteuzi wa idara na kamati zake,

Kitengo unachodai wewe ni MKUU wake sio kweli, bali Mwigulu Nchemba ndie MKUU wake na ndie husimamia, huongoza na huratibu shuguli za idara hiyo (nyeti) na zaidi yeye ndie huwasilisha ripoti zake zote kwa mkuu wa idara ya siasa wa TISS mama T.G,

Huyo mama ndie huwasirisha rasmi kwa mwenyekiti wa Chama raisa JK,

Sasa unawahadaa watu hapa bila kujua kuwa tunajua kila kitu hapo lumbumba,

Nenda kawadanganye huko FB sio hapa,

Mods Tunaomba huyu jamaa athibitishe kauli yake tofauti na hapo sheria ichukue mkondo wake.
 
Ungetuwekea na Picha yako kabisa.
Vp kuhusu Kileo na Wenzake, ni kweli Jakaya Mrisho Kikwete aliwatuma nyie na kina Sophia,Shibuda kwenda kuwatesa hawa vijana ili waseme Dr Slaa na Mbowe ndiyo waliowatuma kumwagia Tesha tindikali??
 
Sijui unaelewa maana ya neno VIVA?


9.JPG



sisi kwetu hawa wanyama ni chakula tena kitamu sana
 
UVCCM wamekosa mtu wa kumpa hiyo nafasi!! Nilikua nakufuatilia katika kampeni za Arusha na Juliana Shonza,honestly mlikiua chama kwa kuijikita katika personal attack badala ya upembuzi wa sera. Mnatembea na mtu aliyemwagiwa tindikali,sawa laikni ndicho wana Arusha walitaka kukisikia katika muda ule? Mlitumia muda mchache sana kueleza sera na muda mwingi kupaza sauti za kashfa,matusi,ambavyo havikukisadia chama.

Tatizo la CCM wameweka wapuuzi mbele na kuwaacha wenye busara nyuma. Nape, Mwigulu, Juliana na Mwampamba! Eti hii ndio midomo ya kuisemea CCM! Wakifungua midomo utapata shida kuamini kama kuna ubongo vichwani mwao.
 
Ulitakiwa upigwe ban ya maisha,anyway ID unazo nyingi naamini ulikuwemo jamvini kipindi umekula ban kwa UMBEA wenu na SAVIMBI,Vipi yule Diwani wa A.town mlighaili kumpokea,au kilitokea nini dakika ya 90!?
 
sasa digrii yako ya ualimu na ukuu wa kitengo cha habari vinaendaje?? Wakati uko upinzani ulikuwa ni mmoja wa watu wanaopinga mambo ya kupeana vyeo kama zawadi, halafu na wewe umeangukia huko huko kwenye kupewa cheo kama zawadi, poor you...

Njaa zinaharibu maisha yenu vijana, kama ungekubali kufanya kazi yenye hadhi na heshima kubwa ya ualimu ambayo umeisomea, na ambayo imekulea na kukusomesha, kwa kuwa mama yako alikuwa mwalimu, usingeingia huku kwenye kudhalilika kwa kupewa tuvyeo twa kijinga kama huto. Kwa taarifa yako ni kuwa siku utakapopingana na aliyekupa hicho cheo (mwigulu nchemba) kwa hoja au akuombe kitu ambacho wewe haukubali kumpa jamaa atakufukuza hiyo kazi maana haikutangazwa kokote, umepewa tu kama zawadi na hauna sifa za elimu wala uzoefu wa kuifanya. kwa kifupi hauna job security mkuu...

hamnyimi kitu
 
Wana jf, huyo maamuma asiwadanganye chochote,

Ofisi ya CCM makao makuu au ngazi yoyote ile haimtambui Mtela Mwampamba aka Ganzi kuwa ni kiongozi wa kikundi au idara yoyote ndani ya ccm,

Kilichopo nikuwa yupo kwenye ofisi ya Mwigulu Nchemba na amekuwa akishiriki au akiambatana na Mwigulu katika kazi zake tu, hivyo amejivika ufalme huo,
Mwigulu hawezi kukupa ukuu wa ofisi yake bila kufuata utaratibu wa chama!


Kwamjibu wa uchaguzi wa ccm uliofanyika mwaka jana, na uteuzi wa idara na kamati zake,

Kitengo unachodai wewe ni MKUU wake sio kweli, bali Mwigulu Nchemba ndie MKUU wake na ndie husimamia, huongoza na huratibu shuguli za idara hiyo (nyeti) na zaidi yeye ndie huwasilisha ripoti zake zote kwa mkuu wa idara ya siasa wa TISS mama T.G,

Huyo mama ndie huwasirisha rasmi kwa mwenyekiti wa Chama raisa JK,

Sasa unawahadaa watu hapa bila kujua kuwa tunajua kila kitu hapo lumbumba,

Nenda kawadanganye huko FB sio hapa,
ha ha ha, kumbe wamepeana vyeo na shoga yake mwigilu -- nilitaka kushangaa watu wapo UVCCM mwaka wa sita, wewe na njaa zako ufike tu upate ulaji - kwa kigezo gani?

UVCCM wenyewe hawakutambui cheo chako, na wanahoji kulikoni uandamane na Mwigilu mikoani huku ukilamba perdiem na marupurup kibao wakati wenyewe wanasota hapo ofisini? huoni unaongeza mgogoro mwingine ndani ya UVCCM?
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

Huwezi jifanananisha na hao wote uliwataja hao si saizi yako, wewe ni tambala bovu utakanyagwa na akina nape na mwigulu then utatupwa jalalani waulize akina Ngawaiya na Tambwe, njaa mbaya sana dogo, subiri hukumu yako kwa vile vifo vya watoto mliowaua wa Arusha.
 
Le mutuz a.k.a William Malecela alikuja hapa na kulalamika kuwa UVCCM mmekuwa kimya kwenye mijadala ya rasimu ya katiba na akafika mbali na kuhoji UVCCM ya sasa imekuwa sio machachari kama ile ya enzi zile za mwaka 47.

Ningependa wewe kama msemaji wa UVCCM utoe ufafanuzi juu ya maswali yafuatayo:

Je UVCCM mmesusia mpango wa kuhamasisha wanachama wenu kutetea maslahi ya CCM kwenye katiba mpya kama wafanyavo Jumuiya ya Wazazi CCM hadi kufikia hatua ya mjumbe wa jumuiya hiyo ya wazazi kulalamika mitandaoni??

Je UVCCM mmegoma kulishwa maneno na Nape Nnauye that why hamuonekani mkiendesha mabaraza ya katiba kama aliyolalamika William Malecela hapa jamvini???
 
Back
Top Bottom