Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

Akili ndogo nyingine hii.
 
Sasa ukweli uko wapi kama kichwa cha habari kinavyojieleza?
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    85.9 KB · Views: 557
Hahahahahah...ni kweli kabisa mkuu...akili zinazoweza kufanya biashara zinajulikana....siyo huyu Stella Mwampamba......ni kilaza kweli kweli....sijui CDM walimtoa wapi mtu huyu...loh...........
Mkubwa mtu kupewa duka la hongo sasa anajitapa nalo...wenye uwezo wa kukontrol biashara hawajitangazi hata kidogo bali jamii huwatambua kwa michango yao na huduma zao.....unajua ulimbukeni mbaya sana kiongozi.
 
Jifunze kuheshimu wengine ili uepukane na adhabu za hapa JF...karibu tena jukwaani!!

Mkuu nadhani ule uzushi wa kuwa Diwani wa Elerai kwa tiketi ya CDM kuwa kahamia ccm kipindi kile cha uchaguzi mdogo.....Kumbe aliingizwa chaka akaja fasta fasta JF na ID fake ya Slaa anaweza.......Kudadeki Makamanda wakamstuikia maana ukweli ulijulikana.....
Mods hawakufanya ajizi wakampaka haki yake kwa kuidanganya JF...
 
Sio hivyo mkuu
nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni
katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ)
kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja
mkuu.

duh, kama ccm mmefikia hatua ya kuwaona watu wenye akili kama hii kuwa ndio 'majembe' wa chama basi naomba niseme ccm is officially dead!!!
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

Mbowe alisomea wapi huo U DJ? ana daraja gani katika huo u DJ ? Upadre sio taaluma ni wito padre kama padre huwa anakuwa na taaluma yake nyingine ambayo husomea so acha kudanganya watu! sijui ulipata class gani ya degree yako ya ualimu kama huwezi kuelewa vitu vidogo kama hivi, afadhali hukwenda kufundisha maana yangekuwa majanga huko shuleni ungepotosha wanafunzi wetu! kazi njema hapo Lumumba!
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

Kuna mtu alikuwa amekupongeza hapo juu kwamba kwa mara ya kwanza umeweka uzi bila kuwataja hao watu lakini kumbe alikuwa anapoteza muda wake tu. Ama kweli sikio la kufa.........!

cc Henge
 
Mwampamba uongozi ni kipaji na wala sio taaluma! wewe na degree yako hata nrobo ya hekima za Mbowe hufikii!
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
Hata kinana ni katibu mkuu wa magamba ila kazi yake kwa sasa ni hii...
64675_485201181530305_266175019_n.jpg
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

Vipi ile ID yako ya chimbo SLAA ANAWEZA....Utaitumia....?
 
Last edited by a moderator:
Wana jf, huyo maamuma asiwadanganye chochote,

Ofisi ya CCM makao makuu au ngazi yoyote ile haimtambui Mtela Mwampamba aka Ganzi kuwa ni kiongozi wa kikundi au idara yoyote ndani ya ccm,

Kilichopo nikuwa yupo kwenye ofisi ya Mwigulu Nchemba na amekuwa akishiriki au akiambatana na Mwigulu katika kazi zake tu, hivyo amejivika ufalme huo,
Mwigulu hawezi kukupa ukuu wa ofisi yake bila kufuata utaratibu wa chama!


Kwamjibu wa uchaguzi wa ccm uliofanyika mwaka jana, na uteuzi wa idara na kamati zake,

Kitengo unachodai wewe ni MKUU wake sio kweli, bali Mwigulu Nchemba ndie MKUU wake na ndie husimamia, huongoza na huratibu shuguli za idara hiyo (nyeti) na zaidi yeye ndie huwasilisha ripoti zake zote kwa mkuu wa idara ya siasa wa TISS mama T.G,

Huyo mama ndie huwasirisha rasmi kwa mwenyekiti wa Chama raisa JK,

Sasa unawahadaa watu hapa bila kujua kuwa tunajua kila kitu hapo lumbumba,

Nenda kawadanganye huko FB sio hapa,

Mods huu upuuzi ukiendelea kufanywa na hawa wapuuzi tutakuwa hatulitendee haki Jukwaa. Naomba adhabu zichukuliwe kwa huyu mpuuzi.
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

we mwalimu gani wewe? So umeamua nawewe kupewa cheo bila kigezo?
 
Back
Top Bottom