Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.
Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.
Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.
VIVA UVCCM VIVA.
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
Mkubwa mtu kupewa duka la hongo sasa anajitapa nalo...wenye uwezo wa kukontrol biashara hawajitangazi hata kidogo bali jamii huwatambua kwa michango yao na huduma zao.....unajua ulimbukeni mbaya sana kiongozi.Hahahahahah...ni kweli kabisa mkuu...akili zinazoweza kufanya biashara zinajulikana....siyo huyu Stella Mwampamba......ni kilaza kweli kweli....sijui CDM walimtoa wapi mtu huyu...loh...........
Khaa!! degree ya nini??mimi nina Degree but mbowe ana zero form six na ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!!!!!
kura 32000 nilizozipata nikiwa nagombea ubunge kwa tiketi ya chadema ndio zinazokichangia chadema mil nne na laki nane kila mwezi kama ruzuku kutoka mbozi.
Sio vituko nasema
kweli nimeajiriwa toka mwezi wa Tano na nimeamua kusema ili kuondoa
mkanganyiko wa kuniuliza kwamba nasema nikiwa kama nani!!!
Jifunze kuheshimu wengine ili uepukane na adhabu za hapa JF...karibu tena jukwaani!!
Sio hivyo mkuu
nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni
katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ)
kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja
mkuu.
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
Hata kinana ni katibu mkuu wa magamba ila kazi yake kwa sasa ni hii...Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.
Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.
Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.
VIVA UVCCM VIVA.
Wana jf, huyo maamuma asiwadanganye chochote,
Ofisi ya CCM makao makuu au ngazi yoyote ile haimtambui Mtela Mwampamba aka Ganzi kuwa ni kiongozi wa kikundi au idara yoyote ndani ya ccm,
Kilichopo nikuwa yupo kwenye ofisi ya Mwigulu Nchemba na amekuwa akishiriki au akiambatana na Mwigulu katika kazi zake tu, hivyo amejivika ufalme huo,
Mwigulu hawezi kukupa ukuu wa ofisi yake bila kufuata utaratibu wa chama!
Kwamjibu wa uchaguzi wa ccm uliofanyika mwaka jana, na uteuzi wa idara na kamati zake,
Kitengo unachodai wewe ni MKUU wake sio kweli, bali Mwigulu Nchemba ndie MKUU wake na ndie husimamia, huongoza na huratibu shuguli za idara hiyo (nyeti) na zaidi yeye ndie huwasilisha ripoti zake zote kwa mkuu wa idara ya siasa wa TISS mama T.G,
Huyo mama ndie huwasirisha rasmi kwa mwenyekiti wa Chama raisa JK,
Sasa unawahadaa watu hapa bila kujua kuwa tunajua kila kitu hapo lumbumba,
Nenda kawadanganye huko FB sio hapa,
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
Sasa ukweli uko wapi kama kichwa cha habari kinavyojieleza?
Vipi ile ID yako ya chimbo SLAA ANAWEZA....Utaitumia....?