Ukweli kuhusu maisha yangu na mke wangu. Mimi ni muislam

Ukweli kuhusu maisha yangu na mke wangu. Mimi ni muislam

dorge

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2025
Posts
235
Reaction score
365
Ukweli.

Baada ya mzee magu kutangulia mbele ya haki kipato kiliyumba. Ukweli ni kwamba mzee yule alimuweka kila msomi na mtumishi alipostahili. Nilimpata nafasi ofisi ya umma yenye kipato na posho za wastan.

Wife alifurahia maisha, anapoona hali sio nzr anakuwa hayuko kwenye Ibada, hali ikiwa tofauti naye anabadilika, jambo hili linanifanya nipate mawazo japo najua njia yakwenda. Napata stress napiga mitungi yeye anapaniki. Anakuwa ndiye mume ndiye mke. Kwa ufupi kadharau kamaana kanaonekana. Mimi kwa kuwa najielewa mwanamke namuheshim ila akiniletea dharau natupia kule.

Kwa sasa Sina kitu yeye ndio anachezesha game. Wala sijapaniki nasoma michezo yake. Anacheza kila aina ya michezo wa pesa. So naangalia tu. Kuna wakati hii michezo ikatuletea madeni makubwa, kwa kuwa tunacheza wote maisha ya kifamilia, sometimes nachezesha masuala ya kifamilia. So yeye anabaki akiziba mikopo. Baadae anajisifu amepeta maana hakuna deni tunaanza tena.

Leo kuna madeni kama millions ambazo zilisababishwa na kulipia gharama mbalimbal sasa bana akakosea akaitaja Ile million aliyokopa sehemu.

Kifupi maisha ya kifahari ni upuuzi. Siyapendi wanawake wanayapenda sana.

Mtoto ana birthday kwanini ugharamie?

Sijiungi na kataa ndoa ila tumeambiwa tuishi nao kwa akili ila wanaume wengine mmmh

Si ntakuja kumkubalia mwanamke anitawale. Kamwe. No means no
 
Pole!
Wanawake ni bomu linalolipuka muda wowote,likilipuka badili life style tu,huwezi wekeza nguvu nyingi wakati ushajua yeye ni pata potea!!
 
Kiukweli ikiwa mungu amesema tuishi nao kwa akili na kama ni unavu wangu wazungu wameshimdwa kuishi na mbavu zao.

Mwanamke anaadhabu zake.

1. Kumrejesha kwao
2. Taraka moja.
3. Taraka 2
4. Taraka 3

Hata kama ana lisambwana wewe itategemea udhai wako
 
Ukweli.

Baada ya mzee magu kutangulia mbele ya haki kipato kiliyumba. Ukweli ni kwamba mzee yule alimuweka kila msomi na mtumishi alipostahili. Nilimpata nafasi ofisi ya umma yenye kipato na posho za wastan.

Wife alifurahia maisha, anapoona hali sio nzr anakuwa hayuko kwenye Ibada, hali ikiwa tofauti naye anabadilika, jambo hili linanifanya nipate mawazo japo najua njia yakwenda. Napata stress napiga mitungi yeye anapaniki. Anakuwa ndiye mume ndiye mke. Kwa ufupi kadharau kamaana kanaonekana. Mimi kwa kuwa najielewa mwanamke namuheshim ila akiniletea dharau natupia kule.

Kwa sasa Sina kitu yeye ndio anachezesha game. Wala sijapaniki nasoma michezo yake. Anacheza kila aina ya michezo wa pesa. So naangalia tu. Kuna wakati hii michezo ikatuletea madeni makubwa, kwa kuwa tunacheza wote maisha ya kifamilia, sometimes nachezesha masuala ya kifamilia. So yeye anabaki akiziba mikopo. Baadae anajisifu amepeta maana hakuna deni tunaanza tena.

Leo kuna madeni kama millions ambazo zilisababishwa na kulipia gharama mbalimbal sasa bana akakosea akaitaja Ile million aliyokopa sehemu.

Kifupi maisha ya kifahari ni upuuzi. Siyapendi wanawake wanayapenda sana.

Mtoto ana birthday kwanini ugharamie?

Sijiungi na kataa ndoa ila tumeambiwa tuishi nao kwa akili ila wanaume wengine mmmh

Si ntakuja kumkubalia mwanamke anitawale. Kamwe. No means no
Kwanza, hueleweki ama sijui hujui kuwasiliana. Pia, unalalamika sana kiasi cha kutoeleweka. Hivyo, inakuwa vigumu kukusaidia hata kimawazo. Cha mno, mambo yenu ya ndani jaribu kuyamaliza wenyewe kwanza. Pia, achana kulilia ya kale ya Magu. Kwani, hatarudi. Hata hivyo, si mnamsifia mama mbeba maono na mtenda miujiza mheshimwa rais daktari profesa SSH?
 
Hapana naongea kweli tupu amesoma level za chini nimemzidi ila akili kubwa inahitajika. Bado sijafeli. Bro sijavurugwa. Am okay
We jamaa kubali umevurugwa. Maana una koroga mambo hatari.. Kunywa maji au gonga nyagi akili ikae sawa.
 
Hapana naongea kweli tupu amesoma level za chini nimemzidi ila akili kubwa inahitajika. Bado sijafeli. Bro sijavurugwa. Am okay
Hatukujui bro, tunajudge kulingana na ulichoandika.

Kwa huo mwandiko, upangaji wako wa hiyo story na unasema una kisomo ni wazi umevurugwa.

Usipomakinika unatoka kapa, japo maneno na sentensi umeziumba vizuri.
 
Ukweli.

Baada ya mzee magu kutangulia mbele ya haki kipato kiliyumba. Ukweli ni kwamba mzee yule alimuweka kila msomi na mtumishi alipostahili. Nilimpata nafasi ofisi ya umma yenye kipato na posho za wastan.

Wife alifurahia maisha, anapoona hali sio nzr anakuwa hayuko kwenye Ibada, hali ikiwa tofauti naye anabadilika, jambo hili linanifanya nipate mawazo japo najua njia yakwenda. Napata stress napiga mitungi yeye anapaniki. Anakuwa ndiye mume ndiye mke. Kwa ufupi kadharau kamaana kanaonekana. Mimi kwa kuwa najielewa mwanamke namuheshim ila akiniletea dharau natupia kule.

Kwa sasa Sina kitu yeye ndio anachezesha game. Wala sijapaniki nasoma michezo yake. Anacheza kila aina ya michezo wa pesa. So naangalia tu. Kuna wakati hii michezo ikatuletea madeni makubwa, kwa kuwa tunacheza wote maisha ya kifamilia, sometimes nachezesha masuala ya kifamilia. So yeye anabaki akiziba mikopo. Baadae anajisifu amepeta maana hakuna deni tunaanza tena.

Leo kuna madeni kama millions ambazo zilisababishwa na kulipia gharama mbalimbal sasa bana akakosea akaitaja Ile million aliyokopa sehemu.

Kifupi maisha ya kifahari ni upuuzi. Siyapendi wanawake wanayapenda sana.

Mtoto ana birthday kwanini ugharamie?

Sijiungi na kataa ndoa ila tumeambiwa tuishi nao kwa akili ila wanaume wengine mmmh

Si ntakuja kumkubalia mwanamke anitawale. Kamwe. No means no
Kunywa double kick mkuu, kisha shusha pumzi uandike vizuri
 
Back
Top Bottom