Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Kuajiriwa wapemba NSSF ni jambo la kufatiliwa na usalama?? Then mnajitia unafiki kumsapoti Maalim Seif wakati mnakerwa ndugu zake kuajiriwa baea

Hivi mbona wabara kufanya kazi pemba ni sawa tajiri kupenya tundu LA sindano,wabaguzi sana na zaidi watakuua
 
Huko Nssf ndiko ajira ZINA Mashaka zaidi ya BOT,Nakushauri Waziri nenda ufanye ka rais alivyofanya BOT,Shirika litakufa soon maana halina tija kwa sasa na staff ni wengi sana na wengi wao hawana kazi za kufanya
 
Jamani ni majanga huko Nssf,Mara ajira,Mara udini,Mara ufisadi loo,hivi walidhani jk atatawala milele,ila dau na usomi wake waloshindwa kusoma alama za nyakati,kweli elimu madrasa ina overwrite akili za darasani
 
Rais anawatu wanaomsaidia kupata taarifa sahihi za sehemu husika. Serikali haifanyi kazi kwa habari za chuki umbeya na majungu. Huyu waziri akae mkao wa kula.
 
Ukisoma mada hii ya JAGIRO na watu wanaomsupport utagundua uwezo wa akili za baadhi ya Watanzania .Kuna watu kama JAGIRO na wenzake kama ingewezekana manake tungesugua akili zao kwa jik ili ziwe safi kwa ustarabu.Mfano Dr Dau angeajiri waislam watupu NSSF itakuwa ni nini kwenye nchi yetu ambayo dini is not a big deal,bali maendeleo ndio deal.Angalia Dubai asilimia kubwa ya wafanyakazi si waislam lakini nchi ni ya waislam angalia wapo wapi kiuchumi.Malaysia wachina walikuwa wanatawala kiuchumi lakini wafanyakazi ni malay waislam.Sasa unapopata mtu kama huyu ambaye akiona hijjab kumi pale makao makuu ya NSSF tayari anaona shirika lote ni waislam manake akili ya mtu kama huyu hana elimu.Wizara ya ardhi kuna sister pale kila siku anavaa nguo zake za kanisani kazini je umesikia waislam wakipiga kelele? watu kama JAGIRO wanataka kuchonganisha watu tusiwakubali.
Pemba ipo wapi? ina maana JAGIRO hata hujui kuwa pemba ni Tanzania pole sana.
Ukisema nyumba zimejengwa nyingi hazina wapangaji ni hasara manake akili yako haina kabisa ufahamu wa mali zisizohamishika,je ulitaka anunue maprado kisha ayaweke garage? ili yauzwe miaka kumi ijayo?.
Tumia facts kulinganisha vitu.
 
Kiongozi hutakiwi kuwa na fikra za kupunguza watu, sababu huwa ni kiashiria kikubwa sana cha umaskini, kiongozi ckuzote mind yako inatakiwa kuwa ni namna gani utacreate opportunity nyingi zaidi. Halafu ni makosa sana. kudhan kuwa serikali ya Kikwete hakuna ilichokuwa kuwa inafanya, sababu mtaharibu hata kile kidogo ambacho kilishatumia rasilimali. Tufikirie mbele tusifikirie nyuma.
 
Ndugu zangu wakubwa kwa wadogo ifike wakati tuwe na moyo wa utu,ubinadamu,huruma na upendo..Wanadamu tumekuwa wepesi sana wa kuhukumu wengine kwa namna hata ya kutamani wafe kwa kuungua moto ,kulipuliwa,kulipiliwa au kujinyonga.Tukumbuke kila mmoja wetu ana uozo aliutenda,unena,ufikiri {waza} ,aliouona {akaushangilia,akafaidika nao,akafumbia macho,akaulea,akauchekelea}.Nikiuliza nani msafi baina yetu?Nani asie na doa?Nani angejizuia kwa 100% kutenda waliotenda watuhumiwa wa ufisadi wa mali za umma/madaraka/uongozi?

Ina maana vyombo vya usimamizi wa maadiri ya watendaji waandamizi na viongozi havijui hizi tuhuma lukuki zinazoelekezwa kwa hawa watuhumiwa waandamizi wa uhujumu nchi {kijamii,kisiasa,kiuchumi}? Tunafanyaje kuviwajibisha vyombo husika na watendaji wake?

Inawezekanaje kandarasi kubwa zikatolewa kwa misingi ya udini pale NSSF {Mfano:Inawezekana kweli Kandarasi nyingi za umeme kwenye majengo mengi zilizotolewa kwa Kampuni ya DERM Electric zilitolewa kwa upendeleo wa Ubora/Unafuu/kufahamiana/undugu/udini {Zipo taarifa ya kwamba meneja miradi ni shemeji mtu na mmiriki wa kampuni husika?{ Conflict of Interests zilikuwa declared}.

Japo itakuwa ni majungu kuanza kupiga kelele kwamba mmiriki wa kampuni ya Derm electric ambayo imekuwa ikifanya kazi nyingi nyeti za ukandarasi wa umeme ni jipu kwa sababu anamiriki vitega uchumi lukuki vya majengo ya thamani kubwa kwa kipindi kifupi au amenunua nyumba nyingi makumbusho na Kijitonyama..Yampasa kila anaetoa tuhuma atoe ushahidi usio na shaka kuhusisha moja kwa moja ufisadi ktk taasisi ya umma husika au watendaji wake na mtuhumiwa elekezi.mfano kama upo ukweli kuwa uwekezaji husika unafanywa na watuhumiwa wakuu kupitia wafaidika wa nje.

Binafsi si muumini wa majungu kabisa kabisa hivyo natamani wote tufikiri kwa sauti ya juu na umakini kwa kujiuliza maswali ambayo majibu yake yawe na majibu yasio na majungu,fitna,husuda,chuki,kijicho,gere...Kwa nini leo niamini ya kuwa Kampuni ya wataalamu wabobezi ktk usanifu majengo ya Hab Consult ilikuwa ikipewa kandarasi lukuki kwa kupendelewa sababu ya udini/urafiki/ujamaa/Ubora/Unafuu/Umahiri? wa mtuhumiwa na wahusika? Ama CRJE {wachina }walipewa kandarasi walizopewa kwa udini/Upendeleo/Rushwa/Uwezo thabiti/Bei nafuu/Ubora?

Inapaswa shutuma au tuhuma zithibitishwe pasipo shaka yeyote ikiwa kuna nia haswa ya kumtia hatiani mtuhumiwa kijamii,kisiasa ama kiutendaji..Mfano tunaposema aliajiri ndugu,jamaa,marafiki kwa upendeleo wa udini,ukanda,ukabila,ujirani,n.k n.k ni vema tukataja kwa vielelezo {sifa zao,vigezo vyao,mapungufu yao} na majina kwa uwazi pasipo woga.Mfano:Kidula,Matessa,kagomba,Magori,Mrisho, Chaulembo,Shariany,Madjapa,Mrosso n.k n.k

Lakini tena tujiulize inakuaje tuhuma hizi zijitokeze sasa?Inawezekanaje kwa kipindi chote cha utendaji mbovu tuhumiwa taasisi za udhibiti /usalama/uchunguzi/uzuiaji matumizi mabaya ya madaraka zikawa na ulemavu {naomba radhi kwa matumizi ya neno hili} wa kushindwa kusikia,kuona,kuhisi na kufikia uozo husika na kuchukua hatua?

Angalizo:viongozi na watendaji wakuu mliopewa dhamana ya madaraka na wawakirishi/wateuliwa wa wananchi jitahidini sana kutenda kazi kwa haki,kweli,kufuata matakwa ya sheria,matakwa ya utaratibu,uwazi,uwezo,uadirifu na uzalendo uliotukuka ili hata mkija kuhukumiwa kwa uonevu Mwenyezi Mungu alie hakimu na jaji mwenye haki pekee awatetee na kuwapigania kuwa mnaonewa na kukandamizwa hata kwa kuwatumia malaika zake.
 
We kafiri Yale majizi ya Escrow kulikuwa na WACHUNGAJI na Maaskofu.
Kuna kitu ulisema?

Nyie dawa yenu ni kichapo tu.
Manake huwezi mfundisha Nguruwe kuoga hata siku moja.
Nilisema na nilikemea sema tu hukusikia na walichokifanya hakikubaliki kabisa. Sema mi nashangaa inakuwaje leo tunamtumbua jipu Dr, Dau nyinyi mnaanza kumtetea? mnatetea majipu? Nyinyi waislam hamnazo kweli...
 
Kunywa kahawa kuna tafauti gani na kukaa baa na kucheza pool kwa masaa? Uhuru wa nchi hii ulitokea vijiwe vya kahawa
Hakuna tofauti maana hata Bar waislam nao ni wahudhuriaji wazuri, sasa hapo sijui unataka kuongelea akina nani? waislam wenzako ambao nao wanakesha bar na mchana ni bao na gahawa?
 
We kafiri Yale majizi ya Escrow kulikuwa na WACHUNGAJI na Maaskofu.
Kuna kitu ulisema?

Nyie dawa yenu ni kichapo tu.
Manake huwezi mfundisha Nguruwe kuoga hata siku moja.

Hivi nyie waislam koko wa kibantu mnajiaminisha kwamba mnaweza kuwapa wakristo kichapo? Hulka zenu za kishamba za kiarabu zitawaponza, yaani nyie mkikinukisha na sisi tunakinukisha na kama ni msituni wote tunapajua na tutawachapa sana tu..... waislam wa kibantu acheni kujiamini kipumbavu kwamba mnaweza kutupiga... yaani hata asilimia 2 ya hulka za fujo za waarabu hamnaa mnadanganyika na hayo majina yenu ya kiarabu lakini hamna lolote la kututishia nyau.
 
Nilisema na nilikemea sema tu hukusikia na walichokifanya hakikubaliki kabisa. Sema mi nashangaa inakuwaje leo tunamtumbua jipu Dr, Dau nyinyi mnaanza kumtetea? mnatetea majipu? Nyinyi waislam hamnazo kweli...
Jipu babako.
Na watu wa ajabu ni nyie mnaoabudu picha ya mzungu mpk leo 2016.
Wapi umeoma mtu na akili timamu akaenda kutoa hela kwa mchungaji eti asamehewe madhambi.

Dr Dau km ni Jipu basi Rais wako hana busara kumuweka madarakani mpk leo.
Nyie makafiri kwani lipi la ajabu kuwa na Chuki na Waislamu?
Chuki imo ndani ya Damu zenu.
Mmerithi kutoka kwa PAULO muanzilishi wa Imani yako ya kuabudu sanamu.
 
Jipu babako.
Na watu wa ajabu ni nyie mnaoabudu picha ya mzungu mpk leo 2016.
Wapi umeoma mtu na akili timamu akaenda kutoa hela kwa mchungaji eti asamehewe madhambi.

Dr Dau km ni Jipu basi Rais wako hana busara kumuweka madarakani mpk leo.
Nyie makafiri kwani lipi la ajabu kuwa na Chuki na Waislamu?
Chuki imo ndani ya Damu zenu.
Mmerithi kutoka kwa PAULO muanzilishi wa Imani yako ya kuabudu sanamu.
Hata angekuwa babangu bado ningemuita jipu.
Mimi ni mkristo ila sijawahi kupeleka pesa kwa mchungaji kusamehewa dhambi. Huwa nasali peke yangu.
Uwe na kumbukumbu aliyemteua ni mwislam mwenzenu wa Msoga. Ndo ujue ni kiasi gani viongozi wa kiislam walivo bogus kwenye kung'amua weledi wa mtu.
Sisi makafiri hatuna chuki na nyie, hayo ni maneno yenu tu ya kutafuta huruma kwa dunia. Yenu yamewashinda mnaanza kutuchokoza wakati sisi hatuna time na nyie. Ni sawa na mgonjwa wa zinaa ameshindwa kujitibu anatafuta wa kufa nae.
Wewe wasema naabudu sanamu, ila mimi najua namuabudu Mungu na amri zake mapenzi yake natimiza kadri ya mafundisho ya vitabu.
 
Thumb u
katika watu wapumbavu basi we ni mmoja wapo.

katika suala udini ungetoa facts katika shirika la NSSF kuna waislamu wangapi na wakristo wangapi, then ungelinganisha na mashirika mengine ya kijamii. Udaku mpelekee Shigongo hapa tunataka facts. Non sense
Thumb up
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.


Ndio maana ukapata KURA -10 ROMBO NZIMA
 
Jipu babako.
Na watu wa ajabu ni nyie mnaoabudu picha ya mzungu mpk leo 2016.
Wapi umeoma mtu na akili timamu akaenda kutoa hela kwa mchungaji eti asamehewe madhambi.

Dr Dau km ni Jipu basi Rais wako hana busara kumuweka madarakani mpk leo.
Nyie makafiri kwani lipi la ajabu kuwa na Chuki na Waislamu?
Chuki imo ndani ya Damu zenu.
Mmerithi kutoka kwa PAULO muanzilishi wa Imani yako ya kuabudu sanamu.

We mtoto wa kijakazi hebu tulia, wenye nyumba tunapozungumza.
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Ingawa wewe kwa uelewa wako umeziona ni nondo za maana, Mimi nimeona ni ubaguzi hasa pale aliposema kaajiri hadi wapemba ndio Hadhi yake iliposhuka kama viwanja vya bonde LA MTO msimbazi
 
Kati ya mtoa mada na idara ya usalama yupi anapaswa kuwa na taarifa zaidi ya mwenzie? Yaani usalama waanzie hapa kupata taarifa ilhali wao ndo wanaopaswa kuwa vyanzo vya taarifa?

Akili hana ndio maana alitumwa kununua Sumu ya Panya apeleke kwa kiongozi wake.
 
Back
Top Bottom