Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Firauni uko kazini kutaka kuifanya Tanzania iwe ROMA,hii ni nchi isiyona dini ila raia ndiyo wenye dini kama ulivyo wewe mpaka unajikuta unatamani TAIFA liwe KANISA.
Tunataka Tanzania ambayo anepewa madaraka hafahamiki ametoka familia gani,ni rafiki wa na nani,kabila gani wala wa dini gani,bali ana elimu gani kuhisiana na ajira yake.
Ila wewe mbuzi unakuja kutoa visababu vidogo kama ilivyo akili yako,hatujawahi kusema dini ziwe na mizania kwenye ajira,na hatujali idadi gani iko ya dini gani mahala gani.
Usitujaze udini NGIRI we.
 
wacheni upumbavu unaitwa udini.....


ni ujinga tu what if what u beleave is not even true
 
we s'enge mbona sasa hujataja idadi ya hao wanaopendelewa na hao wasiopendelewa ili kila mmoja wetu alinganishe mwenyewe? au ulitoka kufanyiwa nini ndo ukaja kunya humu.
Data mnazo nyie sisi tutazipateje si mmekalia viti vyote na information zote mnazo,utuwekee ajira zote zilizofanyika 2005-2015 ndo tufanyie kazi
 
Ungetusaidia yafuatayo kuthibitisha maneno yako
Majina ya wakuredenzi wote wa NSsf
Mameneja wote wa walaya
Mameneja wote wa mikoa
Wahasibu wote wa makao makuu na mikoani na matawi mengine bila ya shaka pamoja na qualification zao.
Nadharia tu bila ushahidi haitusaidii

Tukipata hii list basi itathibitisha madai yako ya udini au itakanusha .
Bila ya kuleta ushahidi huo tukaona ukweli basi wewe utakua una utindigo wa udini ...
 
Kwa jinsi nilivyofuatilia mjadala huu inawezekana Dr Dau kaondolewa pale kwa kupikiwa jungu, na nadhani kilichomponza ni Dini yake tu basi, kama ingekuwa ni Ufisadi angekuwa anachunguzwa saa hizi na vyombo vya usalama na angekuwa ameishahojiwa kwa ufisadi, Lakini kusubiri kupangiwa Ubalozi inathibitisha kuwa huyu mtu ni safi!

Unajua alie mweka pale ni Mkapa.
Na sifa moja ya Mkapa hapendi huu unafiki alimchagua kwa uwezo wake.kuna watu hawakupenda lakini mkapa alikua hajali mambo ya kijinga jinga
 
Kweli Dau ni mdini sana. Hili liko wazi kabisa. Atumbuliwe hana lolote. Wengi tunalalamika hapa kwenye shirika.
 
Umeelezwa sana ya udini vipi umegusa managerial posts za PSPF..... PPF.... LAPF na GEPF? Umeona huko ni dini na kabila gani zimeshika hatamu?

PSPF now linapumulia mirija liko mbioni kufilisika... PPF iko hoi hujajiuliza why NSSF bado ni leading fund yenye mtaji Mkubwa na ufanisi kuliko mifuko yote?

SSRA unafahamu ndiye regulator mkuu wa hii mifuko na unafahamu credits walizoipa NSSF?

Dau amelifanya NSSF liwe na ufanisi kuliko nyakati zote....

Nakumbuka wakati ule TANESCO mliendesha vita nzito kumwondosha Dr Idriss Rashid ambaye aliifanya TANESCO kuwa strong kwa muda mfupi na aliweka mipango kabambe kama ingetekelezwa na hawa mgao na uhaba wa umeme ingekuwa historia but now TANESCO inatengeneza hasara ya zaidi ya billion 450!!!!

bwana yesu asifiwe sana!

Ndorobo weweeeee

Udini sio kuwa na idadi kubwa ya watu wa dini Fulani katika shirika hilo

Ila udini ni mentality inayojengwa na menejiment kuwa kama we si wa dini yetu basi hapa huna nafasi

Mashirika mengine haiku hivo...ilikuwa by default
 
Ninavo mjua Dau ni hi kuwa msomi na mchapa kazi...lakini kama kawaida yetu...udini ndio tumeweka mbele. Lakini bado ni hazina kubwa ndio maana Rais amesema atampangia nafasi ingine..

Dr. Ramadhan K. Dau

Dr. Ramadhani K. Dau is the TAN-RE Board Chairman.
Dr. Dau holds a PhD in Marketing from the Victoria University of Wellington, New Zealand, an MBA from the American University of Cairo and a Bachelor of Commerce Degree, Marketing option, from the University of Dar-es-Salaam, Tanzania.
Dr. Dau serves as a Director of Sarena Hotels and Lodges, Barclays Bank of Tanzania and Jubilee Insurance Company of Tanzania Limited, among others.
He is currently the Director-General of the National Social Security Fund (NSSF) Tanzania. Prior to his appointment at the NSSF in 2001, Dr. Dau held various academic posts at the University of Dar es salaam.
 
Ninavo mjua Dau ni hi kuwa msomi na mchapa kazi...lakini kama kawaida yetu...udini ndio tumeweka mbele. Lakini bado ni hazina kubwa ndio maana Rais amesema atampangia nafasi ingine..

Dr. Ramadhan K. Dau

Dr. Ramadhani K. Dau is the TAN-RE Board Chairman.
Dr. Dau holds a PhD in Marketing from the Victoria University of Wellington, New Zealand, an MBA from the American University of Cairo and a Bachelor of Commerce Degree, Marketing option, from the University of Dar-es-Salaam, Tanzania.
Dr. Dau serves as a Director of Sarena Hotels and Lodges, Barclays Bank of Tanzania and Jubilee Insurance Company of Tanzania Limited, among others.
He is currently the Director-General of the National Social Security Fund (NSSF) Tanzania. Prior to his appointment at the NSSF in 2001, Dr. Dau held various academic posts at the University of Dar es salaam.
So what???
 
hayo yameshasemwa sana hakuna jipya hapo, na dr dau keshaondolewa nssf, ataletwa mwingine kutoka kanisani mambo yote yataenda vizuri. save your breath mkuu.
Imekuuma mkuu,We unaambiwa ukweli unataka kuchomekea hoja za kidini,Poa,Mtu asipokiwa dini hiyo ya dau lazma awe mkanisani?Hindu,buddha,Pagan?Shame upon your testicles !
 
Acheni udini mbona ninyi ktk sector zenu tunaona udini na atusema ila as long as ni uislam ndo mnasema saana.
Katika bank eg udini upovizuri sana lakin hapo mmeona msikiti tuu, halafu nashangaa msikiti unaeffect gani kwani kwenye kazi.
 
Thats why tunakuuliza ni tatizo muislam kupata kazi kwenye ofisi za serikali hii ya taifa lake?

Ili mtu uweze kuajiriwa na kupewa kipaombele sharti ni lazima uwe mkristo?

Tokea wakristo mlipoanza kujazana ndan ya utumish wa umma miaka nenda rudi mmelifanyia nin taifa hili zaid ya kulitia umaskin kwa wizi wenu na ufisadi?
al jk na bilal wamelifanyia nini taifa for ten years?
kama bilal kafanya nini ...nipe mambo matatu tu ambayo kayafanya...
 
Dr. Dau ameshaondolewa maisha yataendelea kama tulivyozoea; ofisi itajaa watu wa kanda ya kaskazini na kanda ya ziwa kama tulivyozoea badala ya wapemba na watu wa kisarawe, na ajira zitatolewa kupitia majengo ya ibada kama tulivyozoea na sio misikitini.
 
Yaani Mleta mada katoa allegations nyingi tu lakini watu wamekazania Udini.Kuna dini gani inayolea ufisadi?

Unajua sisi Waafrika na hasa baadhi ya wachangiaji hapa inaonesha ni jinsi gani dini zinatufanya mazuzu.Watu wanachangia kama vile wamekatwa vichwa

Ubaguzi hupofusha. Yaani hisia za udini udini na takataka nyingine kama hizo zimewafanya watu kuhemka badala ya kuwa objective.

Utadhani hata dini zenyewe wameziasisi wao kumbe zimeletwa tu.

Yaani huku Afrika dini zimegeuka kuwa uchawi mbaya kuliko uchawi wenyewe tunaoujua.

Disguisting!
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Naamini hao usalama wanazo taarifa za kutosha kutoka katika kila taasisi sema huwa wanafumba macho mpaka pale hoja zitakapozagaa mitandaoni. hii nchi ni hatari sana.. hakuna taasisi hata moja iliyorithiwa kutoka serekali ya awamu ya nne inayoongozwa kwa weledi. Labda zile taasisi ambazo Dk Magu ameweka wakuu wapya tu. lakini zingine zote hata zile taasisi zinazoongozwa na walokole ni shiiiiiiidah..
 
Tunakwamishwa na majipu ya waislam.. we mikoa ya waislam kazi wanayojua ni kunywa gahawa we unazani umasikini utaondoka kwa kunywa gahawa na kucheza bao??? waislamu ni jipu.. bado hamuelewi tu..
Kunywa kahawa kuna tafauti gani na kukaa baa na kucheza pool kwa masaa? Uhuru wa nchi hii ulitokea vijiwe vya kahawa
 
Baba wa wakatoliki ametuachia utamaduni wa uongozi ambao muislamu akishika madaraka yoyote inakuwa kosa kubwa. Kila jambo baya atazushiwa. Lakini wakristo hasa wakatoliki ndio wanajiona wanahaki miliki ya nchi hii wao hutasikia hata sik moja akiitwa mdini hata kama anafanya sherehe za mafaniko ya shirika la umma analoongoza katika makanisa na kutumia rasilimali za shirika hilo la umma katika serehe hizo.
 
Mleta mada nilikua nikubaliane na wewe ila umefeli sana uliposema "amejaza wapemba kwenye ofisi zetu" inaonyesha dhahiri wewe ni mbaguzi na kila ulichokiongea ni kwa shinikizo kali kutokana na mawazo yako yakibaguzi
 
hahahahaa mmefanya kazi ya nzuri kuandaa hii kazi. lakini tatizo kubwa na la wazi kabisa ni kwamba HAMJASOMA. kumbukeni wote wenye hizo nafasi hapo wameenda shule ipasavyo. na hizo nafasi zinahitaji watu walioenda shule ipasavyo sio shule ya kufika form 6 tu. nikisema shule namaanisha shule.. elimu ya Ahera ndio inawaponza mnasahau elimu DUNIA.
na taasisi zote hizo ufanisi ni zero
 
Back
Top Bottom