Ingawa we we kwa uelewa wako umeziona ni mondo Mimi nimeona ni unafiki na ubaguzi kwanini pale aliposema kaajiri had I wapemba ndio Hadji yake iliposhuka kama aimu ya mchina na viwanja vya mabondeni aiaee.
Spade as spade hakuna kumung'unya maneno, Wapemba si Watanganyika na kwa maelezo ya mtoa hoja,wameajiriwa wapemba kwa wingi kwa kuwa ni watoto wa Mama mdogo