Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Hili la majengo hapa Arusha ni jambo la kweli kabisa yapo majengo mawili moja lipo mkabala round about Kaloleni halina wapangaji 95% na lingine lipo mkabala na Christ church halina wapangaji kabisa yaani hadi unashangaa hizi fedha zetu zinavyochezewa.
Wanatengeneza njia za upigaji tu hakuna la zaidi.
Yale majengo ni lini yatapata wapangaji wa uhakika kama siyo kiini macho tu.

Huyu Dau ni specie ya JK, ndiyo waliokuwa wanapiga huko.
 
Nilianza kusoma nilipofika hapa " Dr amejaza hadi wapemba" nikaacha maana naamini wote wanaomuita Dr Dau mdini ni watu wenye chuki uislamu na waislamu. Ila huyu ni ameingezea na ubaguzi, siamini mwaka 2016 bado kuna watu wana ubaguzi wa kijinga jinga hivi.
Nimekubaliana na point zote isipokuwa hiyo ya udini na ukabila,ifike wakati tuache propaganda
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.

Duh,kwaiyo mleta mada kaongea point Una maanisha,, aisee kazi IPO
 
waandishi wa habari wanaandaliwa mashindano wiki ya nssf hivi ni wangapi wanajua riba ya mwanachama kwa mwaka ni 1.8% ambayo wengi hawaipati kwa kutojua hili shirika lina hati chafu madhara ya uwekezaji wa dau huwezi kuyaona sasa hivi ila utayaona baada ya kipindi fulani
 
Sometimes shallow minded people should desist from contributing issues. This guy has laid facts bare.Given the fact that he is from within why should we doubt him?The govt should carry out staff audit,including investigating how employment opportunities were offered.
nawe pia mbaguzi, kaleta uzi kiswahili wewe unachangia kichina!!
 
Aisee acheni hizi blabla zilizojaa chuki... Fitna.... Visasi.... Majungu na husda!

Hakuna ushahidi uliotolewa mpaka sasa unaoonesha uhalisia wa hayo usemayo.... Ndio maana Sefue alishindwa Ku provide ushahidi mzito kwa Magu na kuonekana ni mbabaishaji....

Umeeleza sana ya udini vipi umegusa managerial posts za PSPF..... PPF.... LAPF na GEPF? Umeona huko ni dini na kabila gani zimeshika hatamu?

PSPF now linapumulia mirija liko mbioni kufilisika... PPF iko hoi hujajiuliza why NSSF bado ni leading fund yenye mtaji Mkubwa na ufanisi kuliko mifuko yote?

SSRA unafahamu ndiye regulator mkuu wa hii mifuko na unafahamu credits walizoipa NSSF?

Mimi ni mkristo ktk hili sitaki unafiki Dau amelifanya NSSF liwe na ufanisi kuliko nyakati zote....

Nakumbuka wakati ule TANESCO mliendesha vita nzito kumwondosha Dr Idriss Rashid ambaye aliifanya TANESCO kuwa strong kwa muda mfupi na aliweka mipango kabambe kama ingetekelezwa na hawa mgao na uhaba wa umeme ingekuwa historia but now TANESCO inatengeneza hasara ya zaidi ya billion 450!!!!
Nashukuru kwa elimu kubwa uliyompa mtoa mada.hope amekuelewa zaidi ya matarajio yetu.asante..
 
katika watu wapumbavu basi we ni mmoja wapo.

katika suala udini ungetoa facts katika shirika la NSSF kuna waislamu wangapi na wakristo wangapi, then ungelinganisha na mashirika mengine ya kijamii. Udaku mpelekee Shigongo hapa tunataka facts. Non sense
Hivi ikifanyika forensic audit ikagundulika kwamba kulikuwa na ufisadi wa kutisha NSSF mtaficha nyuso zenu wapi?
My advise: In this country anything is possible. Don't forget ule mradi wa daraja la Kigamboni Magufuli aliupinga sana kutokana na costs kuwa inflated ila alipigwa chini na ofisi kubwa!

Watch this space! Usiyemtaka ndo kafika! Nyerere alishawahi kusema..Ukweli unaweza kuuchezea kama unavyotaka..lakini kamwe utajulikana tuu! Yangu macho.
 
Nadhani kama chama CHADEMA mnaweza kulichukua hili kwa kupitia wabunge wenu mkapeleka hoja binafsi bungeni ili Dr Dau achukuliwe hatua kwa kuajili waislamu, wapemba na watu wa Kisarawe. Tusisubiri serikali kwa jambo kama hili maana waislamu, wapemba na watu wa Kisarawe wamejaa pale kwenye shirika nyeti.

Chadema ipendekeze wapemba wote wafukuzwe kwenye ilo shirika maana sio RAIA wa tz,hawana haki yakuajiriwa km asemavyo mleta mada kwa kusapotiwa na kina Ben saa nne
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Ben,
Usinipasue mbavu hizi ndiyo nondo?

Dr. amejaza hadi wapemba kwenye ofisi zetu, kisa mke wake ana asili ya Pemba. Zunguka ofisi zote za mikoa ni nadra kuwakosa wapemba.

Na nyie Chadema fukuzeni wapemba kina Duni Hajji.

Ben hapa tatizo ni Uislam wala hamna chochote mbona mifuko mingine wamejaa wakirsto watupu hamna neno udini au udini uwa unatumika kwa Waislam tu.
 
Sahihi kabisa Mkuu, Amewabagua wapemba kama vile si binadamu wanaopaswa kuajiriwa NSSF endapo wana vigezo vilivyotimia. Mleta mada kadhihirisha chuki + ubaguzi.
Pu.mba kweli hili jamaa lileta mada.sijui nani kalituma kuleta uozo huu.
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Kati ya mtoa mada na idara ya usalama yupi anapaswa kuwa na taarifa zaidi ya mwenzie? Yaani usalama waanzie hapa kupata taarifa ilhali wao ndo wanaopaswa kuwa vyanzo vya taarifa?
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Acha kuamini kila kitu jishughulishe kufikiri.Nssf kila mwaka ongezeko la wanachama linazidi kukua ukilinganisha na mifuko mingine ya hifadhi ya jamii ambayo iko taabani.huduma bora na ubunifu wa dr dau ndio umechangia shirika kuaminika kila uchwao.
 
Ben,
Usinipasue mbavu hizi ndiyo nondo?

Dr. amejaza hadi wapemba kwenye ofisi zetu, kisa mke wake ana asili ya Pemba. Zunguka ofisi zote za mikoa ni nadra kuwakosa wapemba.

Na nyie Chadema fukuzeni wapemba kina Duni Hajji.

Ben hapa tatizo ni Uislam wala hamna chochote mbona mifuko mingine wamejaa wakirsto watupu hamna neno udini au udini uwa unatumika kwa Waislam tu.

Huyu nae sindio walewale, lazima amsapoti huyo mleta thread ya kibaguzi na udini
 
Eti 'Amejaza wapemba kwenye ofisi zetu' 'Hapa ujazungumzia watu wa Kisarawe' Sikutambua kwamba kumbe Wapemba na watu wa Kisarawe hawastahili kupata ajira katika shirika lako la NSSF.

Mleta mada umepotoka na umekosa busara, umeficha utambulisho wako halafu wewe unatoa tuhuma dhidi ya mtu ambaye ameshaondoloewa katika wadhifa huo, taarifa yako inakosa kuamika. Unamwita mwenzako 'mdini' lakini wewe ujidhihirisha ulivyo.
 
Kati ya mtoa mada na idara ya usalama yupi anapaswa kuwa na taarifa zaidi ya mwenzie? Yaani usalama waanzie hapa kupata taarifa ilhali wao ndo wanaopaswa kuwa vyanzo vya taarifa?

Jamaa nahisi account yake imevamiwa,sio yeye
 
Aisee acheni hizi blabla zilizojaa chuki... Fitna.... Visasi.... Majungu na husda!

Hakuna ushahidi uliotolewa mpaka sasa unaoonesha uhalisia wa hayo usemayo.... Ndio maana Sefue alishindwa Ku provide ushahidi mzito kwa Magu na kuonekana ni mbabaishaji....

Umeeleza sana ya udini vipi umegusa managerial posts za PSPF..... PPF.... LAPF na GEPF? Umeona huko ni dini na kabila gani zimeshika hatamu?

PSPF now linapumulia mirija liko mbioni kufilisika... PPF iko hoi hujajiuliza why NSSF bado ni leading fund yenye mtaji Mkubwa na ufanisi kuliko mifuko yote?

SSRA unafahamu ndiye regulator mkuu wa hii mifuko na unafahamu credits walizoipa NSSF?

Mimi ni mkristo ktk hili sitaki unafiki Dau amelifanya NSSF liwe na ufanisi kuliko nyakati zote....

Nakumbuka wakati ule TANESCO mliendesha vita nzito kumwondosha Dr Idriss Rashid ambaye aliifanya TANESCO kuwa strong kwa muda mfupi na aliweka mipango kabambe kama ingetekelezwa na hawa mgao na uhaba wa umeme ingekuwa historia but now TANESCO inatengeneza hasara ya zaidi ya billion 450!!!!
We huna lolote umetumwa tu umtetee dau,mwandishi anamaliza kwa kuomba special audit hiyo ndyo itaeleza ukweli wote hakuna uongo hata kidogo hapo
 
Huyu aliwekwa kwa makusudi kwani baada ya hapo ajira zilizofuata zilikuwa za ‘Msikitini”

Nimesoma huu uharo wako hamna cha maana zaidi ya kuwa na chuki na Uislam na Waislam.
 
dr ameshaondoka tatizo liko wapi? mbona mnaweweseka? tengenezeni shirika lenu, muacheni mzee wa watu, musitafute kuhalalisha chuki zenu zidi ya uislam
 
Back
Top Bottom