Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Wapemba tutawauza wote kenya maana inaonekana watanzania hamuwataki
 
Hata angekuwa babangu bado ningemuita jipu.
Mimi ni mkristo ila sijawahi kupeleka pesa kwa mchungaji kusamehewa dhambi. Huwa nasali peke yangu.
Uwe na kumbukumbu aliyemteua ni mwislam mwenzenu wa Msoga. Ndo ujue ni kiasi gani viongozi wa kiislam walivo bogus kwenye kung'amua weledi wa mtu.
Sisi makafiri hatuna chuki na nyie, hayo ni maneno yenu tu ya kutafuta huruma kwa dunia. Yenu yamewashinda mnaanza kutuchokoza wakati sisi hatuna time na nyie. Ni sawa na mgonjwa wa zinaa ameshindwa kujitibu anatafuta wa kufa nae.
Wewe wasema naabudu sanamu, ila mimi najua namuabudu Mungu na amri zake mapenzi yake natimiza kadri ya mafundisho ya vitabu.
Napenda kukufundisha tabia zenu makafiri lkn Hilo jina lako kila nikiliona Linasababisha Nisite kuendelea Kujadili na wewe.
Sasa ktk majina yoote we umeona naaNTOMBE ndio jina la kutumia hapa hali unatambua lugha yetu wotr ni Kiswahili?
Hebu soma hilo jina halafu unambie mtu akikuita kwa sauti sio TUSI HILO?

Nyie wachaga Sijui mna balaa gani!
Jina limekaa km tendo la ngono ngono hivi.

Hebu badili jina kwanza kisha tuendelee na mjadala.
Halafu punguzeni Ujambazi aisee.
Manake nyie mi nawaogopa sana kwa kazi hizo.
Wengi wenu ma fundi viatu lkn mnajenga kule kishumundu na urru!

Hizo pesa mnatoa wapi etiii.
 
We mtoto wa kijakazi hebu tulia, wenye nyumba tunapozungumza.
Yaani wagalatia wa kichaga wanywa uharo wa mbuzi tayari mnajiona mmeendelea kisa kuna baadhi yenu mko serikalini.

Mijizi mikubwa
Ndii maana Ujambazi hupungua sana mijini Ifikapo Christmas.
Majizi yoote yanakwenda kula vitimoto Rombo!
 
Yaani wagalatia wa kichaga wanywa uharo wa mbuzi tayari mnajiona mmeendelea kisa kuna baadhi yenu mko serikalini.

Mijizi mikubwa
Ndii maana Ujambazi hupungua sana mijini Ifikapo Christmas.
Majizi yoote yanakwenda kula vitimoto Rombo!

Ok, lakini huo ujambazi ndiyo unakulisha wewe na Mama yako.Hivyo endelea kuchunga mifugo yetu
 
Tumlaumu kikwete kwa kupandikiza udini tanzania au Dr Dau wakuja?

Waafrica sijui wakoje. Dini zimeletwa ila yuko radhi kumgandamiza mwenzake kutokana na utofauti wa udini.
Watu kama hawa kina Dr Dau na wenzake na wote wadini ningewanyonga au kuwakata shingo. Mimi nasemaga naomba Mungu sana nisije kuwa raisi wa nchi hii siku moja. Watanzania wale washenzi watakia na kukimbia nchi. Haki bin haki!!
 
Yaani wagalatia wa kichaga wanywa uharo wa mbuzi tayari mnajiona mmeendelea kisa kuna baadhi yenu mko serikalini.

Mijizi mikubwa
Ndii maana Ujambazi hupungua sana mijini Ifikapo Christmas.
Majizi yoote yanakwenda kula vitimoto Rombo!
Huyu jamaa sin haja ya kumtukana maana huwa hanaga points zaidi ya pumba za kidini. Mkuu kila la kheri bali ujue,atakaye kuokota,kukusaidia anaweza kuwa sio mwislamu. Kuwa na tolerance kidogo. Jk bahati nzuri kaondoka nchi hii ikikuwa ya kishenzi sana.
 
Watu makini walikua wameshaliona hili toka zamani na Dau ilikua Lazima atumbuliwe. Ubalozi utamfaa zaidi
 
Nilianza kusoma nilipofika hapa " Dr amejaza hadi wapemba" nikaacha maana naamini wote wanaomuita Dr Dau mdini ni watu wenye chuki uislamu na waislamu. Ila huyu ni ameingezea na ubaguzi, siamini mwaka 2016 bado kuna watu wana ubaguzi wa kijinga jinga hivi.
Inakujabikia kuamini hatakama hutaki hapo ndipo watanzania tulipofikishwa.
Na ndio maana baba wa taifa alisema zambi ya ubaguzi haishii leo tunamuona Adui ni Muislam na Uislam lakini kesho tutamuona mroma ndie Aduwi na kuwataka Walutheli watuombee
 
Napenda kukufundisha tabia zenu makafiri lkn Hilo jina lako kila nikiliona Linasababisha Nisite kuendelea Kujadili na wewe.
Sasa ktk majina yoote we umeona naaNTOMBE ndio jina la kutumia hapa hali unatambua lugha yetu wotr ni Kiswahili?
Hebu soma hilo jina halafu unambie mtu akikuita kwa sauti sio TUSI HILO?

Nyie wachaga Sijui mna balaa gani!
Jina limekaa km tendo la ngono ngono hivi.

Hebu badili jina kwanza kisha tuendelee na mjadala.
Halafu punguzeni Ujambazi aisee.
Manake nyie mi nawaogopa sana kwa kazi hizo.
Wengi wenu ma fundi viatu lkn mnajenga kule kishumundu na urru!

Hizo pesa mnatoa wapi etiii.
Tangu lini JF tukaitana kwa sauti? Haya maajabu ya karne... Au wewe umeumbwa tofauti kwamba ukisoma kwa macho sauti inatoka?

Hatuna balaa sisi, ni kwamba tumewazidi watanzania wengine ujanja na akili.

Hahahaha "limekaa kama" mbona umejijibu mwenyewe kwamba hili jina sio tendo la ngono? Unajidai mswahili lakini unashindwa kujua matumizi ya "limekaa kama"..

Sawa ujambazi tumepunguza ila nasikitika kijiti wamekichukua ma ustadh wenzako. Takwimu roughly zilizopo ni kwamba 90% ya matukio ya ujambazi mkubwa mnahusika moja kwa moja. Hata ile ishu ya 'stakishari' si ma ustadh wenzako au???

Wataacha kujenga sasa akati nimekuambia tumewazidi watanzania wengine kama wewe ujanja na akili? Ni akili kubwa tu kama za wachaga ndo utasikia fundi viatu kajenga nyumba.

Haa unauliza pesa tunatoa wapi? Acha wivu na ufinyu wa akili.. Hivi unaona hilo ni swali kweli....... Halafu wewe unaweza kuwa mteja wangu nataka nikupe training ya kutafuta pesa ndefu uachane na hayo mawazo ya kimasikini ya kuuliza mtu kapata wapi pesa. Andaa dola 100 nikupatie training uondokane na mawazo ya kimaskini.
 
Mkuu ungegusia na la serikali jinsi ilivyochangia kuiharibu hii mifuko hususani NSSF, ningeku-consider for some credits.
 
Nadhani kama chama CHADEMA mnaweza kulichukua hili kwa kupitia wabunge wenu mkapeleka hoja binafsi bungeni ili Dr Dau achukuliwe hatua kwa kuajili waislamu, wapemba na watu wa Kisarawe. Tusisubiri serikali kwa jambo kama hili maana waislamu, wapemba na watu wa Kisarawe wamejaa pale kwenye shirika nyeti.
Tusisahau na mashirika mengine mkuu kama ni suala la uzalendo na fairness. Haya taja na mengine. Maana kuna mpuuzi mmoja aliwahi ku-justify kwanini baadhi ya sehemu wamejaa watu wa kabila fulani kana kwamba ni exclusively reserved kwa hizo kabila.
 
Duh we lazima utakuwa Mchungaji.
Maana unazijua tabia za wachungaji wengi.
Ila jamaa kasema ukweli maana maeneo yenye watu wa swala tano ndiko ufirauni ulikoanza na ulikoshamiri,maeneo ya pwani ya TZ,Mombasa na uarabuni
 
Kulikuwa na haja gani kuwa na utitiri wa mashirika yote haya ya mifuko kama mifuko ya sementi lapf gepf nssf ppf nk nk hapo ndipo tulipokosea
 
Nijipendekeze ili iweje? Nikuridhishe wewe au? Ulianza kubagua Wapemba, unaendelea kuextend ubaguzi wako hadi Temeke(Temeke), Kwa Mtogole(Kinondoni) nakadhalika, una chuki na kitu fulani na vyote hivi nilikuwa nakuchokonoa ili chuki yako idhihirike wazi bila wewe mwenyewe kujijua na sasa ulishajipambanua chuki yako ipo vipi kiasi cha mwenye uwezo wa kupembua ameshaliona hilo, Binafsi bado nakushauri kwa hapa bongo utambue hisia hizo za chuki za ubaguzi kuna watu wanazipanda na kuzipalilia pamoja na kuzimwagilia ili zimee kwa maslahi yao ambapo mwisho wa siku atakaeumia ni wewe na mimi, tafakari kwa kina uchukue hatua, N.B Kwa Tanzania kaburi la mkristo huchimbwa na muislamu na kaburi la muislamu huchimbwa na mkristo.
 
Mm sijuh ila je shirika before Dr na baada ya Dr wapi limepiga hatua wengi tunazungumza udini ila shirika lina malengo yake
 
duuuu hii ni hatari nawashauri tusiliingize suala la udini kwenye mjadala wetu naomba tuwekane sawa jamani, wizi wa pesa za mashirika kwa kweli ni wakutisha sana Mheshimiwa Raisi kama wasaidizi wako wanasomaga humu jamii forum basi watakuwa wanapata pahala pa uanzia
 
Back
Top Bottom