njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,258
- 7,101
We ni sawa na akili za kitimoto,watu wanasema ukweli we unashadadia upuuzi jingakubwa
mtu toka shinyanga ananambia mimi mtoto wa mjini jinga kubwa!! lol...
wasalimie shinyanga
We ni sawa na akili za kitimoto,watu wanasema ukweli we unashadadia upuuzi jingakubwa
UKWELI KUHUSU NA DR. DAU NA NSSF
Mimi ni mfanyakazi wa Shirika tajwa ambaye nimekuwepo toka enzi za kabla Mkulo ajawa Mkurugenzi wa shirika mpaka sasa hivyo nimeshuhudia mabadiliko hasa yanayohusu uongozi chini ya wakurugenzi wakuu hawa wawili.
Kwa ufupi Dr. ameliangusha Shirika kwa kiasi kikubwa, kwangu mimi ni failure.
Bahati mbaya uongozi wa wakurugenzi hawa hauwi exposed kwenye research za wasomi wetu kwani zingechangia kwa kiasi kikubwa “hazina’ ya maarifa ya uongozi kwenye taasisi za Tanzania hasa mashirika ya umma.
TAHADHARI
KWA NINI NASEMA DR ALIVURUNDA?
- Natambua kwamba Dr alitumia pesa nyingi kwa waandishi wa habari kudhibiti habari hasizozipenda zisitoke. Hili yeyote mwenye uzoefu na ‘media’ ya Tanzania analielewa. Bahati mbaya sana hata jukwaa la wahariri kama taasisi imekuwa ikinufaika sana na fedha za shirika zisizo na maelezo ya kutosha chini ya mgongo wa shughuli mbalimbali.
- Toka ameingia amekuwa akiajiri wafanyakazi kwa upendeleo kama nitakavyoeleza hapo chini, hivyo ana watetezi wengi kwa sababu tu ‘walibebwa’, na inaeleweka kuwepo kwa vibaraka anaowalipa wanaoshinda kwenye ‘social media’ kama hii.
Kwa ufupi tumuangalie kwenye sehemu kubwa zifuatazo
UDINI
- Udini
- Ubadhirifu
- Kushuka kwa ufanisi
- Kuongeza gharama za uendeshaji
Natambua unyeti wa hii mada, na mara nyingi wenye busara wamekuwa wakikwepa kuijadili kiundani. Lakini ukimya kwenye hili unachangia kuongezeka kwa tatizo, wakati mwingine ni muhimu kulizungumza umma ujue.
Udini umetamalaki sana kwenye Shirika kwani kuna makundi mawili, waislam wanaotamba bila aibu kwamba ni zamu yetu, na wengineo ambao wamekuwa labeled na kundi la kwanza kama mafirauni au wakorintho. Hili jambo liko wazi sana na kwa sababu anatumia secret informers watu wamekuwa waoga hata kuongea.
Binafsi nasikitika udini nilioushuhudia kwa msomi huyu. Udini ulihusisha mambo mengi;
Alianza kwanza na umeneja, na alitumia accomplices kama kina Dr Asad ambaye alikuwa mjumbe wa board lkn alitumika kama ‘consultant” katika kuendesha udahili na kutoa marks za upendeleo kwa candidates wa umeneja.
- Kutoa vyeo kwa upendeleo. La kwanza alipofika alianziha scheme of work yak echini ya mwamvuli wa consultant “REDMA”. Kwenye hili kupanda ngazi kwa mfanyakazi hakukuangalia muda wa ajira wa mfanyakazi. NSSF ni moja ya taasisi za ajabu ambapo, mfanyakazi mwenye level ya elimu, say degree aliyetumikia Shirika kwa miaka 18 na rekodi nzuri ya performance, ana mshahara sawa na aliyeajiriwa mwezi uliopita!. Hili alilifanya makusudi hili kuwainua wapya na kuwakandamiza wa zamani. Uliza staff yeyote wa Shirika mwenye muda wa kabla ya Dr atakwambia jinsi alivyopandisha vyeo watu wake na kuwakandamiza ‘mafirauni” kama wanavyowaita.
Huyu aliwekwa kwa makusudi kwani baada ya hapo ajira zilizofuata zilikuwa za ‘Msikitini”. Unaweza usielewe hili lakini ndio ukweli wenyewe. Inasikitisha pale watoto wa wakulima walipoitwa kwenye usaili toka sehemu mbalimbali za Tanzania kwa gharama kubwa, ili kujustify open recruitment process, lakini hatimaye wanaoajiriwa ni yale majina aliyopelekewa Dr na wazee wanapokutana misikitini. Uliza watu walioitwa kwenye usaili watakwambia pale unaajiriwa kwa kigezo cha dini.
- Ajira za udini na undugu. Alipofika alihakikisha idara nyeti zote ameweka watu wa dini yake, au la basi boss wa idara anakuwa wa dini yake na surbodinates wote wanakuwa hawana nafasi ya kutoa ushauri. Kwanza alitangaza ajira za Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu (DHRA), cha ajabu watu wazito na wenye CV nzito walipigwa chini akachukuliwa Matesa, ambaye hata elimu yake ni questionable. Hili linaweza likathibitishwa na tume huru kwa kuwapitia walioomba hiyo nafasi na kuonyesha applications zilizofunikwa.
Matesa bila aibu ameajiri watoto wake waume wa watoto wake na wake wa watoto wake.
Dr. amejaza hadi wapemba kwenye ofisi zetu, kisa mke wake ana asili ya Pemba. Zunguka ofisi zote za mikoa ni nadra kuwakosa wapemba. Hapa ujazungumzia watu wa Kisarawe.
Lakini la kuchekesha zaidi ni ajira za mafungu na bila kutangaza wala interview zinazofanyika mara kwa mara. Ni kawaida sana kukuta wanaletwa wafanyakazi kama 6 au 18 na kuambiwa wakaripoti idara mbalimbali na zile idara/sehemu zinashangaa kwa sababu hawana uhitaji wa watu hao.
Zamani tulikuwa na utaratibu m,adereva na wahudumu wa ofisi wanaajiriwa na mameneja wa mikoa, faida ya huu utaratibu zinajulikana. Lakini sasa hivi matesa kajaza madereva wake mikoani hata wasio na sifa. Kuna dereva moja halishindwa kuendesha gari, ikabidi ampe kazi nyingine na kumleta mtu wake tena.
Kuna wafanyakazi waliopachikwa ngazi ya ‘officer’ wakati hawana degree kama requirements za position zinavyotaka.
Kwenye idara ya uwekezaji alihakikisha anajaza watu wake ili kulinda uozo wake.
Hii ni kwa wote wakubwa na wadogo. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala Mr Mniwako alifukuzwa bila sababu za msingi na Dr hakuona ni kuchezea fedha za umma kumlipa mamilioni ya shilingi, hili kuzuia kushtakiwa.
- Kufukuzwa kazi kundi moja na kutofukuzwa kundi lingine.
Pitia kesi mbalimbali za nidhamu utagundua wafanyakazi wengi walifukuzwa kwa kuonewa na ndo maana wengi wamefungua kesi.
UBADHIRIFU
Hapa ndipo penye uvundo wa karne.
Dr pamoja na kujitia ni mtu wa dini huwa nashangaa sana madhambi ya ubadhirifu anayofanya. Kwa picha ya nje, ongea na macontrakta watakwambia madeni wanaoidai NSSF na jinsi wanavyopigwa dana dana, ongea na wanachama watakiri kuwahi kucheleweshewa malipo bila sababu za msingi, kadhalika wafanyakazi wa Shirika kucheleweshewa mishahara na malipo mbalimbali. Kwa ufupi kwa tulio ndani hali ya kifedha ni mbaya.
Lakini yote hii imesabnabishwa na ufisadi uliokithiri, na ninatoa rai ya kuwepo kwa special audit kwenye hili. Kwa nature bya shughuli za shirika huwa tuna balance short term investments na long term investments kulingana na projected short tern na long term liabilities. Lakini kwa utawala huu fedha zote zililazimishwa kwenda long term investments. Sababu iko wazi, hata kama hizo long term investments hazilipi, commission yake ni kubwa, yaani ni rahisi ‘kupiga’ fedha kubwa.
Angalia majengo makubwa Kigoma, Kahama, Arusha, Kilimanjaro na kwingineko. Yamejengwa kwa gharama kubwa(inflated costs) na hamna wapangaji! Hivi ni mabilioni mangapi ya watanzania yamezikwa? Dege beach, daraja la kigamboni etc.
Viwanja vilivyonunuliwa kwa inflated price ni vingi mno!
Tunamshukuru sana Mkulo aliyejenga asset base kubwa ambayo kina Dr wanaibomoa. Na kuna wajinga wanamsifu Dr kwa miradi isiyolipa naya kifisadi aliyoifanya, badala ya Kumsifu Mkulo kwa sound financial management iliyosababisha tuwe na strong asset base!
Kwenye ewekezaji kuna uvundo mwingi, rai yangu kuwe na SPECIAL AUDIT.
KUSHUKA KWA UFANISI
Kwa maelezo hayo juu ni wazi ufanisi utashuka. Ufanisi umeshuka sana hasa eneo la uandikishaji wanachama wapya na ukusanyaji michango. Kwa kiasi kikubwa hili limetokana na utawala wa kiimla na ushirikishwaji duni wa wafanyakazi kwenye uaandaaji mipango na mikakati inayotekelezeka.
Dr amekuwa aki dictate malengo mapya bila kuwa na justification. Mfano kuweka malengo ya kuandikisha wanachama 500,000 toka sekta isiyo rasmi wakati shirika toka lianze lina wastani wa idadi ya wanachama 500,000! Na hapo hamna mikakati na resources za kutosheleza zilizowekwa.
Vilevile kumekuwa na upangaji wa wafanyakazi kwenye idara husika bila kuwahusisha idara husika.
Sababu mojawapo ya kuweka malengo makubwa hata yasiyofikika hili aweze kutumia pesa zaidi kwani sheria yetu inataka matumizi yasizidi asilimia 15 ya kipato.
KUONGEZEKA KWA GHARAMA
Kutokana na maelezo ya juu nidhahiri gharama zitapanda. Shirika limekuwa na wafanyakazi wengi kuliko wanaohitajika sababu tu mtu alikuwa na ajenda ya kuajiri ‘wenzetu’ bila kuangalia mahitaji.
Vilevile vimeundwa vyeo vipya vingi hili kutengeneza nafasi za ‘wenzetu’. Pia uwekezaji uliopitiliza usiozingatia miiko, ufanisi, urari na uhitaji kwa wakati uliopo.
RAI KWA WANACHAMA NA WATANZANIA
- Hasara kwa shirika ni kubwa sana. Bahati mbaya vyombo vya udhibiti kama bodi havina nguvu na wamekuwa wakifaidika kwa malipo mbalimbali. Najua kwenye bodi kuna uwakilishi wa wafanyakazi kupitia Shirikisho, lakini wameshindwa kulinda maslai ya wanachama. Nawashauri mdai mabadiliko hili wawakilishi kwenye bodi wapigiwe kula kama ilivyo Kenya.
- Iundwe tume huru hili kuchunguza shutuma hizi ambazo ni nzito na nina uhakika ukweli utawekwa wazi. Ili la tume huru ni muhimu sana kwani litaondoa propaganda zinazoendelea na kuwachanganya watanzania, wasijue ukweli ni upi.
Mbona yule aliyejenga nyumba Mchechu mnasema nyumba kamaliza ila haziuziki?? Mbona yeye hamsemi investment ya leo tutaiona kesho?? Au kwakuwa yeye mkristo
Mchechu si mnamtukana kila siku kwa hilohilo alilofanya Dau?? Si mnasema anajenga majengo makubwa alafu anakosa wapangaji au??Biashara zote huangalia forecastes, demand and supply !! Wewe umekurupuka bila kufahamu.....jifunze kusoma posts vizuri na kwa kituo!!
zitafute zipo humuhumu JFMwenye data ya mashirika mengine atuwekee hapa tufanye comparison shirika lipi hasa kuna udini! KUNA MTU ASHAWAHI KUZI- UPLOAD HUMU
Kama mpemba usingesema "me"Me mpemba lakini umesema ukweli
Duuuuuu hali ni mbaya sana jamani, chuki hadi magegoni. Dau mmoja watu wanajamba cheche utafikiri wapo milioni 10. kesho mkisikia kuna Dau mwingine kapewa TANESCO haki ya nani mbuzi katoliki hatalika.
Kwa ninavyoona mimi huko mbele ya safari nchii hii itakuja kuwa ba vurugu kushinda nchi zote za afrika mashariki na hili litatokan na serikali itatumia nguvu nyingi kulikandamiza kundi moja wakati vurugu hizo zikianza na kundi hili litaona sasa halina refa wa haki, hapo tanzania itakuwa imepotea na hakuna atakae salimika.
Msije fikiri haya yanayotokea kwingine hapa kwetu hayawezekani, yatawezekana sisi tuendelee kupalia mkaa moto ushike kasi, na huko kwenye vyombo vya usalama nako pia kutavurugika, wapo walioshika dini zao barabara iwe wakirsto au waislamu, itafikia muda hawatakubali ''wenzao'' wadhulumiwe bila sababu, hilo likitokea ndio itakuwa kilele cha vurugu kama ilivyo kwengineko.
inawezekana kuna baadhi ya maeneo waislamu hawapewi nafasi kwa kuogopa kwamba itakapofika wakati wakuambiwa sasa tunaanza chinjachinja isiyo na sababu, damu na maji ya dini yao itawashinda na hawatakubali kuwasaliti ndugu zao, basi ndipo hapo hawatapewa vyeo vyakueleweka ili siri zisijulikane na ikibidi hawatausika kwenye maamuzi kwani hawatakuwa na vyeo vya ngazi hizo.
Nchi tutaimaliza sisi wenyewe kwa kudhani mm bora kuliko yule, mm ninashule huyu ana madrasa.
Ni hatari sana kuelezea hisia zako kwa tuhuma nzito kama hizi bila kuonyesha ushahidi kisayansi. Ungetoa data kwa mfano upande wa dini X kuna % y na upande wa dini Q kuna % z kunanzia apewe madaraka ya ukurugenzi.Na kwa kulinganisha hizo % tunaona kunamabadiliko kadha wa kadha e.g. financially, economicaly, socially n.k. Halafu ungeonyesha kuwa shirika halijakua au limedidimia, therefore Dr. Dau kwa udini wake ameingizia hasara taifa hili.
Kwa jinsi ulivyoeleza haueleweki zaidi watu wanakuona wewe ndio mdini na mtu hatari kwa jamii yetu. Anyway, haya ya udini tunasafari ndefu sana kuondokana nayo. Dawa ni kuwatengenezea maroboti ili yafanye kazi nanyi mle bata ili msiwe mnabishana wa dini hii au dini ile.
Kwa sisi ambao hatupo humo NSSF, kujengwa kwa daraja tunaona kutakua na manufaa manake litatumika na wadini zote japo hatujui analysis ilifanywaje mpaka kufikia uwamuzi wa uwekezaji.Otherwise serikali ingepaswa kukopa pesa e.g. world bank kwa ajili kufanya hiyo kazi. Labda utueleze kwa nini mradi wa daraja la kigamboni haukua sahihi na nini kingefanyika kama mbadala while considering time value of money for the investment.AU ungesama jamaa kapiga ngapi kwenye mradi. Lakini kama pesa iliyokadiriwa imetumika na kufuata sheria hata kama halina faida lakini litatumika kwa mawasiliano kati ya upande A na B.
Wana weweseka !! Cha kushangaza wamempata JPM na bado hawajiamini.Mkuu.
Umeongea kwa hekima sana.
Siku zoote hawa waimba kwaya tokea enz za nyerere walishajiona kuwa wao ndio wenye hati miliki ya nchi hii eti kwa kuwa wana shule.
Na Islamophobia imewaganda kias kwamba wakimuona muislam kwenye hayo maofisi basi wanadhan kaenda kuwalipua na mabomu...wanakosa aman kabisa.
Ni chuki tuh zimewajaaa...
U know christians in this country they forgot that the heroes who fought for the freedom of this country majority were muslims
And when our grandfathers fought for the liberation their grands were collabaroting with those white cockroaches...our fathers didnt intend to build islamic country in those liberation struggles...infact they were fighting with true African nationalism..
But guess what whats happening now.
Hawa jamaa ambao wazee wao walikua wanawakumbatia wale mabwana zao leo wanataka kujiaminisha kuwa nchi hii first class citizen ni wao tuh waimba kwaya kitu ambacho sicho.
Nchi hii haiwez kuwa hati miliki ya kanisa..
Waende wakasome history vizuri
Angesema "Mie mpemba yakhee"Kama mpemba usingesema "me"
Hivi kuna mafisadi kama waislamu? Nadhani ulipata ile list ya waliokwepa kodi na ma engineer namba moja wa wizi bandarini asilimia 90 ni waislamu. sasa usidhani kwamba utaniaminisha kwamba waimba kwaya ni wezi akati wezi unasali nao kila ijumaa pale "kwa mtoro"
Na kwenye elimu hata msijisifie kabisa though ni kweli baadhi ya waislam waliosoma ni vichwa kama kina Lipumba lakini uwepo wa wasomi wa kiisilamu wenye akili ni sawa na kutafuta punje ya sukari kwenye gunia la mchanga.
Tatizo waislamu mkikosolewa kidogo na waimba kwaya mnaanza kupaniki. Mi nimetembea sana mikoa ya waislamu na hali inatisha huko. Mna ujinga mwingi upo kichwani na bado kwenye elimu mna safari ndefu. Hata vyuoni hao wachache waliopo bado ni vilaza wa kutupwa.
Kwa kifupi NSSF imekuwa ikitoa contract mara mbili mbili kwa mradi mmoja na ku-inflate actual figures.Ile kamati ya PAC ili-overlook hili shirika,sijui kwanini
Ungeweka balance sheet ya Mkulo na ya Dau halafu tukalinganisha vinginevyo uinaonekana nimjinga fulani hivi !UKWELI KUHUSU NA DR. DAU NA NSSF
Mimi ni mfanyakazi wa Shirika tajwa ambaye nimekuwepo toka enzi za kabla Mkulo ajawa Mkurugenzi wa shirika mpaka sasa hivyo nimeshuhudia mabadiliko hasa yanayohusu uongozi chini ya wakurugenzi wakuu hawa wawili.
Kwa ufupi Dr. ameliangusha Shirika kwa kiasi kikubwa, kwangu mimi ni failure.
Bahati mbaya uongozi wa wakurugenzi hawa hauwi exposed kwenye research za wasomi wetu kwani zingechangia kwa kiasi kikubwa “hazina’ ya maarifa ya uongozi kwenye taasisi za Tanzania hasa mashirika ya umma.
TAHADHARI
KWA NINI NASEMA DR ALIVURUNDA?
- Natambua kwamba Dr alitumia pesa nyingi kwa waandishi wa habari kudhibiti habari hasizozipenda zisitoke. Hili yeyote mwenye uzoefu na ‘media’ ya Tanzania analielewa. Bahati mbaya sana hata jukwaa la wahariri kama taasisi imekuwa ikinufaika sana na fedha za shirika zisizo na maelezo ya kutosha chini ya mgongo wa shughuli mbalimbali.
- Toka ameingia amekuwa akiajiri wafanyakazi kwa upendeleo kama nitakavyoeleza hapo chini, hivyo ana watetezi wengi kwa sababu tu ‘walibebwa’, na inaeleweka kuwepo kwa vibaraka anaowalipa wanaoshinda kwenye ‘social media’ kama hii.
Kwa ufupi tumuangalie kwenye sehemu kubwa zifuatazo
UDINI
- Udini
- Ubadhirifu
- Kushuka kwa ufanisi
- Kuongeza gharama za uendeshaji
Natambua unyeti wa hii mada, na mara nyingi wenye busara wamekuwa wakikwepa kuijadili kiundani. Lakini ukimya kwenye hili unachangia kuongezeka kwa tatizo, wakati mwingine ni muhimu kulizungumza umma ujue.
Udini umetamalaki sana kwenye Shirika kwani kuna makundi mawili, waislam wanaotamba bila aibu kwamba ni zamu yetu, na wengineo ambao wamekuwa labeled na kundi la kwanza kama mafirauni au wakorintho. Hili jambo liko wazi sana na kwa sababu anatumia secret informers watu wamekuwa waoga hata kuongea.
Binafsi nasikitika udini nilioushuhudia kwa msomi huyu. Udini ulihusisha mambo mengi;
Alianza kwanza na umeneja, na alitumia accomplices kama kina Dr Asad ambaye alikuwa mjumbe wa board lkn alitumika kama ‘consultant” katika kuendesha udahili na kutoa marks za upendeleo kwa candidates wa umeneja.
- Kutoa vyeo kwa upendeleo. La kwanza alipofika alianziha scheme of work yak echini ya mwamvuli wa consultant “REDMA”. Kwenye hili kupanda ngazi kwa mfanyakazi hakukuangalia muda wa ajira wa mfanyakazi. NSSF ni moja ya taasisi za ajabu ambapo, mfanyakazi mwenye level ya elimu, say degree aliyetumikia Shirika kwa miaka 18 na rekodi nzuri ya performance, ana mshahara sawa na aliyeajiriwa mwezi uliopita!. Hili alilifanya makusudi hili kuwainua wapya na kuwakandamiza wa zamani. Uliza staff yeyote wa Shirika mwenye muda wa kabla ya Dr atakwambia jinsi alivyopandisha vyeo watu wake na kuwakandamiza ‘mafirauni” kama wanavyowaita.
Huyu aliwekwa kwa makusudi kwani baada ya hapo ajira zilizofuata zilikuwa za ‘Msikitini”. Unaweza usielewe hili lakini ndio ukweli wenyewe. Inasikitisha pale watoto wa wakulima walipoitwa kwenye usaili toka sehemu mbalimbali za Tanzania kwa gharama kubwa, ili kujustify open recruitment process, lakini hatimaye wanaoajiriwa ni yale majina aliyopelekewa Dr na wazee wanapokutana misikitini. Uliza watu walioitwa kwenye usaili watakwambia pale unaajiriwa kwa kigezo cha dini.
- Ajira za udini na undugu. Alipofika alihakikisha idara nyeti zote ameweka watu wa dini yake, au la basi boss wa idara anakuwa wa dini yake na surbodinates wote wanakuwa hawana nafasi ya kutoa ushauri. Kwanza alitangaza ajira za Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu (DHRA), cha ajabu watu wazito na wenye CV nzito walipigwa chini akachukuliwa Matesa, ambaye hata elimu yake ni questionable. Hili linaweza likathibitishwa na tume huru kwa kuwapitia walioomba hiyo nafasi na kuonyesha applications zilizofunikwa.
Matesa bila aibu ameajiri watoto wake waume wa watoto wake na wake wa watoto wake.
Dr. amejaza hadi wapemba kwenye ofisi zetu, kisa mke wake ana asili ya Pemba. Zunguka ofisi zote za mikoa ni nadra kuwakosa wapemba. Hapa ujazungumzia watu wa Kisarawe.
Lakini la kuchekesha zaidi ni ajira za mafungu na bila kutangaza wala interview zinazofanyika mara kwa mara. Ni kawaida sana kukuta wanaletwa wafanyakazi kama 6 au 18 na kuambiwa wakaripoti idara mbalimbali na zile idara/sehemu zinashangaa kwa sababu hawana uhitaji wa watu hao.
Zamani tulikuwa na utaratibu m,adereva na wahudumu wa ofisi wanaajiriwa na mameneja wa mikoa, faida ya huu utaratibu zinajulikana. Lakini sasa hivi matesa kajaza madereva wake mikoani hata wasio na sifa. Kuna dereva moja halishindwa kuendesha gari, ikabidi ampe kazi nyingine na kumleta mtu wake tena.
Kuna wafanyakazi waliopachikwa ngazi ya ‘officer’ wakati hawana degree kama requirements za position zinavyotaka.
Kwenye idara ya uwekezaji alihakikisha anajaza watu wake ili kulinda uozo wake.
Hii ni kwa wote wakubwa na wadogo. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala Mr Mniwako alifukuzwa bila sababu za msingi na Dr hakuona ni kuchezea fedha za umma kumlipa mamilioni ya shilingi, hili kuzuia kushtakiwa.
- Kufukuzwa kazi kundi moja na kutofukuzwa kundi lingine.
Pitia kesi mbalimbali za nidhamu utagundua wafanyakazi wengi walifukuzwa kwa kuonewa na ndo maana wengi wamefungua kesi.
UBADHIRIFU
Hapa ndipo penye uvundo wa karne.
Dr pamoja na kujitia ni mtu wa dini huwa nashangaa sana madhambi ya ubadhirifu anayofanya. Kwa picha ya nje, ongea na macontrakta watakwambia madeni wanaoidai NSSF na jinsi wanavyopigwa dana dana, ongea na wanachama watakiri kuwahi kucheleweshewa malipo bila sababu za msingi, kadhalika wafanyakazi wa Shirika kucheleweshewa mishahara na malipo mbalimbali. Kwa ufupi kwa tulio ndani hali ya kifedha ni mbaya.
Lakini yote hii imesabnabishwa na ufisadi uliokithiri, na ninatoa rai ya kuwepo kwa special audit kwenye hili. Kwa nature bya shughuli za shirika huwa tuna balance short term investments na long term investments kulingana na projected short tern na long term liabilities. Lakini kwa utawala huu fedha zote zililazimishwa kwenda long term investments. Sababu iko wazi, hata kama hizo long term investments hazilipi, commission yake ni kubwa, yaani ni rahisi ‘kupiga’ fedha kubwa.
Angalia majengo makubwa Kigoma, Kahama, Arusha, Kilimanjaro na kwingineko. Yamejengwa kwa gharama kubwa(inflated costs) na hamna wapangaji! Hivi ni mabilioni mangapi ya watanzania yamezikwa? Dege beach, daraja la kigamboni etc.
Viwanja vilivyonunuliwa kwa inflated price ni vingi mno!
Tunamshukuru sana Mkulo aliyejenga asset base kubwa ambayo kina Dr wanaibomoa. Na kuna wajinga wanamsifu Dr kwa miradi isiyolipa naya kifisadi aliyoifanya, badala ya Kumsifu Mkulo kwa sound financial management iliyosababisha tuwe na strong asset base!
Kwenye ewekezaji kuna uvundo mwingi, rai yangu kuwe na SPECIAL AUDIT.
KUSHUKA KWA UFANISI
Kwa maelezo hayo juu ni wazi ufanisi utashuka. Ufanisi umeshuka sana hasa eneo la uandikishaji wanachama wapya na ukusanyaji michango. Kwa kiasi kikubwa hili limetokana na utawala wa kiimla na ushirikishwaji duni wa wafanyakazi kwenye uaandaaji mipango na mikakati inayotekelezeka.
Dr amekuwa aki dictate malengo mapya bila kuwa na justification. Mfano kuweka malengo ya kuandikisha wanachama 500,000 toka sekta isiyo rasmi wakati shirika toka lianze lina wastani wa idadi ya wanachama 500,000! Na hapo hamna mikakati na resources za kutosheleza zilizowekwa.
Vilevile kumekuwa na upangaji wa wafanyakazi kwenye idara husika bila kuwahusisha idara husika.
Sababu mojawapo ya kuweka malengo makubwa hata yasiyofikika hili aweze kutumia pesa zaidi kwani sheria yetu inataka matumizi yasizidi asilimia 15 ya kipato.
KUONGEZEKA KWA GHARAMA
Kutokana na maelezo ya juu nidhahiri gharama zitapanda. Shirika limekuwa na wafanyakazi wengi kuliko wanaohitajika sababu tu mtu alikuwa na ajenda ya kuajiri ‘wenzetu’ bila kuangalia mahitaji.
Vilevile vimeundwa vyeo vipya vingi hili kutengeneza nafasi za ‘wenzetu’. Pia uwekezaji uliopitiliza usiozingatia miiko, ufanisi, urari na uhitaji kwa wakati uliopo.
RAI KWA WANACHAMA NA WATANZANIA
- Hasara kwa shirika ni kubwa sana. Bahati mbaya vyombo vya udhibiti kama bodi havina nguvu na wamekuwa wakifaidika kwa malipo mbalimbali. Najua kwenye bodi kuna uwakilishi wa wafanyakazi kupitia Shirikisho, lakini wameshindwa kulinda maslai ya wanachama. Nawashauri mdai mabadiliko hili wawakilishi kwenye bodi wapigiwe kula kama ilivyo Kenya.
- Iundwe tume huru hili kuchunguza shutuma hizi ambazo ni n na nina uhakika ukweli utawekwa wazi. Ili la tume huru ni muhimu sana kwani litaondoa propaganda zinazoendelea na kuwachanganya watanzania, wasijue ukweli ni upi.
Acha kuleta stori za abunuasi hapa.
Dini ya utamaduni umeianzisha wewe?
Unafahamu maana ya Dini kwanza?
Zipo zile za mababu wa zamani za kuzunguka Moto uchi. Au na wewe ni mmoja wao.
kaombe ubalozi wa nyumba kumi ale karibu na makao makuu ya chadomo, maana huna kitu huko !Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.
Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.
Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Tunapiga kelele kwasababu hiki shirika limetafuna billions of shillings kwa miradi ambayo Hata hawakufanya due diligenceLete ushahid.
Yani kisa wewe umeongea tuh then tuamin unachokisema?
Af why always Nssf tuh?
Pension funds ziko nyingi tuh why Nssf
Mti wenye matunda daima ndiyo hupigwa mawe