Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Kuna nondo gani zilizowekwa hapa, au kwa kuwa
amezungumzia ubaguzi wa dini ambao wewe ni shabiki.

Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
 
hahahahaa mmefanya kazi ya nzuri kuandaa hii kazi. lakini tatizo kubwa na la wazi kabisa ni kwamba HAMJASOMA. kumbukeni wote wenye hizo nafasi hapo wameenda shule ipasavyo. na hizo nafasi zinahitaji watu walioenda shule ipasavyo sio shule ya kufika form 6 tu. nikisema shule namaanisha shule.. elimu ya Ahera ndio inawaponza mnasahau elimu DUNIA.

"Toa data za wasomi wa Tanzania na Dini zao, kuthibitisha unalolisema." hatupendi porojo"
 
Kwa Dr. Dau kuwa na hisia za udini au kuamini kuwa 'waislamu wamedhulumiwa' hilo halina mjadala. Ni mmoja wa watu walioshirikiana na Prof. Njozi wakati wote wapo UDSM kuandika kile kitabu pendwa cha wenzetu 'Mwembechai Killings'. Humo, Njozi kamshukuru Dr. Dau kwa mchango wake.

Hivyo kama anatuhumiwa kwa udini, mimi sishangai. Maana anayotuhumiwa kuyatenda, ndiyo yanayolalamikiwa kwenye hicho kitabu pendwa.

Hayo ya “Mwembechai Killings” kwani ni uongo hayakutokea?
 
Chadema ipendekeze wapemba wote wafukuzwe kwenye ilo shirika maana sio RAIA wa tz,hawana haki yakuajiriwa km asemavyo mleta mada kwa kusapotiwa na kina Ben saa nne

Huyo Ben ni Mchagga, ulitegemea kuwa atawa_support Wapemba?!

Tunapowaambia kwamba hawa Wachagga wametawaliwa na ubinafsi huwa hamtuelewi.
 
Ingependeza kiuandishi kama ungebalance stori yako kwa kuongelea pia mazuri yake halafu ukaacha wasomaji wapambanue.Lakini thread yako inamlazimisha msomaji akubaliane na unachi kiamini,alkini unampa kazi ya kujiuliza ,`je mtu huyu hana mazuri alio yafanya`? kazi ungeifanya tusingepoteza mda.
 
Mnamzungumzia Dau yupi?

Huyu anayemiliki uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu nyumbani kwake hapa kigamboni huku wachezaji ni watoto wake na mtazamaji ni yeye?

Huyu anayemkodishia mwanae ndege kwenda rufiji asubuhi kushinda na bibi yake na kisha jioni ndege hiyo inamrudisha kila ijumaa?

Huyu anayejilipa mshahara milioni 38 kwa mwezi?

Dau yupi huyo?[/QUOT

Unahoji mshahara wa Dr Dau 38m, mbona wenzake wa LAPF, PSPF , PPF, GEPF wanapata kiasi kama hicho. Hukulijua hilo?

kwa mshahara wa Dau unashangaa nini kumkodia mwanae ndege kutoka rufiji hadi dar

Acha wivu wa kike wewe
 
Kunywa kahawa kuna tafauti gani na kukaa baa na kucheza pool kwa masaa? Uhuru wa nchi hii ulitokea vijiwe vya kahawa

“Uhuru wa nchi hii ulitokea kwenye vijiwe vya kahawa”

Ahsante, kuna watoto wapo humu wamezaliwa jana, hawajui lolote...hawapendi kujifunza. Mfumo kristo umewatia upofu!
 
Kitambo kipindi nipo chuo kuna jamaa yangu alikuwa UDBS aliniambia anasubiria kumaliza chuo yeye anao uhakika wa kazi Nssf sababu Jamaa yake Haruna Mbeyu na Dau Mabest kwahiyo tabu Hana kweli jamaa amemaliza ndani ya mwezi mmoja tu akapata kazi Nssf...kwenye hii thread nimejifunza kitu
 
Kitambo kipindi nipo chuo kuna jamaa yangu alikuwa UDBS aliniambia anasubiria kumaliza chuo yeye anao uhakika wa kazi Nssf sababu Jamaa yake Haruna Mbeyu na Dau Mabest kwahiyo tabu Hana kweli jamaa amemaliza ndani ya mwezi mmoja tu akapata kazi Nssf...kwenye hii thread nimejifunza kitu
Na wewe ulipataje kazi kama siyo kupitia vigango vya Kanisa.
 
Na wewe ulipataje kazi kama siyo kupitia vigango vya Kanisa.




Teh! Teh! Teh! Teh! Sijawahi kushikwa mkono kwenye kazi mkuu wakati nipo COET nilikuwa moto wa kuotea mbali.ukiwa competent unafanya kazi popote endelea kusubiria kushikwa mkono kijana na degree zenu za kikuda
 
heheheee naona yule muhuni magori baada ya kuchoka kutembea na wake za watu sasa anatafuta sympathy kwa kupitia wapuuzi kama mleta mada. huu ni upumbavu wa muda mrefu. go do a thorough research. JF sio kijiwe baridi kwa kuleta mazungumzo ya kwenye madanguro. mleta mada akiweza kuleta facts then ataondolewa kwenye list ya walevi wa upumbavu na udini till then mleta mada hana tofauti na mwisho wa utumbo
 
Hayo ya “Mwembechai Killings” kwani ni uongo hayakutokea?
Nenda kasome kitabu hicho. Wengi wenu hamjakisoma, ila mnapenda kusimuliana habari za kitabu hicho. Mimi sipingi kwamba mauaji na matumizi ya nguvu kupita kiasi havikutokea. Nina mtazamo tofauti pale ambapo suala moja limejumuisha tuhuma nyingi ( ambazo hakuna anayeweza kuthibitisha) kuwa ndio ukweli wa mambo.

Binafsi sina shida kama itakuja thibitika kuwa Waislamu kama jamii wamewahi kudhulumiwa na serikali kimfumo na kwa makusudi. Nitakuwa wa kwanza kuomba wafidiwe na walioshiriki wawajibishwe. Ninapinga mtu kujenga tuhuma na kuzitumia kama mtaji. Mwembechai Killings imempa shavu Prof. Njovu pale MUM, ni VC kwa miaka zaidi ya 10. Humsikii akipiga kelele tena. Ameshiba. Wakati huohuo ameshindwa hata kuanzisha campus ktk mikoa ya 'watu wake'. Badala yake tunaona SAUT wakianzisha campus Mtwara. Talking is cheap, Walking the talk is the real deal!

Kuna vijiwe vingi vya kuuza ummbea kwa jina la kutetea maslahi ya waislam. Vinatema maneno makali bila ushahidi na wanavijiwe wanaamini na kula yamini. Mfano mzuri ni suala la Ndalichako. Ndalichako aliyeolewa na Muislamu eti nae anawadhulumu waislamu. Je ni wangapi wanamjua mume wa Ndalichako, profesa wa uhandisi pale UDSM? Yaani mkristo ambaye huenda kakosana hata na ukoo wake kwa kuolewa na muislamu awe anadhulumu waislamu na mume wake awe anamuangalia tu? Mnachuma dhambi za bure kwa ummbea wa vijiweni.
 
Hili la majengo hapa Arusha ni jambo la kweli kabisa yapo majengo mawili moja lipo mkabala round about Kaloleni halina wapangaji 95% na lingine lipo mkabala na Christ church halina wapangaji kabisa yaani hadi unashangaa hizi fedha zetu zinavyochezewa.
Usiende mbali hapa kilimani street ada estate, karibu na leaders club kuna yale majengo yaliyokuwa TZR club baadae ikanunuliwa na NSSF na kuwapangisha Tanzania Heart Institute baadae wakatimuliwa. Yale majengo sasa yana muda mrefu hayana wapangaji na yako kwenye prime area ya jiji la Dar. Hizo ni pesa za wanachama zimekaa tu.
 
Kuna watu wakiona dini zao zimeguswa wanapanic vibaya sana. Swala hapa siyo dini kama dini bali dini na uwezo walau viendane basi! Hili la kufilisika kwa NSSF nakubaliana nalo. Watu wanahitaji fedha zao toka desemba (wengine naskia ni wa siku nyingi) lakini hadi leo hii wanazungushwa. Wangekuwa na hela wangezungusha watu?
 
Watendaji wote wa haya mashirika Mh. Rais angewaondoa wapangiwe kazi nyingine maana hakuna msafi hata mmoja wateuliwe wengine wafanye kazi kwanza wengi teuzi zao is like zilijaa uswahiba ndo maana wanaviburi sana. Mh. Rais tuna imani kubwa na ww rekebisha makosa yaliyofanyika huko nyuma weka wachapakazi wazalendo walete maendeleo ondoa hayo mafisadi
 
Mtoa maada sidhani kama unaowezo wa kupamabanua mambo huyu unaye mtaja ndiue aliye kuwa wa kwanza kukubali kwanza kujenga Udom ambapo hata mdogo wako au ndugu yako anasoma kwa mtazamo wangu pamoja nayote uliyoyaonge wewe ni mbinafsi na mchoyo Nina uhakika ukipewa idara ya kusimamia hiwezi
 
Special audit na upekuzi (vetting) kwa waajiliwa ifanyike kwa mashirika ya umma yote kama wanavyofanya wizarani sasa
 
hayo yameshasemwa sana hakuna jipya hapo, na dr dau keshaondolewa nssf, ataletwa mwingine kutoka kanisani mambo yote yataenda vizuri. save your breath mkuu.
I salute you for the great comment, wakati mwingine mtu aje na statistics na physical or tangible evidence then at least tunaweza kuanzia pale. Inasikitisha tena bila kufikiri kama great thinker mtu anakuja kutueleza kuwa "akaanza kuajiri wenzetu" so inaimply hali ilikuwa mbaya sana kwa hao "wenzetu" before, ok, ngoja tuone mwisho wake, kwani sasa hivi si ameshakuja wa kanisani? Maisha yataenda vizuri, na kama hawana vigezo hao "wenzetu" watoeni muweke wenye vigezo na fanyeni idara zote kuanzia hapo, TRA, BOT na kwingineko, mchana mwema, Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom