Imekaa kimajungu majungu sana. Hawa ndio wale wavivu hawataka kufanya kazi, lakini wanataka vyeo. Yuko toka Enzi za Mkullo na hajawa Manager sasa mapovu yanamtoka. Ninachojua mimi kuondoka kwa Dr kumeumiza wengi. Ana mema mengi amefanya na wanamlilia. Yule ni binadamu hawezi kua 100% mzuri lakini ulivyoeleza its like hana jema hata moja.
Acha majungu, chapa kazi uone kama hutapewa cheo.
Inga wewe jema alilofanya ni lipi zaidi ya kuiba pesa za wafanyakazi na kutengeneza mtabaki ya dini,huyu angepaswa awe jela
Pspf si alikuwepo mujahidina na akamkabithi mujahidina Adam mayingu tena mtu wa IT na ndo anamaliza kabisa,alipoteuliwa mama Carina wangwe Nssf mlipiga kelele ooh kasoma IT hawezi kukaimu mbona huko pspf hamsemi,Umeelezwa sana ya udini vipi umegusa managerial posts za PSPF..... PPF.... LAPF na GEPF? Umeona huko ni dini na kabila gani zimeshika hatamu?
PSPF now linapumulia mirija liko mbioni kufilisika... PPF iko hoi hujajiuliza why NSSF bado ni leading fund yenye mtaji Mkubwa na ufanisi kuliko mifuko yote?
SSRA unafahamu ndiye regulator mkuu wa hii mifuko na unafahamu credits walizoipa NSSF?
Dau amelifanya NSSF liwe na ufanisi kuliko nyakati zote....
Nakumbuka wakati ule TANESCO mliendesha vita nzito kumwondosha Dr Idriss Rashid ambaye aliifanya TANESCO kuwa strong kwa muda mfupi na aliweka mipango kabambe kama ingetekelezwa na hawa mgao na uhaba wa umeme ingekuwa historia but now TANESCO inatengeneza hasara ya zaidi ya billion 450!!!!
bwana yesu asifiwe sana!
We sijui uko nchi gani,hukuona kwenye TV watu waliokosa pesa wakawa wanapiga kelele kule mlimani city sometimes last year ?walienda benk wakaambiwa Nssf hawana hela sasa unataka nini zaidi ya hapoUlishawahi kuomba mafao yako ukaambiwa hayapo maana yameibwa..??? Au pesa za wafanyakazi ni zipi.
"Unaushahidi na unalolisema au unataaja majina ya watu tu, usiandike udaku andika facts"Kitambo kipindi nipo chuo kuna jamaa yangu alikuwa UDBS aliniambia anasubiria kumaliza chuo yeye anao uhakika wa kazi Nssf sababu Jamaa yake Haruna Mbeyu na Dau Mabest kwahiyo tabu Hana kweli jamaa amemaliza ndani ya mwezi mmoja tu akapata kazi Nssf...kwenye hii thread nimejifunza kitu
mi ilibidi nirudie kusoma 'wapemba' nilihisi labda nimekosea...Nilianza kusoma nilipofika hapa " Dr amejaza hadi wapemba" nikaacha maana naamini wote wanaomuita Dr Dau mdini ni watu wenye chuki uislamu na waislamu. Ila huyu ni ameingezea na ubaguzi, siamini mwaka 2016 bado kuna watu wana ubaguzi wa kijinga jinga hivi.
Ni ukweli maana kuna Dada mmoja nimesoma nae anaitwa fatuma ni muislamu wa kiaina alipata kazi atapelekwa singida kama sijasahau,yeye anakiri wazi kuwa jina lake ndo lililompa kazi n huwa wanapewa majibu ya interview,yeye mwenyewe alishangaa hali hiyo"Unaushahidi na unalolisema au unataaja majina ya watu tu, usiandike udaku andika facts"
"Unaushahidi na unalolisema au unataaja majina ya watu tu, usiandike udaku andika facts"
Sasa Mimi nilikuwa nae chuo...unataka ushahidi gani...wewe kweli nyumbu mtu nilikuwa nae na mshikaji wangu vipi unataka ushahid gani tena
Ni ukweli maana kuna Dada mmoja nimesoma nae anaitwa fatuma ni muislamu wa kiaina alipata kazi atapelekwa singida kama sijasahau,yeye anakiri wazi kuwa jina lake ndo lililompa kazi n huwa wanapewa majibu ya interview,yeye mwenyewe alishangaa hali hiyo
"Huo si ushahidi bali ni story ambazo zinaweza kuwa za kutengeneza tu", tunataka material facts ondoa udaku wako
teh!teh!teh! mkuu achana na nyumbu huyo halafu muhusika nilikuwa nae Mimi nipo Coet yeye yupo Udbs.tatizo wanapenda kubishana kuna baadhi ya watu watakuwa wanafanya Dau alikuwa anaonekana mdini tatizo wapambe waliokuwa wanapeleka watu kwa vimemo...
acha kutokwa na povu uovu hauhalalishwi na uovu mwingine tunaongelea nssf kama una data za mashirika mengine lete, jibu hoja alizoleta mleta mada au unataka kuhalalisha issue ya kwamba na sisi tunajazana hapa kwa vile nyie mnajazana kule? jibu hoja alafu anzisha uzi wako wa shirika unalolijua liko ivo kinyume chake sasaMwenye data ya mashirika mengine atuwekee hapa tufanye comparison shirika lipi hasa kuna udini! KUNA MTU ASHAWAHI KUZI- UPLOAD HUMU
teh!teh!teh!teh! unataka aina gani ya fact wewe nyumbu..mshikaji wangu mpaka sasa yupo hapo Nssf sasa unataka fact ipi au una undugu na huyo haruna..hebu nipe facts zako basi
"Wewe ni mpiga umbeya tu hauna lolote, hatutaki story za kutengeneza hapa, zungumza mambo yenye tija...."