Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Kama mashirika ya social security yapo hivi nna uhakika baada ya miaka 30 kuna watu hawatakuja kulipwa mafao yao. Social security za Tanzania zina operate kama ponzi scheme.
 
Watu wa ajabu sana hawa.

Islamophobia imewajaa na chuki zao zimepitiliza.

Miaka miingi sana waislam tumekua tunawahoji kuhusu kasumba yao ya kuwekana na kujazana kwenye ofis za umma majibu yao yalikua kwamba waislam hawana shule.

Sasa kibao kimegeuka waislam hawa hawa wachache wanaonekana kupata nafas za utumishi wanaanza kushambuliwa eti wanapendelewa.

Hivi tukiweka hapa ndani The Directory of goverment employees in general na kuchambua watu kulingana na dini zao watakaa kuangalia?

Infact zaid ya 90% ya waajira wa serikali ni hao hao waimba kwaya tokea zama na zamaa.

Na ni hao hao wamepelekea nchi hii kuangukia katika lundo la umaskin kutokana na kasumba yao ya wizi na ufisadi
Wewe ni mdini mwenye chuki binafsi zidi ya uislamu na self interest hapo NSSF. Taarifa za kuaminika ni kwamba waimba kwaya mmejazana hapo NSSF Ila ajira zikitolewa kwa waislamu mnalalamika. Mmeacha mashirika ambayo yana uozo Wa kupindukia lakini mmeng'ang'ana kumshambulia Dr Dau na watumishi waislamu sababu tuu ya Imani yao.
Mazoea yatawashinda, dunia ya leo tofauti na ile mliozoea, waislamu Wa nchi hii washachoshwa na tabia za watu kama wewe ambazo zinalipeleka hili taifa pabaya.
 
tangia mara ya kwanza kashfa ya udini ya dau imeletwa hapa,kiukweli nilichoka na wala hafananii na kile alichokianzisha ndani ya nssf.



najiuliza sababu ya jk kumbeba miaka yote ilikuwa ni nini au ndo mambo yale alosema makamba kuwa utawala uliopita ulikuwa wa kubebana sana
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Utashangaaa watu wanaweza kumtetea ...pale Kilimanjaro kwa mafano ..lie Bilioni 70 aliozamisha kwenye jengo ambalo hadi Saza halina wapangaji Nina uhakika kabisa angekopesha Halmashauri AU Tanroad ....barabara zote za mji mzima zingejengwa na maeneo ya wazi...hadi uwanja wa michezo memorial ...,masoko etc na wanamchi wangelipa Kodi na Halmashauri ingeweza kulipa mkoopo Ndani ya Miaka 10 ....
Hapa Dar jengo la Mzizima Tower nalo la ghorofa 30 linajengwa kwa Bilioni 70 ...lakini ajabu jengo la Mzizima,...gharama zake zinakuwaje Sawa na gharama za jengo la ghorofa 5 tu ..Kilimanjaro ????
 
Hivi Muislamu akipata nafasi serikalini kuna watu wana chuki kali namna hii, kwa nini?
Ukiangalia utumishi nchini na nafasi za juu za serikali Wakiristo ni wengi kuliko Waislamu then kwa nini watu kama Dr Dau wanaandamwa?.
Dr Dau kaikuta NSSF ikiwa ni NPF, ilikuwa haina dira wala muelekeo, kairestructure mpaka imekuwa mdau mkuu wa maendeleo nchini, hamuoni hili?.
Kuna miradi kibao ya NSSF imesimamiwa na Dr Dau, kabla ya hapo hakukuwa na vision yoyote je hamuoni?.
 
Utashangaaa watu wanaweza kumtetea ...pale Kilimanjaro kwa mafano ..lie Bilioni 70 aliozamisha kwenye jengo ambalo hadi Saza halina wapangaji Nina uhakika kabisa angekopesha Halmashauri AU Tanroad ....barabara zote za mji mzima zingejengwa na maeneo ya wazi...hadi uwanja wa michezo memorial ...,masoko etc na wanamchi wangelipa Kodi na Halmashauri ingeweza kulipa mkoopo Ndani ya Miaka 10 ....
Hapa Dar jengo la Mzizima Tower nalo la ghorofa 30 linajengwa kwa Bilioni 70 ...lakini ajabu jengo la Mzizima,...gharama zake zinakuwaje Sawa na gharama za jengo la ghorofa 5 tu ..Kilimanjaro ????
Unafahamu ni kwa kiasi gani serikali yako imekopa NSSF? Unafahamu NSSF ni miongoni mwa mashirika yaliyojenga UDOM?
 
kwa udini nakataa mbona wapo watatu wenye masters na wanawake wa dini yake walikosa nafasi
 
Mleta mada Jagiro kuna ukweli mwingi katika hayo uliyoyasema.
Huyu DHR kweli ni upande wa pili, utendaji wake umefail sababu job interviews zilizoitishwa na nssf kama ile ya waterfront,ifm,duce na zinginezo nyingi zilizidisha idadi ya watu huku mahitaji ya shirika ni wachache huu ni ufujaji na ubovu wa director of HR.
Zipo tetesi yeye mwenyewe anahusika na uuzaji wa nafasi za ajira kwa waombaji through madalali wa mjini.
Kiukweli watu wengi wanquestion elimu yake.
Kuna mtoto wa kigogo mmoja wa jeshi aliajiriwa hapo bila nafasi yake kutangazwa naye alikuwa ni mwislamu.
 
Dr Dau hakupewa nafas kwa kubebwa wewe muimba kwaya.

Sikia wewe muinjilist nikupe taarifa Dr Dau aliteuliwa pale na muimba kwaya mwenzako Benjamin Mkapa na muda wake wa kustaafu haukua bado umetimia kutokana na kaz safi aliyoifanya J.k akaendelea nae upo hapo?

Haitoshi hata Muimba kwaya mwenzako magufuli kama Dr Dau angekua ni jipu bila shaka angemtumbua bila wogaa

Enhe iweje sasa ampangie kaz nyingine ya Ubalozi?

After all nyinyi waimba kwaya ndiyo majipu yenyewe.

Ni kwa sababu yenu nyinyi nchi hii imekua maskin kwa sababu asilimia tisini serikalin mmejaa nyinyi na wengi wenu hamna mnachokifanya zaid zaid ya wizi na ufisadi.

Unabisha wewe muinjilist?
tangia mara ya kwanza kashfa ya udini ya dau imeletwa hapa,kiukweli nilichoka na wala hafananii na kile alichokianzisha ndani ya nssf.



najiuliza sababu ya jk kumbeba miaka yote ilikuwa ni nini au ndo mambo yale alosema makamba kuwa utawala uliopita ulikuwa wa kubebana sana
 
sipati picha yule dr aliyeteuliwa juzi na kutimuliwa angekuwa na jina la kiislamu...wangeandamana nchi nzima
 
Huo ndo ukweli gani sasa? Tatizo waislamu akili zenu kama nyumbu.. Mkiambiwa ukweli kwamba NSSF chini ya Dr. Dau ime under perform mnaanza kuona eti serikali inaonea waislam.. Mnaanza kuleta hoja mufilisi za kuonesha viongozi walio wakristu pasipo kutambua hiyo siyo hoja.... ni sawa na mama afanye ukahaba halafu mumewe akimfuma anataka kumpa kibano mama anakimbilia kubeba katoto kake kachanga ili aonewe huruma... stop that sh!t
 
Bahati mbaya uongozi wa wakurugenzi hawa hauwi exposed kwenye research za wasomi wetu kwani zingechangia kwa kiasi kikubwa “hazina’ ya maarifa ya uongozi kwenye taasisi za Tanzania hasa mashirika ya umma.
....Ndugu jagiro (Jairo?), nijuavyo miye ni kuwa ripoti za RISECHI za WASOMI huwaga zinatokana na data zilizokusanywa toka kwa wadau walioko sehemu tafiti hizo zinakofanyikaga. Sasa watoa habari (kama weye vile) wasipofanya hivyo... ZITAIKIPOZI vipi UOZO wa Viongozi katika mashirika ya Umma?
 
Thats why tunakuuliza ni tatizo muislam kupata kazi kwenye ofisi za serikali hii ya taifa lake?

Ili mtu uweze kuajiriwa na kupewa kipaombele sharti ni lazima uwe mkristo?

Tokea wakristo mlipoanza kujazana ndan ya utumish wa umma miaka nenda rudi mmelifanyia nin taifa hili zaid ya kulitia umaskin kwa wizi wenu na ufisadi?

Mleta mada Jagiro kuna ukweli mwingi katika hayo uliyoyasema.
Huyu DHR kweli ni upande wa pili, utendaji wake umefail sababu job interviews zilizoitishwa na nssf kama ile ya waterfront,ifm,duce na zinginezo nyingi zilizidisha idadi ya watu huku mahitaji ya shirika ni wachache huu ni ufujaji na ubovu wa director of HR.
Zipo tetesi yeye mwenyewe anahusika na uuzaji wa nafasi za ajira kwa waombaji through madalali wa mjini.
Kiukweli watu wengi wanquestion elimu yake.
Kuna mtoto wa kigogo mmoja wa jeshi aliajiriwa hapo bila nafasi yake kutangazwa naye alikuwa ni mwislamu.
 
hayo yameshasemwa sana hakuna jipya hapo, na dr dau keshaondolewa nssf, ataletwa mwingine kutoka kanisani mambo yote yataenda vizuri. save your breath mkuu.

Hahahaha!!!!
 
Nilimwona mfanyakazi wao kwenye moja ya majengo yao ulikuwa siku ya jmosi akitoa karatasi kwenye box la maoni nikafikiri anaenda kuziifadhi matokeo yake alienda chamber na kuzichanachana,mm nilikuwa juu kwenye balcon alikuwa hanioni.Hiyo ndio Nssf yetu bhana!;Watu wakiandikiwa Uzi hapa wanasema ni udini.
 
Back
Top Bottom