Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Yaani sijui unajaribu kutumia weakness yangu (kiss) kunifanya nisikuhoji sana? Anyway nimekushtukia na sasa nabadilika rasmi na kurudi kwenye mada.
OMG !!! kumbe una weakness na njaa ya busu?!!? next time ntakuHug bhana!! ( I trust you...) tunaonaga Leaders ndo wanajikiss na kuHug!!
Olrait karibu na uhoji upendavo, kwani namie najifunza from you too.... ( I think nilikukaribisha 24/7 hapo awali) !!
 
Nyiee mnaoo busianaa nyie ni jinsii gani??

Mbonaa mnatupaa utata??
 
OMG !!! kumbe una weakness na njaa ya busu?!!? next time ntakuHug bhana!! ( I trust you...) tunaonaga Leaders ndo wanajikiss na kuHug!!
Olrait karibu na uhoji upendavo, kwani namie najifunza from you too.... ( I think nilikukaribisha 24/7 hapo awali) !!

Noo sina njaa na busu,lazima ujue tofauti ya njaa na udhaifu. Saaa mbona wazidisha chumvi basi?
Okay sasa endelea kujifunza ili nawe sikumoja uondokane na utumwa.
 
Nyiee mnaoo busianaa nyie ni jinsii gani??

Mbonaa mnatupaa utata??

Jinsii = Jinsia. Na its none on your business.
Hatukupigana mabusu Bali alibusu na nililipokea (vipi imekuuma?)
Utata wa nini? Busu nipigwe mie utata uuone wewe.....smh
 
Noo sina njaa na busu,lazima ujue tofauti ya njaa na udhaifu. Saaa mbona wazidisha chumvi basi?
Okay sasa endelea kujifunza ili nawe sikumoja uondokane na utumwa.
Exactly nimejifunza kwako hiki "tofauti ya njaa na udhaifu" nashukuru kwa hilo.... Ndg. Mazungumzo/debate bila maneno ya urafiki na ustaarabu inakuaga boringa au kama vita !!! ndo maana nimeleta chumvi na pengine ntamwagia asali iwe taamu !!
Ok Tuendelee umesemea utumwa !! OMG !! Ofcozi Muumba aliyetuumba katuweka kiUtumwa na katuita AbduLLaah (slaves of God) yaani huoni kuwa sote siye (tajiri,masikini,mwenyene nguvu,mfalme, kiongozi,jabri,mtoto,Kijana,Ke,Me,nk.nk) tuna menyeka 24/7 na tuna common things within..,(end of the day Pumzi ni moja)

Hata kwenda Msalani au kuwajibika ni mhemko mmoja na nafsi moja?!!? kimbilio letu, na radhi zake tunazihitaji....., MweyeEzzi Mungu "Muumba wa kila jambo na Mhukumu wa yote tuyajuayo na tusiyo yajuwa"

Huyo ndo Mwnyeezzi Mungu
amoneyazan Mkuu Busu siyo lazima iwe kimapenzi/kimahaba tu (ufikiriyavo) Ustaarabu wa kisses ni moja yakuonyesha utukufu wa wanaadamu kuelewana,kukubaliana kifikra, mawazo, majadiliano,kutembeleana,kukutana, kuongea...nk,nk !!!

Ok nawe burudika na Budu kubwaaa Muuuwah!!! Friendship... urafiki ni kitu cha bure!! mwana2015
 
Last edited by a moderator:
Exactly nimejifunza kwako hiki "tofauti ya njaa na udhaifu" nashukuru kwa hilo.... Ndg. Mazungumzo/debate bila maneno ya urafiki na ustaarabu inakuaga boringa au kama vita !!! ndo maana nimeleta chumvi na pengine ntamwagia asali iwe taamu !!
Ok Tuendelee umesemea utumwa !! OMG !! Ofcozi Muumba aliyetuumba katuweka kiUtumwa na katuita AbduLLaah (slaves of God) yaani huoni kuwa sote siye (tajiri,masikini,mwenyene nguvu,mfalme, kiongozi,jabri,mtoto,Kijana,Ke,Me,nk.nk) tuna menyeka 24/7 na tuna common things within..,(end of the day Pumzi ni moja)

Hata kwenda Msalani au kuwajibika ni mhemko mmoja na nafsi moja?!!? kimbilio letu, na radhi zake tunazihitaji....., MweyeEzzi Mungu "Muumba wa kila jambo na Mhukumu wa yote tuyajuayo na tusiyo yajuwa"

Huyo ndo Mwnyeezzi Mungu
amoneyazan Mkuu Busu siyo lazima iwe kimapenzi/kimahaba tu (ufikiriyavo) Ustaarabu wa kisses ni moja yakuonyesha utukufu wa wanaadamu kuelewana,kukubaliana kifikra, mawazo, majadiliano,kutembeleana,kukutana, kuongea...nk,nk !!!

Ok nawe burudika na Budu kubwaaa Muuuwah!!! Friendship... urafiki ni kitu cha bure!! mwana2015

Yes utumwa wa dini mkuu.

Kuhusu huo utumwa wa Mungu pengine unawahusu nyie mlioumbwa ila kwasisi tuliozaliwa huo utumwa hautuhusu.
Maisha hayahitaji kumenyeka wala kufanya kazi 24/7 bali ufanye kazi kwa kiasi na pia upate muda wa kufanya mazoezi na kurelax

Mungu ni nani? Ushahidi wowote wa uwepo wake?
Hizo radhi mnazitaka za nini?
 
Last edited by a moderator:
Yes utumwa wa dini mkuu.

Kuhusu huo utumwa wa Mungu pengine unawahusu nyie mlioumbwa ila kwasisi tuliozaliwa huo utumwa hautuhusu.
Mkuu, ukiyatathmini maisha ya uhai ulonao... ndipo utaelewa ubile (ubinaadamu) ulonao na umekujaje hapa ulimwenguni (existence)!! Laa sivyo utakuwepo "upo upo tu"

Maisha hayahitaji kumenyeka wala kufanya kazi 24/7 bali ufanye kazi kwa kiasi na pia upate muda wa kufanya mazoezi na kurelax
Mkuu, hapo hujaelewa.... nini maana ya taharuki za living organs na hisia zake!!

Mungu ni nani? Ushahidi wowote wa uwepo wake?
Mara nyingi mnauliza Mungu yupi,Mbona simuoni?!!! Sasa jibu lake ni:- Mwenyeezzi Mungu ndo Muumba wa kauni zote viliyomo tuvijuavyo na tusivyo vijuwa, Nawe hamethaliki !!

Yupo na nguvu zote (mtoaji na mruzuku wa kila jambo) !!

Hizo radhi mnazitaka za nini?
Suali hili zuri, Tunazitaka ; kama vile wewe na muajiri wako (unafanya kazi ukitegema ujira/malipo stahiki ) kama vile mwanafunzi kusoma apate elimu(afaulu mitihani na kufanikisha mustakabli) kama vile mkulima alime apte mazao, nk ,nk...!!

Siye tunajiandaa NA MAISHA YA AKHERA ambayo ni 3RD PHASE ya binaadam..... (rejea post hapo juu)!!

 
Suali hili zuri, Tunazitaka ; kama vile wewe na muajiri wako (unafanya kazi ukitegema ujira/malipo stahiki ) kama vile mwanafunzi kusoma apate elimu(afaulu mitihani na kufanikisha mustakabli) kama vile mkulima alime apte mazao, nk ,nk...!!

Siye tunajiandaa NA MAISHA YA AKHERA ambayo ni 3RD PHASE ya binaadam..... (rejea post hapo juu)!!


Hizo zote hadithi tu mkuu.
Maisha ya akhera ni yale ambayo watu watakutana na mabikira au?
 
Hizo zote hadithi tu mkuu.
Maisha ya akhera ni yale ambayo watu watakutana na mabikira au?
Mkuu, Siyo hadithi, ni beyond ya matarajiyo yako...!! ( ni nje ya upeo tunaotegemea hata mbali na ufahamu huu tuujuao )
Hakuna shabihisha la ujira utakaoupata Akhera!!
 
Mkuu, Siyo hadithi, ni beyond ya matarajiyo yako...!! ( ni nje ya upeo tunaotegemea hata mbali na ufahamu huu tuujuao )
Hakuna shabihisha la ujira utakaoupata Akhera!!

Its better to believe On what's coming because we didn't even know what happened before, mafundisho ya dini yanatuelezea yaliokuwa kabla yetu na baada yetu yanayokuja, maisha ya dunia ni mapito.
Jimena

nikuulize we unayo dini na pia elimu yako imefikia wapi
 
Last edited by a moderator:
Jinsii = Jinsia. Na its none on your business.
Hatukupigana mabusu Bali alibusu na nililipokea (vipi imekuuma?)
Utata wa nini? Busu nipigwe mie utata uuone wewe.....smh

Kwa manenoo hayoo
Nishapataa jibu...
 
Its better to believe On what's coming because we didn't even know what happened before, mafundisho ya dini yanatuelezea yaliokuwa kabla yetu na baada yetu yanayokuja, maisha ya dunia ni mapito.
Jimena

nikuulize we unayo dini na pia elimu yako imefikia wapi

Siamini dini, elimu yangu inahusikaje kwenye huu uzi au unataka kunipa kazi au?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, Siyo hadithi, ni beyond ya matarajiyo yako...!! ( ni nje ya upeo tunaotegemea hata mbali na ufahamu huu tuujuao )
Hakuna shabihisha la ujira utakaoupata Akhera!!

Mi sina matarajio yoyote. Maisha ni leo mkuu.......shauri yako!
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga


Kwan Quran yote unaifaham mkuu
 
Last edited by a moderator:
Ni kipi sahihi kwako kukitumia, MACHO au HISIA?

Kila siku duniani watoto 12 wachanga (google it!) hupewa kwa wazazi wasio wao, aidha planned or mistakenly. but what are the efects? NIL
Halafu holly books are not holly, because the one you reffered as a holly is a rubbish to a non beliver of your book.

a holly book must be accepted and proven by at least 70% of worlds population to be holly, NO HOLLINESS WITH AMBIGUITY!

Mbna na ww umeifanya google ndio mungu wako. Kila kitu unauliza Google kwan vilevyowekwa kwenye Google c vmewekwa na mwanadamu kama ww. Acha watu waamin wanachokiamin km ww unavyoiamn Google.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom