Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,264
Hadithi za mtume znasema itafka dhama watu wasiokuwa na elimu na dini watabishania mambi ya dini. Na hii n moja ya dalili za kiama
Hadithi za mtume znasema itafka dhama watu wasiokuwa na elimu na dini watabishania mambi ya dini. Na hii n moja ya dalili za kiama
sio kweli mkuu Mohamedycadinaly ... ...
wenye elimu na wanaoijua dini ndio wanaohoji uwepo wake kwa reasoning...
ila wajinga na wasiojua dini ndio pekee huamini kila kitu maana hawana upeo wa kuhoji wanachofundishwa...
Wasomi wa kuulza Google? Mfano MTU anataka kuuzungumizia uislam lakin hajui chochote kuhusu Quran inasema nn zaid ya maono ya sheihke Google. Nenda kasome kwanza kuhusu uislam wenyewe vzr ijue Qur'an na hadhith zake na hvyo katka upande wa ukrstro kasome vtabu ksha ndo uchambue na kuhoji . Sheikhe Google yy ana copy tu watu wanacondika hapn hchi kina ukweli au la. Yy vya ukwel vya uongo vyote sawa tu
Hujuwi ulinenalo ! InShaAllah Mola Akusamehe kwa Upumbavu wako.
Amsemehe vipi! Kwani nani aliua watu mamia pale westgate? Pale ufaransa? Na wanaojilipua na kuahidiwa mabikra 72 ahera ni dini gani? Ambao pombe wameandaliwa huko ahera ndio watakunywa! Ni dini gani hao? Wewe kama hujapanga kufa na wengi basi shauri yako! Wenzako ndio huo mpango wao eti wakutane viwanja vya pepo! Wanafananisha akili za kibinaadam zaidi kuliko akili za Muumba kwa kuweka fikra kimwili zaidi kuliko kiroho zaidi. Kwanini utulazimishe kwenda na wewe viwanja vya pepo kama ni pazuri? Si uende wewe peke yako ili msiwe wengi mu enjoy kwa raha zenu! Mnateka watu mnawalazimisha kusilimu wakikataa mnawaua! Hiyo ndio dini ya Allah?
Amsemehe vipi! Kwani nani aliua watu mamia pale westgate? Pale ufaransa? Na wanaojilipua na kuahidiwa mabikra 72 ahera ni dini gani? Ambao pombe wameandaliwa huko ahera ndio watakunywa! Ni dini gani hao? Wewe kama hujapanga kufa na wengi basi shauri yako! Wenzako ndio huo mpango wao eti wakutane viwanja vya pepo! Wanafananisha akili za kibinaadam zaidi kuliko akili za Muumba kwa kuweka fikra kimwili zaidi kuliko kiroho zaidi. Kwanini utulazimishe kwenda na wewe viwanja vya pepo kama ni pazuri? Si uende wewe peke yako ili msiwe wengi mu enjoy kwa raha zenu! Mnateka watu mnawalazimisha kusilimu wakikataa mnawaua! Hiyo ndio dini ya Allah?
Hizi KUFURU zilivyokithiri humu jukwaani na duniani kwa ujumla laiti Mwenyezi Mungu asingekuwa na HEKIMA ya kiwango kisichochopimika,angekwishaangamiza wengi juu ya mgongo wa ardhi.Lakini kwa hekima kubwa inasubiriwa ile siku ya HUKUMU.
UKRISTO SIO DINI
Kajipange tena kijana
muwe makin kwa ulisemalo
muwe makin kwa ulisemalo
muwe makin kwa ulisemalo
Kiswahili chako ni cha kufungia mwaka 😀