Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Kwa heshima na taadhima... kwenu !! mwana2015 amoneyazan

Nimefuatilia maelezo yenu muruwa yenye utulivu na amani..., So nimeona niongeze elimu kuntu ktk maisha baada ya uhai kuondoka !!
Sasa kuna Maisha ya "barzakh" (ni kipindi cha maisha baada ya kufa hadi kufufuliwa hapo akhera) !!!
Jimena Mpendwa nikujuze kuwa Mwemyeezi Mungu katuumba wanaAdamu katika mfumo ulokuwa na utukufu,ubora na ufufuo... yaani "tulikuwa sii kitu (manii/mbegu) tukaumbika na kuwajibika, na tutafikia mwisho (kufa) na baada ya hapo tutarudishiwa uhai tena !! " Nikupe mfano ktk elimu ya Computer kuna HD "hard disk" humo kuna kila herufi imesajiliwa na kuhifadhika (So waweza kurejesha na kuippambanua time yyte uitakayo) !!

Asante sana Zamiluni Zamiluni kwa maelezo yako ambayo sijayaelewa vizuri.

Umeongelea kuhusu Akhera (kitu ambacho mpaka sasa sijapata uthibitisho wowote wa uwepo wake)

Uhusiano uliopo baina ya Manii na Mungu, maana binadamu hafanyiki kwa manii pekeyake, na kitendo cha yai kurutubishwa na hizo manii mpaka kufanyika mtoto inahusiana nini na maumivu makali sana ambayo yanadaiwa binadamu huyasikia baada ya kufa?

Mwisho tumalizie kuhusu maisha baada ya kifo. Kwenye maisha baada ya kifo ni wazi kuwa kitakachokuwepo pale ni roho na kamwe sio mwili maana baada ya muda mwili huoza kabisa, unless uuchome moto au kuukausha, sasa uhai hurudishwa kivipi? Kwamfano mwili umekaushwa huo uhai wake unarudije? Au mtu amechomwa moto uhai wake unawezaje kurudi? Uhai unarudije kwenye mwili gani labda?
Ntashukuru kama utanijibu swali moja baada ya jingine na hatua kwa hatua ili kuepusha kuzalisha maswali mengi zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Bennie 369 we pia si mtaalam wa hizi mambo? Hebu njoo unipe jibu mana jamaa ananikwepa mchana kweupee. Narudia swali
MWILI UKISHAKUFA UNAWEZAJE KUSIKIA MAUMIVU MAKALI ZAIDI?
Cc. aretasludovick

mkuu naona nakusisitizia upate uelewa zaidi utafute vitabu utajipatia majibu mengi zaidi unaona nakukwepa, mwili Wa binaadamu na roho zina link, connection au mahusiano baina yao baada ya kifo(utengano Wa mwili na roho) vilikuwa vi moja sasa vimetengana ila mahusiano bado yanaendelea tofauti ni mwili tena haufanyi Kazi kama mwanzo, pale kwenye roho kuacha mwili maumivu makali hotokea roho ambayo mwili pia husikia. That's why special care inafanywa kwenye process ya kuuandaa mwili hadi unapoenda zikwa, ikitokea mwili umechomwa moto, kuliwa na wanyama bado hiyo link, connection ipo na maumivu yapo pale pale.
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Zamiluni Zamiluni kwa maelezo yako ambayo sijayaelewa vizuri.
Natanguliza Pongezi kwako... Moula Muumba wa Vyote akubarikie uwe mja Mwema...!! Amin.

Umeongelea kuhusu Akhera (kitu ambacho mpaka sasa sijapata uthibitisho wowote wa uwepo wake)
Mpenda Open up ubongo wote tulunao!! ni hivi kuna 3 phases mwanaAdamu hupitia (yes or wrong? nakuuliza wewe Jimena?)

1. As humans tumetokea kizani (darkness) bila kujijua tupo wapi na tunaenda wapi (ktk mfumo wa uzazi,tumeishi miezi 7 au 9 tumboni ndani ya kiza hadi kuzaliwa kichanga) Jee wakubali?
" kwa mtu alietangulia kuzaliwa aonge na nduguye alo ndani ya mimba (tumboni) na kumhadithia kuwa huku nje kuna materials, magari, majumba,bustani,nk,nk,nk"... !!

Sasa hata Akhera for us mda huu ni Kiza ambacho kimeandaliwa sisi kufika huko... kama vile tulipokuwa tumboni kizani (miezi 9) kuliandaliwa Dunia sisi kufika na kuwepo !! Je nikupe mfano mwingine?

Uhusiano uliopo baina ya Manii na Mungu, maana binadamu hafanyiki kwa manii pekeyake, na kitendo cha yai kurutubishwa na hizo manii mpaka kufanyika mtoto inahusiana nini na maumivu makali sana ambayo yanadaiwa binadamu huyasikia baada ya kufa?

Ulijuwe hili kuwa BinaAdam kaumbwa na hisia za Upole na ukatili in all forms (we can judge), Wakati Wanyama wameumbwa na ukatili zaidi in all forms, ambapo Malaika wameumbwa kwa upole zaidi in all forms....!!


Mwisho tumalizie kuhusu maisha baada ya kifo. Kwenye maisha baada ya kifo ni wazi kuwa kitakachokuwepo pale ni roho na kamwe sio mwili maana baada ya muda mwili huoza kabisa, unless uuchome moto au kuukausha, sasa uhai hurudishwa kivipi? Kwamfano mwili umekaushwa huo uhai wake unarudije? Au mtu amechomwa moto uhai wake unawezaje kurudi? Uhai unarudije kwenye mwili gani labda?
Jibu ni wazi kbs kuwa iweje sisi kwa uwezo wetu huu tuchukuwe zao lilokauka,yaliyooza au yalyoganda (grains) tuliandaae na kulirejesha katika hali ya chakula na kutumika tena !!



Kuchoma moto ni kwa mtazamo wako ni destroying only !!! Kitu ambacho hakiingiliani na ideology alioiacha mhanga ambayo inaendelea kimaisha (kama vile kuteketeza kitabu, Huku elimu ya hicho kitabu kinaendelea na kusomesha mafunzo yake)

Ntashukuru kama utanijibu swali moja baada ya jingine na hatua kwa hatua ili kuepusha kuzalisha maswali mengi zaidi.
Tafadhali Karibu sana kwa maelezo zaidi any time 24/7 !!
Be Blessed.
 
Uzima unawafanya wanadamu wawe viburi hata kumdharau ,kumtukana na hata kumkashifu muumba wao....
 
Tafadhali Karibu sana kwa maelezo zaidi any time 24/7 !!
Be Blessed.

Sijui kama ulielewa vizuri maswali yangu lakini maana mpaka umemaliza bado hujajibu swali hata moja zaidi ya kuongezea kuuliza na kutoa maelezo lukuki yaisiyoendana na maswali husika
 
Hajielewi au we ndo ambae humuelewi?

nimeuelewa lakini yeye ametaka maana ya mungu kwa mujibu wa jamaa anavyoelewa. sasa yeye anataka ajibu maswali mengine kuhusu mungu katika mtazamo wa imani nyingine.
 
Sijui kama ulielewa vizuri maswali yangu lakini maana mpaka umemaliza bado hujajibu swali hata moja zaidi ya kuongezea kuuliza na kutoa maelezo lukuki yaisiyoendana na maswali husika
Jimey... acha bhana majibu hayo humridhisha kipofu akaweza ona, na kumridhisha Kiziwi akweza sikia!!
 
nimeuelewa lakini yeye ametaka maana ya mungu kwa mujibu wa jamaa anavyoelewa. sasa yeye anataka ajibu maswali mengine kuhusu mungu katika mtazamo wa imani nyingine.

Wakati we ulitaka ajibu kwa mtazamo wa imani unayoikubali wewe! Okay nimekupata vilivyo.
 
Mkuu J,
don't misQoute me... Panuwa kifua ilituafikie bila kuLazimishana, labda lafudhi zinagongana... plz. come back to the topic.... ninayo wasaa wakutosha.!!

Mbona mi nawewe tunaenda vizuri tu. Ondoa shaka kabisa kuhusu lafudhi, mpaka tulipofikia nafurahia kuongea na wewe.... Basi kama uko na time, rudia yale maswali yangu na ujaribu kujibu kutokana na maswali yalivyoulizwa ili tuendelee

Mfano: unaenda wapi? Jibu liwe nakwenda shule,kazini n.k
Sio unakwenda wapi mtu anajibu huku nakokwenda mvua inanyesha sana, na nilitakiwa nifike toka asubuhi ila sasa uchovu wa shughuli za Jana ndo naenda jioni hii na sijui itakuwaje... Majibu ya dizaini hii yanachosha sana
 
Mbona mi nawewe tunaenda vizuri tu. Ondoa shaka kabisa kuhusu lafudhi, mpaka tulipofikia nafurahia kuongea na wewe.... Basi kama uko na time, rudia yale maswali yangu na ujaribu kujibu kutokana na maswali yalivyoulizwa ili tuendelee

Mfano: unaenda wapi? Jibu liwe nakwenda shule,kazini n.k
Sio unakwenda wapi mtu anajibu huku nakokwenda mvua inanyesha sana, na nilitakiwa nifike toka asubuhi ila sasa uchovu wa shughuli za Jana ndo naenda jioni hii na sijui itakuwaje... Majibu ya dizaini hii yanachosha sana
Haa ha ha haaa... take my sweet kisses !! nafarijika kwa hoja zako muruwa... "Lakini still ntaenda huko niendako hata kama patafurika maji"
My appreciations...
 
Haa ha ha haaa... take my sweet kisses !! nafarijika kwa hoja zako muruwa... "Lakini still ntaenda huko niendako hata kama patafurika maji"
My appreciations...

Kisses received mkuu and I real appreciate. Kwani mwenzetu unasafari ya wapi? 💋💋💋
 
Pole sn..ukafiri tu unakusumbua tubu kabla hujafa
 
Kisses received mkuu and I real appreciate. Kwani mwenzetu unasafari ya wapi? 
Always be Blessed... Safari ??!!?? mbona wote tupo safariniii...!! Since tulipozaliwa (umbwa) hadi tutaoishiia (end) hiyo ni safari ya Phase ya kati !! ile niliyokutajia juu ktk post ya 3 phases of human life!!
Still unanidai deni kubwa .. nakuahidi ntakulipa hadi ufurahi..... Muuuwah my warmest busu!!
 
Always be Blessed... Safari ??!!?? mbona wote tupo safariniii...!! Since tulipozaliwa (umbwa) hadi tutaoishiia (end) hiyo ni safari ya Phase ya kati !! ile niliyokutajia juu ktk post ya 3 phases of human life!!
Still unanidai deni kubwa .. nakuahidi ntakulipa hadi ufurahi..... Muuuwah my warmest busu!!

Yaani sijui unajaribu kutumia weakness yangu (kiss) kunifanya nisikuhoji sana? Anyway nimekushtukia na sasa nabadilika rasmi na kurudi kwenye mada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom