amoneyazan
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 698
- 472
ni sehemu ambayo existence yako tena inakuwa sio ya kimweli bali ya kiroho ndo utaweza ona usivyo viona asahivi...
Daah kwelii tunatofautianaa kiiimani
ni sehemu ambayo existence yako tena inakuwa sio ya kimweli bali ya kiroho ndo utaweza ona usivyo viona asahivi...
Daah kwelii tunatofautianaa kiiimani
Braza kwani imani yako ni nini au ipi
Mimi naaminii katika bibliaa kaka
Kwamba mfu hafahamuu nenoo lolote
Naaminii kuwa mtu akifa pumzii ya uhaii humtokaa na baada ya hapo anakuaa hanaa tofautii na kitu chochote kisichoo na uhai
Ataendeleaa kuwaa katikaa halii hiyoo mpakaa siku ya ufufuo wa mwisho
Sawa hizi imani mbili tofauti sisi baada ya kifo inabakia roho yake inashuhudia kila kinachoendelea na hadi maumivu mwilini yanaongezeka ndo maana huwaishwa kuzikwa, binaadamu tofauti na viumbe wengine kujielewa kwetu na roho yetu vinabaki hai
Hatarii Sana'a kiongozi
Kama Mungu ni mmoja
naaminii mmoja kati yetu atakua sahihi , au wote tutakua wrong
Hakunaa ajuaee kwasababu hakunaa aliyekufaa halafuu akarudii kuthibitishaa
La msingii tuzidii kutendaa memaa kiongozi
"MUNGU YUPO"
Sawa hizi imani mbili tofauti sisi baada ya kifo inabakia roho yake inashuhudia kila kinachoendelea na hadi maumivu mwilini yanaongezeka ndo maana huwaishwa kuzikwa, binaadamu tofauti na viumbe wengine kujielewa kwetu na roho yetu vinabaki hai
UKRISTO SIO DINI
Kajipange tena kijana
Ndiyo, ukristo sio dini maana dini ni njia. kwenye biblia hakuna neno ukristo ila wakristo, kristo, mkristo. uliza hivi je wakristo wanadini, hapo ndo utaeleweka, kwan umeulza swal ambalo halina mantiki.
inshaAllah umauti utufikie akiwa ameridhika na sisi kwaheri braza, nice chatting with you
Mkuu sasa kama mwili umeshakufa maumivu yanaongezekea wapi? Hebu naomba ufafanuzi kidogo hapo.
Cc. aretasludovick
mkuu kwa ufafanuzi zaidi pitia vitabu vya kiislamu kwenye mada ya umauti na pia tafuta shekh au kituo cha mafunzo ya dini akuelezee kiundani zaidi kuhusu suala hilo, i hope utafuatalia hilo, siku njema mkuu
Kama umeshindwa kuelezea hapa japo kwa kiasi basi ni wazi kuwa hilo unaloshauri halitawezekana.
kwa nini lisiwezekane basi haupo tayari kujua au uvivu Wa kutafuta elimu, ni bora kulielewa kiundani zaidi kwenye quoted post ya kwanza uliyo quote yangu nimeelezea kwa kiasi tayari, unataka zaidi ya ufafanuzi ule nenda kwenye main sources hauto pungukiwa kitu
Swali lilikuwa rahisi tu, MWILI UMESHAKUFA UTASIKIAJE MAUMIVU MAKALI ZAIDI? Kama huna jibu ila una hakika na ulichokiandika kaa kimya watakuja wanaoweza watajibu. Ila sitafuti kitabu chochote kile.
Toka lini elimu ikatafutwa kwa viongozi wa dini? Ingekuwa elimu inapatikana huko unadhani kungekuwa na shule?
Bennie 369 we pia si mtaalam wa hizi mambo? Hebu njoo unipe jibu mana jamaa ananikwepa mchana kweupee. Narudia swaliKafanye research acha uvivu hata mashuleni pia walimu wapo na vitabu vipo, kiongozi Wa dini ni mwalimu pia, post ikiachwa na wewe hautopata jibu lako
Kwa heshima na taadhima... kwenu !! mwana2015 amoneyazanStay blessed ndugu