Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

religion is a dogma and a will always repeat this.God is not about religion.all what you call holy books are corrupted.and for sure where you can find true jesus teaching is in the dead sea scroll.only new testament is not corrupted much and worthy looking at.
 
Kwanza mauti tu! Yanaonyesha uwepo wa Mungu wewe Manga Manga sana lakini akikuhitaji hakuna cha kiongozi wa Taifa kubwa, Trillionaire n.k. Utaondoka tu! Hiyo ni kuthibitisha nguvu zake.
 
Kwanza mauti tu! Yanaonyesha uwepo wa Mungu wewe Manga Manga sana lakini akikuhitaji hakuna cha kiongozi wa Taifa kubwa, Trillionaire n.k. Utaondoka tu! Hiyo ni kuthibitisha nguvu zake.

Hebu mwambie akuchukue Leo ili tuamini kama unachosema ni kweli na sio imani.

Hizo nguvu unazoziongelea ni zipi?
 
We ishi kwa raha tu, tenda wema usimkwaze mtu, achana na riwaya zilizokuja kwenye majahazi. Leo hii wasukuma wangekuwa ulaya au asia, basi Mwanamalundi angekua nabii wa watu weusi kwa maajabu ni miujiza aliyoitenda sema alikosa promo ya kutosha tangu enzi hizo.

Mukuu naomba story ya Mwanamalundi japo kwa ufupi
 
Kwanza mauti tu! Yanaonyesha uwepo wa Mungu wewe Manga Manga sana lakini akikuhitaji hakuna cha kiongozi wa Taifa kubwa, Trillionaire n.k. Utaondoka tu! Hiyo ni kuthibitisha nguvu zake.

theist wengi mnamajibu ya kipuuzi sana
kifo kina thibitisha nguvu za Mungu au udhaifu wake?

just imagine,unatengeneza gari linalodumu kwa miaka mitatu tu,kisha lina haribika
hapo litathibitisha ufanisi wako au udhaifu?
 
theist wengi mnamajibu ya kipuuzi sana
kifo kina thibitisha nguvu za Mungu au udhaifu wake?

just imagine,unatengeneza gari linalodumu kwa miaka mitatu tu,kisha lina haribika
hapo litathibitisha ufanisi wako au udhaifu?

Dduhh??

We jamaa umefufukiaa hukuu tenaa
 
Niliuliza swali, ungejibu tu ingetosha ila kwavile huna jibu umeanza ngonjera

Jibuu na wewe hiloo languu
Itashngazaa kamaa mimii nimeanzaa ngonjeraa halafuu.we ukamaliziaa na mdundikoo
 
Jibuu na wewe hiloo languu
Itashngazaa kamaa mimii nimeanzaa ngonjeraa halafuu.we ukamaliziaa na mdundikoo

We umeuliza wapi? Mana hata alama ya kuuliza kwenye ngonjera zako hamna
 
Hizi propaganda mwenyezi mungu hayupo, finally kaburini ndo tutajua acha nikapige sala mie muislamu kama hayupo imekula kwangu navyo amini yupo mtoa mada na wenzio subirini tukiwa kaburini,, log out
 
Hizi propaganda mwenyezi mungu hayupo, finally kaburini ndo tutajua acha nikapige sala mie muislamu kama hayupo imekula kwangu navyo amini yupo mtoa mada na wenzio subirini tukiwa kaburini,, log out

Kwanii kaburinii ndioo sehemuu ya kukutanaa na Mungu blazaa😕
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom