Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

Unaona sasa? Emu leta tena huo ushahid wa series number ya airtanzania iliyoko huko kiwandan. Afu uje na valid source.
Wewe una mental incapacity.,sitapoteza muda na wewe tena.

Nitajibu walio juu ya level ya kusoma na kuandika. Adios
 
Asante kwa ufafanuzi mzuri. Inaonyesha hapo tumenunua kitu ambacho sicho na ambacho kiko chini ya kiwango. Swali langi ni
Je serikali walijua hili?
 
Shalom watanzania wenzangu!

Disemba 12, 2016 ilikuwa siku ya furaha kwa baadhi yetu tuliomchagua JPM na Tutamchagu tena 2020 Mungu akitujaalia na wengine mlinuna baada ya taarifa kutoka serikali imeweka oda Boeing, ili kununua ndege ya kisasa kabisa 787-8.

Na yakwamba serikali itatoa $224.6Millioni ili kupata ndege hiyo.

Kumekuwa na taarifa mbali mbali, kwamba manunuzi haya yana chembe chembe za ufisadi. Na kwakuwa sipendi kuamini vitu bila kufanya utafiti nami nimeona nizame kwenye websites mbali mbali kutafuta ukweli.

Kwa ufupi kama wengine wasemavyo ni kweli hata Mimi nimeshaamini "SERIKALI IMEPIGWA"
lakini hadi kufikia hii Conclusion kuna mambo ya msingi unatakiwa kuyajua.

1. SERIAL NUMBER(SN) NA LINE NUMBER.
-Kila ndege huwa na serial number yake kama yalivyo magari. Ndege tulioagiza serial number yake ni 35508
-Line number ni ndege ya ngapi kutengenezwa. Kwa mfano kama zimetengenezwa ndege 10. Ndege ya kwanza itakuwa LN1, ya pili LN2 nakuendelea.

2. TERRIBLE TEENS NI NINI?
Terrible teens ni zile ndege za mwanzo kutengenezwa za Boeing 787-8. Hizi ndege zilikuwa 20. Kwahiyo hiyo ni Line number 1-20 (Kuwa makini hapa). Na hizi ndege zilifanyiwa majaribio mengi na matengenezo mengi mapya ili kupata ndege bora zaidi.

Kwa kifupi tunaweza sema zilikuwa sample ya kutengenezea ndege zingine. Kutokana na kufanyiwa modification za mara kwa mara hizi ndege zilipitiliza uzito uliotakiwa. Kutokana na kuongezeka uzito ndege hizi hata uwezo wake wa Masafa ukawa Umepungua kwa Maili 1000 au KM 1609.344

Kutokana na hili makampuni yaliotaka order za mwanzo kama All Nippon, Maroc etc. yaligoma kuchukua hizi ndege bali yalichukua ndege zilizotengenezwa baada ya zile 20 za mwanzo yaani Line number 21 na kuendelea.

Terrible teens zingine ziliwekwa kwenye majumba ya kumbukumbu na baadhi ya kampuni walizichukua. Zikabaki 12 uwanjani miaka mitano bila mnunuzi toka 2009 zilipoanza tengenezwa.

Kutokana na aibu iliyokuwa inaipata Boeing ya kukaa na mindege isiyo uzika. Ikaamua yafuatayo

(a) Kutafuta Wateja ambao hawatajali issues ya kikomo cha masafa ya ndege

(b) Kuziuza hizi ndege kwa bei rahisi ( karibu nusu bei kutoka $224M hadi $99M)

CONCLUSION
Kutoka katika websites ya Boeing na na web zingine za usafiri wa anga zimeweka wazi Ndege tulio iwekea order ni Boeing 787-8, serial number 35508, Line number 19.

Sasa kwa maelezo niliyotoa Line number 19 IPO ndani ya Line number 1-20. Kwa kifupi ndege tuliogiza ndio zile ndege za mwanzo 20 zilizopachikwa jina la Terrible Teens.

Swali lingine la kujiuliza kwanini tumeuziwa ndege iliyo doda ,iliyoshushwa bei hadi kufikia $99M kwa bei ya ndege mpya yaani $224.6M?

Bila kupepesa macho hapa tumepigwa $124M na ushee ambazo tungeweza nunua Boeing 737-800 Next Generation mpyaaaa ya 2016.

Kama nilivyokwisha sema Nina imani na Rais Magufuli ni mtu makini anayeipenda Tanzania. Na imani hili litatolewa maelekezo na kufanyiwa kazi.

Nimewawekea link na picha mbali mbali kusappoti uzi.

66cbe3973d2476f0afd0ef4b23f5d581.jpg


5ffe88270490cadedd65af84f1f2a940.jpg
32a59f2db3a1932ae85e9b8bfd8d26fd.jpg


Boeing 787 Register - Welcome

www.airliners.net/forum/viewtopic.php?t=1335649

www.airportspotting.com/boeing-finding-homes-terrible-teen-787s/

www.boeing.com/commercial/customers/air-tanzania/air-tanzania-787-order.page


Sikutaka kupoteza muda wangu kufanya uchunguzi kwenye hili jambo baada ya kufanya utafiti nikakutana na details zifuatazo ambazo zinapingana kabisa na info ulizoonyesha hapo juu.

Source link:
https://www.planespotters.net/production-list/Boeing/787


c/n l/n Aircraft Type Reg Airline Delivered Status Prev. Reg Remark
40690 1 Boeing 787-8 Dreamliner N787BA Boeing Jul 2007 Preserved
40691 2 Boeing 787-8 Dreamliner N787EX Boeing Jun 2009 Preserved
40692 3 Boeing 787-8 Dreamliner N787BX Boeing Jun 2009 Preserved
40693 4 Boeing 787-8 Dreamliner N7874 Boeing Jun 2009 Active
40694 5 Boeing 787-8 Dreamliner N787FT Boeing Jul 2009 Stored
40695 6 Boeing 787-8 Dreamliner XC-MEX Fuerza Aérea Mexicana (Mexican Air Force) Oct 2014 Active N787ZA José Ma. Morelos y Pavón, TP-01
34485 7 Boeing 787-8 Dreamliner JA803A All Nippon Airways Aug 2012 Active
34488 8 Boeing 787-8 Dreamliner JA801A All Nippon Airways Sep 2011 Active N1008S
34486 9 Boeing 787-8 Dreamliner JA804A All Nippon Airways Jan 2012 Active N1006F
38464 10 Boeing 787-8 Dreamliner ET- Ethiopian Airlines On Order
41987 11 Boeing 787-8 Dreamliner N507BJ Boeing Business Jets Mar 2015 Stored
34505 12 Boeing 787-8 Dreamliner ET-ATL Ethiopian Airlines Jun 2016 Active N1789B Colonel Robinson, lsd
34492 13 Boeing 787-8 Dreamliner ET-ATJ Ethiopian Airlines Sep 2016 Active N1003W Dallol, lsd
34498 14 Boeing 787-8 Dreamliner ET-ATK Ethiopian Airlines Jul 2016 Active N1002K Meles, lsd
34491 15 Boeing 787-8 Dreamliner F-OLRB Air Austral Oct 2016 Active N1015X
38475 16 Boeing 787-8 Dreamliner ET-ATH Ethiopian Airlines Mar 2017 Active N1020L Rio de Janeiro
35507 17 Boeing 787-8 Dreamliner - Crystal Luxury Air Mar 2017 Stored N947BA
34487 18 Boeing 787-8 Dreamliner ET-ATI Ethiopian Airlines On Order N10230 Mother Teresa
35508 19 Boeing 787-8 Dreamliner 9XR- RwandAir On Order
34831 20 Boeing 787-8 Dreamliner JA821J Japan Airlines Nov 2013 Active
34833 21 Boeing 787-8 Dreamliner JA823J Japan Airlines Aug 2013 Active
34510 22 Boeing 787-8 Dreamliner F-OLRC Air Austral May 2016 Active N885BA
34832 23 Boeing 787-8 Dreamliner JA822J Japan Airlines Mar 2012 Active N1003W
34497 24 Boeing 787-8 Dreamliner JA802A All Nippon Airways Oct 2011 Active N1014X
36273 25 Boeing 787-8 Dreamliner VT-ANA Air India Mar 2014 Active N1020K
36279 26 Boeing 787-8 Dreamliner VT-ANB Air India Jan 2014 Active N10230
34834 27 Boeing 787-8 Dreamliner JA824J Japan Airlines Sep 2012 Active
36274 28 Boeing 787-8 Dreamliner VT-ANC Air India Jun 2014 Active
36278 29 Boeing 787-8 Dreamliner VT-AND Air India Sep 2012 Active N10230 lsd
36280 30 Boeing 787-8 Dreamliner VT-ANE Air India Dec 2013 Active
34514 31 Boeing 787-8 Dreamliner JA805A All Nippon Airways Dec 2011 Active
36275 32 Boeing 787-8 Dreamliner VT-ANG Air India Nov 2013 Active
34835 33 Boeing 787-8 Dreamliner JA825J Japan Airlines Mar 2012 Active N1006F
34923 34 Boeing 787-8 Dreamliner B-2725 China Southern Airlines May 2013 Active
36276 35 Boeing 787-8 Dreamliner VT-ANH Air India Sep 2012 Active N1020L lsd
34924 36 Boeing 787-8 Dreamliner B-2726 China Southern Airlines Dec 2013 Active
34836 37 Boeing 787-8 Dreamliner JA826J Japan Airlines Apr 2012 Active
34837 38 Boeing 787-8 Dreamliner JA827J Japan Airlines Apr 2012 Active N787BK
34743 39 Boeing 787-8 Dreamliner ET-AOO Ethiopian Airlines Jul 2013 Active Lake Tana
34515 40 Boeing 787-8 Dreamliner JA806A All Nippon Airways Mar 2012 Active
34508 41 Boeing 787-8 Dreamliner JA807A All Nippon Airways Jan 2012 Active
34490 42 Boeing 787-8 Dreamliner JA808A All Nippon Airways Apr 2012 Active
34925 43 Boeing 787-8 Dreamliner B-2727 China Southern Airlines Oct 2013 Active N1014X
34744 44 Boeing 787-8 Dreamliner ET-AOP Ethiopian Airlines Nov 2012 Active Queen of Sheba
34821 45 Boeing 787-8 Dreamliner N27901 United Airlines Dec 2012 Active 0901
36277 46 Boeing 787-8 Dreamliner VT-ANI Air India Oct 2012 Active N6067B lsd
34494 47 Boeing 787-8 Dreamliner JA809A All Nippon Airways Jun 2012 Active N1015X
34506 48 Boeing 787-8 Dreamliner JA810A All Nippon Airways Jun 2012 Active N1008S
34745 49 Boeing 787-8 Dreamliner ET-AOQ Ethiopian Airlines Aug 2012 Active N1020K Africa First
34822 50 Boeing 787-8 Dreamliner N26902 United Airlines Nov 2012 Active 0902
34502 51 Boeing 787-8 Dreamliner JA811A All Nippon Airways Jul 2012 Active
 
Mtu ukinunua simu mpya niseme labda ya mwaka juzi ambayo ni smartphone, je utaanza kuitumia ilivyo au wataiupdate wauzaji au wewe kama haswa unataka kuhakikisha ipo swafiiiiiiiiiiii na haitakuletea matatizo? Na kwa ndege nani inatakiwa aiupgrade au unataka ije kama ilivyokuwa mwaka uleeeeee na mpya mengi yapo hadi kwa software n.k.

Haya mjuzi nijuze mimi?
Jamani kwani sumsung note 7 hamkuona janga lake? wale walio kimbilia mwanzo nn kiliwapata? iyo ni simu kwa ndege ikizingua unaimbiwa mbinguni kuna makao mazuri. sa cjui tulienda tukaona ayo makao
 
Kifupi tumepigwa tutafanyaje sasa ipi ni way forward y kupata chenji zetu nani atasimama aseme tumepigwa nani kutoka ccm atakubali kusimama kwenye ukwel ni spika yupi ataruhusu mjadala huu ujafiliwe bungeni
Maswal haya yanakatisha tamaa ya mjadala
 
The Tomorrow People, nimeisoma kwa makini sana posting yako na ina ukweli kadhaa ndani yake. Hata hivyo kwa faida ya wasomaji na wachangiaji wenzetu ni vizuri nikaweka sawa baadhi ya mambo ili kuutenda haki mjadala huu. Maelezo na ufafanuzi wako wa maana ya serial number, line number, na hata terrible teen kama ulivyoyajengea kwa kutumia taarifa kutoka mitandao mbalimbali ni sahihi kabisa.

Tatizo langu, kwa kutumia elimu yangu ndogo katika mambo ya ndege, linakuja kwenye conclusion yako na kutumia hizo website kuthibitish hoja yako bila kujua au kusema nani wamilki wa hizo website. Kampuni ya Boeing ndio iliyoiuzia ndege Tanzania hivyo kwa hali ya kawaida lazima kungekuwa na uthibitisho wa ununuzi wa ndege hii kutoka kampuni hiyo. Uthibitisho wa Boeing unaoutumia katika posting yako ni wa bei ($224.6M) na siyo kuwa Tanzania imeuziwa mojawapo ya Terrible teens. Ni vizuri pia tukaelewa maana ya list prices ambayo ndio imeonyeshwa katika website ya Boeing ili kujua kuwa hii siyo bei waliyouziwa Tanzania. Uthibitisho uliotumia kuonyesha kuwa Tanzania imeuziwa mojawapo yaTerrible teens ni kutoka tovuti zifuatazo:

Boeing 787 Register - Welcome

Hii ni tovuti ambayo haimilikiwi wala kuwa na uhusiano wowote na kampuni ya Boeing. Kwa mtazamo wangu na jinsi nilivyoangalia habari zilizomo, sio rahisi kuzichukulia habari zao kwa uhakika hata wa asilimia moja. Hii ni website ya amatures hivyo kutumia habari zao kama uthibitisho wa Tanzania kununua mojawapo ya Terrible teens hazina mashiko. Uangalifu wa hali ya juu na kutafuta habari katika vyanzo vilivyo karibu au kutoka ndani ya Boeing yenyewe ni muhimu katika kuthibitisha jambo hili badala ya kuamini habari kutoka website au blog ya mtu mmoja tena amature. Sioni kwa nini Tanzania wangeamua kusubiri karibu miaka miwili kupata ndege hii wakati iko tayari ikisubiri mnunuzi. Muda mrefu kiasi hiki ni kwa ajiri ya kutengeneza ndege mpya. Kama ndege tayari ina serial number na line number, lazima ingekuw katika website ya Boeing au website za makampuni credible hasa yanayotoa habari za kibiashara. Ajabu sijaona reference ya website yoyote inayoaminika kimataifa kwa habari za kibiashara iliyobeba habari hii pamoja na kuwa na mvuto kutokana na hizo terrible teens. Kwa kifupi hii ni habari ya kutunga na ndio maana website zinazoaminika kimataifa haziwezi kuitumia habari hii kwa kujua kuwa ni uongo na uzushi kwa kuogopa matatizo ya kisheria.


www.airliners.net/forum/viewtopic.php?t=1335649
Websita hii haina sehemu yeyote inayosema Tanzania imenunua mojawapo ya Terrible teens kama inavyodaiwa kwenye website ya huyu jamaa hapo juu. Website hii ambayo ina forum kama ya jukwaa la siasa kwa maswala ya ndege inazungumzia kuwapo Terrible teens na kuishia hapo. Sasa sijui ni kwanini imetumika kama kithibitisho kuwa Tanzania imenunua mojawapo ya Terrible teens. Inajaribu kuelezea failure ya uongozi wa Boeing mwanzoni mwa projekti ya 787.

www.airportspotting.com/boeing-finding-homes-terrible-teen-787s/

Website hii inazungumzia habari ya Ethiopia kununua Terrible teens kwa matumizi yao na siyo Tanzania kununua mojawapo ya Terrible teens. Wanatoa pia historia ya manunuzi yanayotazamiwa. Inaonekana habari hii ni ya zamani kidogo. Haijatoa uthibitisho kuwa Tanzania imenunua mojawapo ya Terrible teens hivyo haina uhusiano na habari za Tanzania kununua mojawapo ya Terrible teens.

www.boeing.com/commercial/customers/air-tanzania/air-tanzania-787-order.page

Hii ni website rasmi ya Kampuni ya boeing na inatoa habari za tanzania kununua ndege ya Boeing 787-8 na kujiunga na familia ya Boeing. inathibitisha bei kuwa ni list price. Mara nyingi list price siyo lazima iwe ni contarct price (bei iliyoko kwenye mkata) baada ya punguzo. Bei hii ni kwa ndege mpya na siyo mojawapo ya Terrible Teens kama inavyokuwa speculated kwa kutumia habari za mtandao wa amature mmoja. huyu ni mtu ambaye alikuwa anatoa habari za formula one na kuamua kuiuza website hiyo na kuanzisha hii ya B787.

Ninahkika 100% kuwa Boeing hatajaribu kujiingiza katika aibu kama hii kwa kuiuzia Tanzania ndege ya Terrible Teens huku akijuwa kuwa makabidhiano ya ndege huhusisha uhakiki wa uzito. Sijui atahonga wangapi iliwakubali kuchukua ndege yenye uzito tofauti na ule Tanzania wanataka. Ninaona mambo mengi sana kwa kutumia ufahamu wangu mdogo wa mambo ya ndege yanayonifanya nisiamini hata chembe habari ya Tanzania kuingizwa mkenge. Rbu tufuatie na baadae mje mnisute kwa kusema uongo wakati mojawapo ya Terrible Teens itakapo kuja Tanzania. Nilisema wakati wa bombardier kuwa sio kweli kuwa zimetumika bali ni mpya. nikamaliza kwa kusema I stand to be hanged kama itathibitishwa kuwa nilichosema ni uongo. I stand to be hanged kama itathibitishwa kuwa Tanzania imenunua mojawapo ya terrible teens au ndege hiyo sio mpya au haijatengenezwa kwa order ya Tanzania.

Shalom watanzania wenzangu!

Disemba 12, 2016 ilikuwa siku ya furaha kwa baadhi yetu tuliomchagua JPM na Tutamchagu tena 2020 Mungu akitujaalia na wengine mlinuna baada ya taarifa kutoka serikali imeweka oda Boeing, ili kununua ndege ya kisasa kabisa 787-8.

Na yakwamba serikali itatoa $224.6Millioni ili kupata ndege hiyo.

Kumekuwa na taarifa mbali mbali, kwamba manunuzi haya yana chembe chembe za ufisadi. Na kwakuwa sipendi kuamini vitu bila kufanya utafiti nami nimeona nizame kwenye websites mbali mbali kutafuta ukweli.

Kwa ufupi kama wengine wasemavyo ni kweli hata Mimi nimeshaamini "SERIKALI IMEPIGWA"
lakini hadi kufikia hii Conclusion kuna mambo ya msingi unatakiwa kuyajua.

1. SERIAL NUMBER(SN) NA LINE NUMBER.
-Kila ndege huwa na serial number yake kama yalivyo magari. Ndege tulioagiza serial number yake ni 35508
-Line number ni ndege ya ngapi kutengenezwa. Kwa mfano kama zimetengenezwa ndege 10. Ndege ya kwanza itakuwa LN1, ya pili LN2 nakuendelea.

2. TERRIBLE TEENS NI NINI?
Terrible teens ni zile ndege za mwanzo kutengenezwa za Boeing 787-8. Hizi ndege zilikuwa 20. Kwahiyo hiyo ni Line number 1-20 (Kuwa makini hapa). Na hizi ndege zilifanyiwa majaribio mengi na matengenezo mengi mapya ili kupata ndege bora zaidi.

Kwa kifupi tunaweza sema zilikuwa sample ya kutengenezea ndege zingine. Kutokana na kufanyiwa modification za mara kwa mara hizi ndege zilipitiliza uzito uliotakiwa. Kutokana na kuongezeka uzito ndege hizi hata uwezo wake wa Masafa ukawa Umepungua kwa Maili 1000 au KM 1609.344

Kutokana na hili makampuni yaliotaka order za mwanzo kama All Nippon, Maroc etc. yaligoma kuchukua hizi ndege bali yalichukua ndege zilizotengenezwa baada ya zile 20 za mwanzo yaani Line number 21 na kuendelea.

Terrible teens zingine ziliwekwa kwenye majumba ya kumbukumbu na baadhi ya kampuni walizichukua. Zikabaki 12 uwanjani miaka mitano bila mnunuzi toka 2009 zilipoanza tengenezwa.

Kutokana na aibu iliyokuwa inaipata Boeing ya kukaa na mindege isiyo uzika. Ikaamua yafuatayo

(a) Kutafuta Wateja ambao hawatajali issues ya kikomo cha masafa ya ndege

(b) Kuziuza hizi ndege kwa bei rahisi ( karibu nusu bei kutoka $224M hadi $99M)

CONCLUSION
Kutoka katika websites ya Boeing na na web zingine za usafiri wa anga zimeweka wazi Ndege tulio iwekea order ni Boeing 787-8, serial number 35508, Line number 19.

Sasa kwa maelezo niliyotoa Line number 19 IPO ndani ya Line number 1-20. Kwa kifupi ndege tuliogiza ndio zile ndege za mwanzo 20 zilizopachikwa jina la Terrible Teens.

Swali lingine la kujiuliza kwanini tumeuziwa ndege iliyo doda ,iliyoshushwa bei hadi kufikia $99M kwa bei ya ndege mpya yaani $224.6M?

Bila kupepesa macho hapa tumepigwa $124M na ushee ambazo tungeweza nunua Boeing 737-800 Next Generation mpyaaaa ya 2016.

Kama nilivyokwisha sema Nina imani na Rais Magufuli ni mtu makini anayeipenda Tanzania. Na imani hili litatolewa maelekezo na kufanyiwa kazi.

Nimewawekea link na picha mbali mbali kusappoti uzi.

66cbe3973d2476f0afd0ef4b23f5d581.jpg


5ffe88270490cadedd65af84f1f2a940.jpg
32a59f2db3a1932ae85e9b8bfd8d26fd.jpg


Boeing 787 Register - Welcome

www.airliners.net/forum/viewtopic.php?t=1335649

www.airportspotting.com/boeing-finding-homes-terrible-teen-787s/

www.boeing.com/commercial/customers/air-tanzania/air-tanzania-787-order.page
 
Ufupishiwe ili iweje!? Kwani nawe ni Bashite wa Kolomije huelewi kilichoandikwa kwa kuwa umezoea mstari mmoja mmoja!? Tulizana soma kwa kina ili uelewe huwezi tafuta zile za mstari mmoja mmoja hii waachie wenye uwezo wa kuelewa hata kama ni page 100.

Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
 
CAG ni lazima akague haya manunuzi kwa kina. Asiyejaribiwa ana asili ya kuwa fisadi wa hali ya juu. Alifanya ufisadi kwenye uuzwaji wa nyumba za Serikali, akafanya ufisadi kwenye ununuzi wa kivuko cha Bagamoyo, ufisadi mwingine akaufanya ujenzi ambapo zaidi ya bilioni 100 zilipotea kinyemela na yeye kulidanganya Bunge.

Hapa pia kuna uwezekano mkubwa wa ufisadi wa kutisha ndiyo sababu hakutaka kuomba pesa hizo kupitia Bunge kama ilivyo kawaida na pia alikiuka taratibu za manunuzi ya Serikali. Panapofuka moshi.....

Shalom watanzania wenzangu!

Disemba 12, 2016 ilikuwa siku ya furaha kwa baadhi yetu tuliomchagua JPM na Tutamchagu tena 2020 Mungu akitujaalia na wengine mlinuna baada ya taarifa kutoka serikali imeweka oda Boeing, ili kununua ndege ya kisasa kabisa 787-8.

Na yakwamba serikali itatoa $224.6Millioni ili kupata ndege hiyo.

Kumekuwa na taarifa mbali mbali, kwamba manunuzi haya yana chembe chembe za ufisadi. Na kwakuwa sipendi kuamini vitu bila kufanya utafiti nami nimeona nizame kwenye websites mbali mbali kutafuta ukweli.

Kwa ufupi kama wengine wasemavyo ni kweli hata Mimi nimeshaamini "SERIKALI IMEPIGWA"
lakini hadi kufikia hii Conclusion kuna mambo ya msingi unatakiwa kuyajua.

1. SERIAL NUMBER(SN) NA LINE NUMBER.
-Kila ndege huwa na serial number yake kama yalivyo magari. Ndege tulioagiza serial number yake ni 35508
-Line number ni ndege ya ngapi kutengenezwa. Kwa mfano kama zimetengenezwa ndege 10. Ndege ya kwanza itakuwa LN1, ya pili LN2 nakuendelea.

2. TERRIBLE TEENS NI NINI?
Terrible teens ni zile ndege za mwanzo kutengenezwa za Boeing 787-8. Hizi ndege zilikuwa 20. Kwahiyo hiyo ni Line number 1-20 (Kuwa makini hapa). Na hizi ndege zilifanyiwa majaribio mengi na matengenezo mengi mapya ili kupata ndege bora zaidi.

Kwa kifupi tunaweza sema zilikuwa sample ya kutengenezea ndege zingine. Kutokana na kufanyiwa modification za mara kwa mara hizi ndege zilipitiliza uzito uliotakiwa. Kutokana na kuongezeka uzito ndege hizi hata uwezo wake wa Masafa ukawa Umepungua kwa Maili 1000 au KM 1609.344

Kutokana na hili makampuni yaliotaka order za mwanzo kama All Nippon, Maroc etc. yaligoma kuchukua hizi ndege bali yalichukua ndege zilizotengenezwa baada ya zile 20 za mwanzo yaani Line number 21 na kuendelea.

Terrible teens zingine ziliwekwa kwenye majumba ya kumbukumbu na baadhi ya kampuni walizichukua. Zikabaki 12 uwanjani miaka mitano bila mnunuzi toka 2009 zilipoanza tengenezwa.

Kutokana na aibu iliyokuwa inaipata Boeing ya kukaa na mindege isiyo uzika. Ikaamua yafuatayo

(a) Kutafuta Wateja ambao hawatajali issues ya kikomo cha masafa ya ndege

(b) Kuziuza hizi ndege kwa bei rahisi ( karibu nusu bei kutoka $224M hadi $99M)

CONCLUSION
Kutoka katika websites ya Boeing na na web zingine za usafiri wa anga zimeweka wazi Ndege tulio iwekea order ni Boeing 787-8, serial number 35508, Line number 19.

Sasa kwa maelezo niliyotoa Line number 19 IPO ndani ya Line number 1-20. Kwa kifupi ndege tuliogiza ndio zile ndege za mwanzo 20 zilizopachikwa jina la Terrible Teens.

Swali lingine la kujiuliza kwanini tumeuziwa ndege iliyo doda ,iliyoshushwa bei hadi kufikia $99M kwa bei ya ndege mpya yaani $224.6M?

Bila kupepesa macho hapa tumepigwa $124M na ushee ambazo tungeweza nunua Boeing 737-800 Next Generation mpyaaaa ya 2016.

Kama nilivyokwisha sema Nina imani na Rais Magufuli ni mtu makini anayeipenda Tanzania. Na imani hili litatolewa maelekezo na kufanyiwa kazi.

Nimewawekea link na picha mbali mbali kusappoti uzi.

66cbe3973d2476f0afd0ef4b23f5d581.jpg


5ffe88270490cadedd65af84f1f2a940.jpg
32a59f2db3a1932ae85e9b8bfd8d26fd.jpg


Boeing 787 Register - Welcome

www.airliners.net/forum/viewtopic.php?t=1335649

www.airportspotting.com/boeing-finding-homes-terrible-teen-787s/

www.boeing.com/commercial/customers/air-tanzania/air-tanzania-787-order.page
 
Shalom watanzania wenzangu!

Disemba 12, 2016 ilikuwa siku ya furaha kwa baadhi yetu tuliomchagua JPM na Tutamchagu tena 2020 Mungu akitujaalia na wengine mlinuna baada ya taarifa kutoka serikali imeweka oda Boeing, ili kununua ndege ya kisasa kabisa 787-8.

Na yakwamba serikali itatoa $224.6Millioni ili kupata ndege hiyo.

Kumekuwa na taarifa mbali mbali, kwamba manunuzi haya yana chembe chembe za ufisadi. Na kwakuwa sipendi kuamini vitu bila kufanya utafiti nami nimeona nizame kwenye websites mbali mbali kutafuta ukweli.

Kwa ufupi kama wengine wasemavyo ni kweli hata Mimi nimeshaamini "SERIKALI IMEPIGWA"
lakini hadi kufikia hii Conclusion kuna mambo ya msingi unatakiwa kuyajua.

1. SERIAL NUMBER(SN) NA LINE NUMBER.
-Kila ndege huwa na serial number yake kama yalivyo magari. Ndege tulioagiza serial number yake ni 35508
-Line number ni ndege ya ngapi kutengenezwa. Kwa mfano kama zimetengenezwa ndege 10. Ndege ya kwanza itakuwa LN1, ya pili LN2 nakuendelea.

2. TERRIBLE TEENS NI NINI?
Terrible teens ni zile ndege za mwanzo kutengenezwa za Boeing 787-8. Hizi ndege zilikuwa 20. Kwahiyo hiyo ni Line number 1-20 (Kuwa makini hapa). Na hizi ndege zilifanyiwa majaribio mengi na matengenezo mengi mapya ili kupata ndege bora zaidi.

Kwa kifupi tunaweza sema zilikuwa sample ya kutengenezea ndege zingine. Kutokana na kufanyiwa modification za mara kwa mara hizi ndege zilipitiliza uzito uliotakiwa. Kutokana na kuongezeka uzito ndege hizi hata uwezo wake wa Masafa ukawa Umepungua kwa Maili 1000 au KM 1609.344

Kutokana na hili makampuni yaliotaka order za mwanzo kama All Nippon, Maroc etc. yaligoma kuchukua hizi ndege bali yalichukua ndege zilizotengenezwa baada ya zile 20 za mwanzo yaani Line number 21 na kuendelea.

Terrible teens zingine ziliwekwa kwenye majumba ya kumbukumbu na baadhi ya kampuni walizichukua. Zikabaki 12 uwanjani miaka mitano bila mnunuzi toka 2009 zilipoanza tengenezwa.

Kutokana na aibu iliyokuwa inaipata Boeing ya kukaa na mindege isiyo uzika. Ikaamua yafuatayo

(a) Kutafuta Wateja ambao hawatajali issues ya kikomo cha masafa ya ndege

(b) Kuziuza hizi ndege kwa bei rahisi ( karibu nusu bei kutoka $224M hadi $99M)

CONCLUSION
Kutoka katika websites ya Boeing na na web zingine za usafiri wa anga zimeweka wazi Ndege tulio iwekea order ni Boeing 787-8, serial number 35508, Line number 19.

Sasa kwa maelezo niliyotoa Line number 19 IPO ndani ya Line number 1-20. Kwa kifupi ndege tuliogiza ndio zile ndege za mwanzo 20 zilizopachikwa jina la Terrible Teens.

Swali lingine la kujiuliza kwanini tumeuziwa ndege iliyo doda ,iliyoshushwa bei hadi kufikia $99M kwa bei ya ndege mpya yaani $224.6M?

Bila kupepesa macho hapa tumepigwa $124M na ushee ambazo tungeweza nunua Boeing 737-800 Next Generation mpyaaaa ya 2016.

Kama nilivyokwisha sema Nina imani na Rais Magufuli ni mtu makini anayeipenda Tanzania. Na imani hili litatolewa maelekezo na kufanyiwa kazi.

Nimewawekea link na picha mbali mbali kusappoti uzi.

66cbe3973d2476f0afd0ef4b23f5d581.jpg


5ffe88270490cadedd65af84f1f2a940.jpg
32a59f2db3a1932ae85e9b8bfd8d26fd.jpg


Boeing 787 Register - Welcome

www.airliners.net/forum/viewtopic.php?t=1335649

www.airportspotting.com/boeing-finding-homes-terrible-teen-787s/

www.boeing.com/commercial/customers/air-tanzania/air-tanzania-787-order.page
Asante mkuu, Mungu akubariki sana. Sijui huwa kwa nini watu wazalendo kama ninyi huwa hamzawadiwi kwa njia moja au nyingine. Hata hivyo, nadhani Rais atapata taarifa hii ili hatimaye uchunguzi wa kina ufanywe . Ni matumaini yangu kwamba wote watakaobainika kuwa wamehusika na ufisadi huu kwa njia moja au nyingine watawajibishwa kulingana na sheria zetu.

Wabunge wetu popote pale mlipo, wekeni mbali tofauti zetu za kisiasa na kuhakikisha kwamba wahusika wote wa ufisadi huu wanawajibishwa .Nchi yetu itakuwa shamba la bibi mpaka lini?Haikubaliki.
 
The Tomorrow People, nimeisoma kwa makini sana posting yako na ina ukweli kadhaa ndani yake. Hata hivyo kwa faida ya wasomaji na wachangiaji wenzetu ni vizuri nikaweka sawa baadhi ya mambo ili kuutenda haki mjadala huu. Maelezo na ufafanuzi wako wa maana ya serial number, line number, na hata terrible teen kama ulivyoyajengea kwa kutumia taarifa kutoka mitandao mbalimbali ni sahihi kabisa.

Tatizo langu, kwa kutumia elimu yangu ndogo katika mambo ya ndege, linakuja kwenye conclusion yako na kutumia hizo website kuthibitish hoja yako bila kujua au kusema nani wamilki wa hizo website. Kampuni ya Boeing ndio iliyoiuzia ndege Tanzania hivyo kwa hali ya kawaida lazima kungekuwa na uthibitisho wa ununuzi wa ndege hii kutoka kampuni hiyo. Uthibitisho wa Boeing unaoutumia katika posting yako ni wa bei ($224.6M) na siyo kuwa Tanzania imeuziwa mojawapo ya Terrible teens. Ni vizuri pia tukaelewa maana ya list prices ambayo ndio imeonyeshwa katika website ya Boeing ili kujua kuwa hii siyo bei waliyouziwa Tanzania. Uthibitisho uliotumia kuonyesha kuwa Tanzania imeuziwa mojawapo yaTerrible teens ni kutoka tovuti zifuatazo:

Boeing 787 Register - Welcome

Hii ni tovuti ambayo haimilikiwi wala kuwa na uhusiano wowote na kampuni ya Boeing. Kwa mtazamo wangu na jinsi nilivyoangalia habari zilizomo, sio rahisi kuzichukulia habari zao kwa uhakika hata wa asilimia moja. Hii ni website ya amatures hivyo kutumia habari zao kama uthibitisho wa Tanzania kununua mojawapo ya Terrible teens hazina mashiko. Uangalifu wa hali ya juu na kutafuta habari katika vyanzo vilivyo karibu au kutoka ndani ya Boeing yenyewe ni muhimu katika kuthibitisha jambo hili badala ya kuamini habari kutoka website au blog ya mtu mmoja tena amature. Sioni kwa nini Tanzania wangeamua kusubiri karibu miaka miwili kupata ndege hii wakati iko tayari ikisubiri mnunuzi. Muda mrefu kiasi hiki ni kwa ajiri ya kutengeneza ndege mpya. Kama ndege tayari ina serial number na line number, lazima ingekuw katika website ya Boeing au website za makampuni credible hasa yanayotoa habari za kibiashara. Ajabu sijaona reference ya website yoyote inayoaminika kimataifa kwa habari za kibiashara iliyobeba habari hii pamoja na kuwa na mvuto kutokana na hizo terrible teens. Kwa kifupi hii ni habari ya kutunga na ndio maana website zinazoaminika kimataifa haziwezi kuitumia habari hii kwa kujua kuwa ni uongo na uzushi kwa kuogopa matatizo ya kisheria.


www.airliners.net/forum/viewtopic.php?t=1335649
Websita hii haina sehemu yeyote inayosema Tanzania imenunua mojawapo ya Terrible teens kama inavyodaiwa kwenye website ya huyu jamaa hapo juu. Website hii ambayo ina forum kama ya jukwaa la siasa kwa maswala ya ndege inazungumzia kuwapo Terrible teens na kuishia hapo. Sasa sijui ni kwanini imetumika kama kithibitisho kuwa Tanzania imenunua mojawapo ya Terrible teens. Inajaribu kuelezea failure ya uongozi wa Boeing mwanzoni mwa projekti ya 787.

www.airportspotting.com/boeing-finding-homes-terrible-teen-787s/

Website hii inazungumzia habari ya Ethiopia kununua Terrible teens kwa matumizi yao na siyo Tanzania kununua mojawapo ya Terrible teens. Wanatoa pia historia ya manunuzi yanayotazamiwa. Inaonekana habari hii ni ya zamani kidogo. Haijatoa uthibitisho kuwa Tanzania imenunua mojawapo ya Terrible teens hivyo haina uhusiano na habari za Tanzania kununua mojawapo ya Terrible teens.

www.boeing.com/commercial/customers/air-tanzania/air-tanzania-787-order.page

Hii ni website rasmi ya Kampuni ya boeing na inatoa habari za tanzania kununua ndege ya Boeing 787-8 na kujiunga na familia ya Boeing. inathibitisha bei kuwa ni list price. Mara nyingi list price siyo lazima iwe ni contarct price (bei iliyoko kwenye mkata) baada ya punguzo. Bei hii ni kwa ndege mpya na siyo mojawapo ya Terrible Teens kama inavyokuwa speculated kwa kutumia habari za mtandao wa amature mmoja. huyu ni mtu ambaye alikuwa anatoa habari za formula one na kuamua kuiuza website hiyo na kuanzisha hii ya B787.

Ninahkika 100% kuwa Boeing hatajaribu kujiingiza katika aibu kama hii kwa kuiuzia Tanzania ndege ya Terrible Teens huku akijuwa kuwa makabidhiano ya ndege huhusisha uhakiki wa uzito. Sijui atahonga wangapi iliwakubali kuchukua ndege yenye uzito tofauti na ule Tanzania wanataka. Ninaona mambo mengi sana kwa kutumia ufahamu wangu mdogo wa mambo ya ndege yanayonifanya nisiamini hata chembe habari ya Tanzania kuingizwa mkenge. Rbu tufuatie na baadae mje mnisute kwa kusema uongo wakati mojawapo ya Terrible Teens itakapo kuja Tanzania. Nilisema wakati wa bombardier kuwa sio kweli kuwa zimetumika bali ni mpya. nikamaliza kwa kusema I stand to be hanged kama itathibitishwa kuwa nilichosema ni uongo. I stand to be hanged kama itathibitishwa kuwa Tanzania imenunua mojawapo ya terrible teens au ndege hiyo sio mpya au haijatengenezwa kwa order ya Tanzania.

Unakataa kuwa hatujauziwa ndege yenye hiyo serial number wakati wewe hutoi uthibitisho wa serial number ya nyengine.,

Kama ulihusika kwenye manunuzi jiandae kuwa responsible.

Ndege kuwa na features za zamani na ufanisi kidogo ndio sababu ya jina la terrible teens, has nothing to do with them being used.

Its about time hii mikata ya kitapeli muwe mnaiweka waI ili mnapoingizwa mjini ijulikane mapema, before its too late.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
Tatizo umekuwa mshabiki wa Bashite mpaka umekuwa mjinga kama yy. Usichoelewa kitu gani hapa?
 
Hapa boeing wanasema wameshaziuza hizo teens zote tangu julai 2016.
hii ya Tanzania Ni toleo jipya

Boeing's most turbulent saga of the past decade is finally over
Tatizo ni hii lugha ya malkia.

"
But Boeing executives confirmed to Business Insider on Wednesday that all of "teens" have been sold and will be delivered over the next two years.

Boeing declined to reveal who picked up the last of them.
"

Hiyo sentensi inajibu mengi kuhusu wanaopiga makelele kuwa
1. kwa kuwa zitachukua miaka miwili basi sio terrible teen.
2. Zilishauzwa kwa kuwa boeing hadi hiyo siku habari inaandikqa hakukuwa na official confirmation nani mnunuzi.,which ofcourse came in december once talks were finalized and our mighty jpm kuingia mlango wa kutokea na kujizolea li-terrible teen moja matata
 
The Tomorrow People, nimeisoma kwa makini sana posting yako na ina ukweli kadhaa ndani yake. Hata hivyo kwa faida ya wasomaji na wachangiaji wenzetu ni vizuri nikaweka sawa baadhi ya mambo ili kuutenda haki mjadala huu. Maelezo na ufafanuzi wako wa maana ya serial number, line number, na hata terrible teen kama ulivyoyajengea kwa kutumia taarifa kutoka mitandao mbalimbali ni sahihi kabisa.

Tatizo langu, kwa kutumia elimu yangu ndogo katika mambo ya ndege, linakuja kwenye conclusion yako na kutumia hizo website kuthibitish hoja yako bila kujua au kusema nani wamilki wa hizo website. Kampuni ya Boeing ndio iliyoiuzia ndege Tanzania hivyo kwa hali ya kawaida lazima kungekuwa na uthibitisho wa ununuzi wa ndege hii kutoka kampuni hiyo. Uthibitisho wa Boeing unaoutumia katika posting yako ni wa bei ($224.6M) na siyo kuwa Tanzania imeuziwa mojawapo ya Terrible teens. Ni vizuri pia tukaelewa maana ya list prices ambayo ndio imeonyeshwa katika website ya Boeing ili kujua kuwa hii siyo bei waliyouziwa Tanzania. Uthibitisho uliotumia kuonyesha kuwa Tanzania imeuziwa mojawapo yaTerrible teens ni kutoka tovuti zifuatazo:

Boeing 787 Register - Welcome

Hii ni tovuti ambayo haimilikiwi wala kuwa na uhusiano wowote na kampuni ya Boeing. Kwa mtazamo wangu na jinsi nilivyoangalia habari zilizomo, sio rahisi kuzichukulia habari zao kwa uhakika hata wa asilimia moja. Hii ni website ya amatures hivyo kutumia habari zao kama uthibitisho wa Tanzania kununua mojawapo ya Terrible teens hazina mashiko. Uangalifu wa hali ya juu na kutafuta habari katika vyanzo vilivyo karibu au kutoka ndani ya Boeing yenyewe ni muhimu katika kuthibitisha jambo hili badala ya kuamini habari kutoka website au blog ya mtu mmoja tena amature. Sioni kwa nini Tanzania wangeamua kusubiri karibu miaka miwili kupata ndege hii wakati iko tayari ikisubiri mnunuzi. Muda mrefu kiasi hiki ni kwa ajiri ya kutengeneza ndege mpya. Kama ndege tayari ina serial number na line number, lazima ingekuw katika website ya Boeing au website za makampuni credible hasa yanayotoa habari za kibiashara. Ajabu sijaona reference ya website yoyote inayoaminika kimataifa kwa habari za kibiashara iliyobeba habari hii pamoja na kuwa na mvuto kutokana na hizo terrible teens. Kwa kifupi hii ni habari ya kutunga na ndio maana website zinazoaminika kimataifa haziwezi kuitumia habari hii kwa kujua kuwa ni uongo na uzushi kwa kuogopa matatizo ya kisheria.


www.airliners.net/forum/viewtopic.php?t=1335649
Websita hii haina sehemu yeyote inayosema Tanzania imenunua mojawapo ya Terrible teens kama inavyodaiwa kwenye website ya huyu jamaa hapo juu. Website hii ambayo ina forum kama ya jukwaa la siasa kwa maswala ya ndege inazungumzia kuwapo Terrible teens na kuishia hapo. Sasa sijui ni kwanini imetumika kama kithibitisho kuwa Tanzania imenunua mojawapo ya Terrible teens. Inajaribu kuelezea failure ya uongozi wa Boeing mwanzoni mwa projekti ya 787.

www.airportspotting.com/boeing-finding-homes-terrible-teen-787s/

Website hii inazungumzia habari ya Ethiopia kununua Terrible teens kwa matumizi yao na siyo Tanzania kununua mojawapo ya Terrible teens. Wanatoa pia historia ya manunuzi yanayotazamiwa. Inaonekana habari hii ni ya zamani kidogo. Haijatoa uthibitisho kuwa Tanzania imenunua mojawapo ya Terrible teens hivyo haina uhusiano na habari za Tanzania kununua mojawapo ya Terrible teens.

www.boeing.com/commercial/customers/air-tanzania/air-tanzania-787-order.page

Hii ni website rasmi ya Kampuni ya boeing na inatoa habari za tanzania kununua ndege ya Boeing 787-8 na kujiunga na familia ya Boeing. inathibitisha bei kuwa ni list price. Mara nyingi list price siyo lazima iwe ni contarct price (bei iliyoko kwenye mkata) baada ya punguzo. Bei hii ni kwa ndege mpya na siyo mojawapo ya Terrible Teens kama inavyokuwa speculated kwa kutumia habari za mtandao wa amature mmoja. huyu ni mtu ambaye alikuwa anatoa habari za formula one na kuamua kuiuza website hiyo na kuanzisha hii ya B787.

Ninahkika 100% kuwa Boeing hatajaribu kujiingiza katika aibu kama hii kwa kuiuzia Tanzania ndege ya Terrible Teens huku akijuwa kuwa makabidhiano ya ndege huhusisha uhakiki wa uzito. Sijui atahonga wangapi iliwakubali kuchukua ndege yenye uzito tofauti na ule Tanzania wanataka. Ninaona mambo mengi sana kwa kutumia ufahamu wangu mdogo wa mambo ya ndege yanayonifanya nisiamini hata chembe habari ya Tanzania kuingizwa mkenge. Rbu tufuatie na baadae mje mnisute kwa kusema uongo wakati mojawapo ya Terrible Teens itakapo kuja Tanzania. Nilisema wakati wa bombardier kuwa sio kweli kuwa zimetumika bali ni mpya. nikamaliza kwa kusema I stand to be hanged kama itathibitishwa kuwa nilichosema ni uongo. I stand to be hanged kama itathibitishwa kuwa Tanzania imenunua mojawapo ya terrible teens au ndege hiyo sio mpya au haijatengenezwa kwa order ya Tanzania.
NOD kwa jinsi ulivyotetea swala hili, inaelekea umehusika kwa njia moja au nyingine katika sakata hili .Mkuu kuna shida, na inaelekea mmepiga. Ngoja tusubiri tuone kama mtapona, lakini kwa jinsi mambo yalivyo kuna haja ya Bunge na CAG kuhusishwa ili mbivu na mbichi zifahamike . Kama tuhuma hizi ni kweli, dah,kweli Tanzania in shamba la bibi. Ingekuwa China watu wangekula shaba mkuu.
 
Back
Top Bottom