hivi huyu jamaa hajatoka tu...Maskini Deus Mallya hakimu alikataa faini ukaishia kuvaa jezi za jela
hivi huyu jamaa hajatoka tu...
Kesi ya Chenge ambaye aliuuwa wasichana wawili kwa kuwagonga na gari huku wao wakiwa kwenye bajaj usiku wa manane. Lakini ukweli ni kuwa mkewe Chenge alikuwa akimfuatilia mume waku usiku huo na chenge ambaye baada ya kustarehe na wasichana hao aliwashusha na kuwalipa wakachukua bajaj bila kujua mkewe alikuwa akimfuatilia kwa nyuma.
Baada ya bajaj kuondoka na wasichana wale mkewe aliifukuzia na kuwagonga kwa bahati mbaya ndipo mkulu Chenge akajivisha kesi hiyo na kumuambia mkewe aondoke fasta kwani alijua kwake yeye ingeishia kupewa kijifaini cha vijisenti laki 7.5 HII NDIO BONGO MWNAWANE>>>
Huyu ndio mke wa Chenge akikata vijisenti vya faini
henge mwenye siku ya hukumu yake akifurahia na kumuambia mkewe "Si nilikuambia sie ndio wenye nchi hii ngoma ungebaki nayo ingekula kwako..."
Bwana mdogo tuliza munkari wewe ni Chenge nini una uhakika na unachokinena?Kuna madereva wa mabasi wanuwa abiria wengi wengi tu karibu kila mwezi, hatujaona mkilalama na faini zao hazifiki hata hiyo aliyopigwa Chenge.
Hii ni traffic case na sio criminal case, kama mnaona sheria haikutenda haki, sasa watumeni wabunge wa Chadema wapeleke bungeni hoja binafsi za kuomba sheria za traffic kwa wana ccm ziwe tofauti na zilizopo kwa wote!
baba E kulikoni?
Kwa hiyo kimada official wa Chenge alikuwa anakimbiza wezi wake?? Ha ha ha ha ha!!! Hawa wazee vijana na viagra, mhhhhhhhhh. Kwa mauaji yale siku zake nazo zahesabika. Ni nani anamkumbuka marehemu Ditopile???
....umeona eeeeh? .....and
Jamani acheni Porojo. Kwa taarifa zenu mke wa Chenge alikuwa Dubai kwa ajili ya shopping ya duka lake. Ukweli ni kwmba Tina Chenge alirudi nchini kesho yake baada ya ajali. Uho ndio ukweli. Ila ni kweli ile ajali akufanya Chenge mwenyewe ila mtu mwingine (private life). Narudia mke wa Chenge alikuwa nje ya nchi wakati wa ajali. I am 100% sure of this.