Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Last edited by a moderator:
kwa hiyo ulitaka uwe first????????? mbona ntakoma

wala sikutaka niwe first, kwani first huwa inalazimishwa,mleta mada kasema tu kwamba kama ukipewa nafasi MOJA ya kuonana na mtu jf wew umepanga wako, kwa hiyo namba moja ndiyo mhusika halisi, then 2, na 3 ni reserve...nimeshajitathmini tayari..teh teh!
 
wala sikutaka niwe first, kwani first huwa inalazimishwa,mleta mada kasema tu kwamba kama ukipewa nafasi MOJA ya kuonana na mtu jf wew umepanga wako, kwa hiyo namba moja ndiyo mhusika halisi, then 2, na 3 ni reserve...nimeshajitathmini tayari..teh teh!

Ntafanya vice versa kipnz wewe utakua namba moja ila huku nimepanga tu sikudhamiria hivo unavomaanisha wewe n namba moja kwenye nafs yangu sawa ahhhahhha lol
 
Back
Top Bottom