suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
yaishe
Andika talaka kabisa ziwe sita badala ya tatu mume utadhani umepitia kwata hata kutabasam na mkeo??????? Nataka kurud kwetu hayaish kwa mtindo huu
yaishe
Andika talaka kabisa ziwe sita badala ya tatu mume utadhani umepitia kwata hata kutabasam na mkeo??????? Nataka kurud kwetu hayaish kwa mtindo huu
Andika talaka kabisa ziwe sita badala ya tatu mume utadhani umepitia kwata hata kutabasam na mkeo??????? Nataka kurud kwetu hayaish kwa mtindo huu
mke gani haishi kushobokea kila mwenye suruwali, hajatongozwa anajitongozesha?...kwendaaaaaa, hauna hata thamani ya karatasi na kalamu ya kuandikia talaka, achilia mbali muda wangu wa kuandika talaka! beba vyupi vyako utambaee!
mke gani haishi kushobokea kila mwenye suruwali, hajatongozwa anajitongozesha?...kwendaaaaaa, hauna hata thamani ya karatasi na kalamu ya kuandikia talaka, achilia mbali muda wangu wa kuandika talaka! beba vyupi vyako utambaee!
Owh nilikua nasubir kwa ham nafas hii
Owh nilikua nasubir kwa ham nafas hii
acha kuongeongea fanya fasta kuondoa ndala zako ndani kwangu kuna mtu anasubiri kuingia!
acha kuongeongea fanya fasta kuondoa ndala zako ndani kwangu kuna mtu anasubiri kuingia!
Ahhhhha sawa
Ahhhhha sawa
lol..halafu acha ujinga, unajua watu wanaangalia wanafikiri kweli tumegombana, wanaume wanachungulia fursa tu wanasubiri uwe single wajichomeke!
lol..halafu acha ujinga, unajua watu wanaangalia wanafikiri kweli tumegombana, wanaume wanachungulia fursa tu wanasubiri uwe single wajichomeke!
Ahhhhha ahhhhaa shaurilo
Ahhhhha ahhhhaa shaurilo
ngoja turudi kwenye "mahaba mode"
mkuu haka katoto kana njaa na wanaume sana...lol!
Ahaaahaaa mie na we tena kama pete na kidolengoja turudi kwenye "mahaba mode"
mkuu haka katoto kana njaa na wanaume sana...lol!
hahaha take care asikuponyoke
hana pa kwenda huyo hapa amefika, kama ni kiatu nilishakipanua hakunamtu wa kukivaa kishazidi size zote...lol!
Ahhhhha na kama limembwata limempata mhusika mazimaaaa ila hapo kupanua kiatu naona bado size iko vile vile
Umeanza
uhuuuu, unafkir wewe utajua kama kiatu kishapanuka?...anajua mvaaji, mwanzo kilikuwa kinanibana sana naona sasa hivi kimeachia naweza kutembea hata mile mia!