UKUTA yazidi kupata wafuasi

UKUTA yazidi kupata wafuasi

Hakuna operation ya CHADEMA ilianzishwa ikafanikiwa Operation sangara ilifeli, M4C ilifeli, Safari ya matumaini iliishia Monduli , kuzuiya mkutano wa CCM Dodoma ikafeli, Mafuriko ya Lowasa yalifeli. Hii nayo msitegemee kufanikiwa kwani CCM ilishinda kwa kishindo CCM majimbo 190, UKAWA (UKUTA) majimbo 36 , Democrasia ya kweli Chama kilichoshinda ndo kinafanya maamuzi ya shughuli za serikali kwahiyo msituletee vurugu za uchu wa madaraka na hamkubali kushindwa
...ngoma ya watoto haikeshi,...
 
Democrasia ya kweli aliyeshinda ndo anaongoza na kufanya maamuzi sasa nyie hamkubali kushindwa dawa yenu ni virungu na mabomu ya machozi. CCM majimbo 190, UUKAWA (UKUTA) 36, sasa mnatuletea vurugu hapa, mfano mikoa ambayo UKAWA hawakushinda hata jimbo moja Dodoma, Iringa, Njombe, Rukwa, Katavi, Geita, Shinyanga, Mwanza, Pwani,Zanzibar, Pemba, Simiyu, Tabora, Tanga,na Kagera . Mikoa hii hamna hata mbunge mmoja halafu mnatuletea vurugu hapa '' Non sense''
Toka lini msigwa akawa mbunge wa ccm?
 
1471286886266.jpg
 
Hawana kazi nyingine ni huo mkesha utakuwa wa kunywa viroba vya bure na kuporomosha matusi kwa watanzania waliojipumzikia majumbani.

Mkuu karibu vya bure. Akheri kiroba kitakuliwaza kuliko flana na picha ya mwanamume mwenzio. Hivi huwa mnajisikiaje mnapo mpromoti mwanamume mwenzenu? Acha niwahi kiroba tu
 
Mara hii [Chadema] wamepata uungwaji mkono kutoka kwa taasisi za kidini ambazo nazo kwa pamoja watato tamko lao siku ya ijumaa wiki hii
.
Kama ni zile taasisi za kidini ambazo maaskofu wake wamebaka mabinti, kuzalisha watoto wa mitaani, kuwatelekeza, kisha kwa kushirikiana na kina Kubeneya wakawateka, wakawaweka kizuizini kwa siku saba, then at gun point wakawalazimisha kusaini nyaraka zinazosema kwamba, maaskofu hao hawahusiki katika ufyatuaji wa watoto wa mitaani wale, basi, wasithubutu kutoa tamko. Hawana moral authority, na Mungu hapendi. Nawaasa Maaskofu wangu wasije kubali kuburuzwa tena kupitia jukwaa la wakristo. (Sakata hili linafahamika kwa DiPiPi fulani japo, kwa sababu ambazo hazifahamiki, hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi ya maaskofu hao kwa mujibu wa sheria zinazokataza kidnapping).
 
Ntaendelea kuwapa mikakati zaidi kuhusu ukuta. Wasanii watakuwepo kutumbuiza kwanyimbo mbali mbali za amass kwenye mikesha hiyo inayaoendelea kuratibiwa nchi nzima
Wasanii gani watakaokubali kupigwa virungu na mabomu?
 
.
Kama ni zile taasisi za kidini ambazo maaskofu wake wamebaka mabinti, kuzalisha watoto wa mitaani, kuwatelekeza, kisha kwa kushirikiana na kina Kubeneya wakawateka, wakawaweka kizuizini kwa siku saba, then at gun point wakawalazimisha kusaini nyaraka zinazosema kwamba, maaskofu hao hawahusiki katika ufyatuaji wa watoto wa mitaani wale, basi, wasithubutu kutoa tamko. Hawana moral authority, na Mungu hapendi. Nawaasa Maaskofu wangu wasije kubali kuburuzwa tena kupitia jukwaa la wakristo. (Sakata hili linafahamika kwa DiPiPi fulani japo, kwa sababu ambazo hazifahamiki, hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi ya maaskofu hao kwa mujibu wa sheria zinazokataza kidnapping).
Wewe UVCCM kashughulikie kwanza ufisadi wa mali za jumuiya yako ndio uje hapa.
 
Mtu ukikesha unafanya kazi usiku? Poli Magufuli wasilete fujo. Shida ikitokea wakafa vijana wetu tutawalaumu polisi tu siyo wengine. Kwani UKUTA ni maandamano ya amani. Nia ni kutoa ishara kwamba katiba ya Tazania iheshimiwe na kila moja hata Rais wetu aheshimu katiba ambayo iko juu yetu
 
Ukuta utamfundisha magu nini tofaut ya kuwa raisi na waziri. Atanyooka tuu akipoteza muda na ukuta asifanye maendeleo tuna mrudia kwenye ahadi zake. akijipindua tunaibuka na lingine mpka ajue kuongea kama msomi na raisi wa inchi.
 
Back
Top Bottom