Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,273
hapa nipo tomaso mwingineWe ni kama tomaso
hapa nipo tomaso mwingineWe ni kama tomaso
"bob"=?Mnazidi kumchosha bob mjue...jeshi la mtu mmoja
sawa,mbona sasa una wasiwasi na una nyapanyapa?Hakuna operation ya CHADEMA ilianzishwa ikafanikiwa Operation sangara ilifeli, M4C ilifeli, Safari ya matumaini iliishia Monduli , kuzuiya mkutano wa CCM Dodoma ikafeli, Mafuriko ya Lowasa yalifeli. Hii nayo msitegemee kufanikiwa kwani CCM ilishinda kwa kishindo CCM majimbo 190, UKAWA (UKUTA) majimbo 36 , Democrasia ya kweli Chama kilichoshinda ndo kinafanya maamuzi ya shughuli za serikali kwahiyo msituletee vurugu za uchu wa madaraka na hamkubali kushindwa
Kyela ratiba nilishaweka humu kitambo .Uku Meatu Tutakuwa Pale Mwanhuzi Stand!halafu Iramba Tutakuwa Stand ya Bomani!
Usipo Ziba Ufa Utajenga Ukuta!
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .duh. chadema msirudi nyuma. vyama vyote vina haki ya kufanya mikutano na maandamano....