ha ha mnaobisha hata sita hamfiki ukuta ni wananchi na wananchi ndio wanakataa udikteta na kupora mamalaka ya vyombo vya kubalance mambo mahakama na bunge anagalia nchi inavyoyumba imefikia hadi mkuu wa mkoa makonda anabishana na raisi hadharani kuhusu machinga hayo ndio lazima yakataliweHei meen, JF sio Tanzania. Wachache tu hamfiki hata 10 mnaoshabikia ukuta humu.
In fact unaposema Raisi hayupo juu ya katiba uko sawa llakini katiba hiyohiyo imemkumbatia vilivyo ikisema mwanangu piga kazi, wakisema umekosea mie katiba nasema haruhusiwi kushitakiwa kwa jambo alilotenda akiwa raisi. Kwa hiyo mtapigwa tu wala hamna namna nyingine na ndo mtajua kuwa katiba inamlinda raisi. Makamanda wako vizuri, kuhakikisha ukuta hausimami mtaishia kukusanya matofali lakini subutu hamna ukuta. Mlivyokuwa waovyo mnataja maandalizi mwanza, mbeya, dsm mbona hamsemi Moshi. Mnaju mkija huku tutawatoa nduki hamna la maana zaidi ya kutufanya mazuzu. Nendeni huko kwa wanyakyusa na wasukuma wasioreason out
hata Magufuli anajuwa kitengo ndio walimuweka anakimbia ikulu ya Dar maluweluwe haamini yupo pale kwa kura za mtu mwingine bora akawe DodomaMwanza ?cdhani awa watu walideki balabala Jamaa apite kwenye kula wakamkausha labda watakuja mkianza kuezeka (opalesheni mabati)
usitetemeke tunataka kuset records kwamba none of of you is above the constitution, if you don't believe just wait and see ,vile tunavyoowapoozea munadhani hatuwezi this time lazima mushikishwe adabu
Chadema msijaribu kubadili utaratibu huu. Mkesha ndo mpango
Ngoja niwahi tenda ya kusupply vibakuli vya kunywea supu..Atajuta kuwachezea Chadema! Mbinu mwanzo mwisho. Mimi nawskarobisha kwenye mkesha huko Makete. Tutachinja mbuzi 20 na Ng'ombe wawili kwaajili ya supu na nyama choma.Kikicha wakute Barbara zote tumejaaa.
baada ya tarehe moja itakuwa hiviHuku wananchi wengi wakizidi kusubiri kwa hamu operation UKUTA inayotarajiwa kuanza tarehe 1/9 chama cha demokrasia na maendeleo kupitia kwa kiongozi wa kamati ndogo ya ukuta prof baregu wameonyesha mafanikio makubwa
Mara hii wamepata uungwaji mkono kutoka kwa taasisi za kidini ambazo nazo kwa pamoja watato tamko lao siku ya ijumaa wiki hii
Wakati huo huo CHADEMA wametangaza mkesha Mkubwa na bendelea kupepea dar es salaam nzima siku ya tarehe 31.8.2016 mkesha utakuwa kwenye viwanja vitatu Jangwani , Mwembeyanga na Tanganyika Pekazi. Huku mikoa ya Mwanza, musoma, arusha, mbeya na morogoro wakiendelea kupanga mikakati mkesha
//wana Dar es salaam karibu kwenye mkesha Mkubwa wa UKUTA
cheki sasa mawazo yako ndugu mtanzania daaaaaah wala huwazi viwanda, kujenga vyumba vya madarasa madawati unawaza biashara ya mbowe na kundi lakeNadhani hii message unampelekea Magufuli mwenyekiti wa CCM anayetamba na chama chake vingine akitaka viufyate kama hajasoma ya nchi hizo mwambie aongoze nchi kwa demokrasia ,angejuwa kuwa hayupo juu ya katiba angejifunza kwamba sasa tunachojadiliana ni ukuta na sio kuhamia Dodoma wala si viwanda wala sio madawati shuleni so you should think twice
Hawa jamaa bado hawapata mkong'oto wa kutosha kama wa mbeya sasa ngoja wachokoze nadhani mbowe tundu lisu na mbatia watapata stahili yao. SasaHakuna operation ya CHADEMA ilianzishwa ikafanikiwa Operation sangara ilifeli, M4C ilifeli, Safari ya matumaini iliishia Monduli , kuzuiya mkutano wa CCM Dodoma ikafeli, Mafuriko ya Lowasa yalifeli. Hii nayo msitegemee kufanikiwa kwani CCM ilishinda kwa kishindo CCM majimbo 190, UKAWA (UKUTA) majimbo 36 , Democrasia ya kweli Chama kilichoshinda ndo kinafanya maamuzi ya shughuli za serikali kwahiyo msituletee vurugu za uchu wa madaraka na hamkubali kushindwa
Mkesha wa kushikishana UKUTA duhHawana kazi nyingine ni huo mkesha utakuwa wa kunywa viroba vya bure na kuporomosha matusi kwa watanzania waliojipumzikia majumbani.
Huku wananchi wengi wakizidi kusubiri kwa hamu operation UKUTA inayotarajiwa kuanza tarehe 1/9 chama cha demokrasia na maendeleo kupitia kwa kiongozi wa kamati ndogo ya ukuta prof baregu wameonyesha mafanikio makubwa
Mara hii wamepata uungwaji mkono kutoka kwa taasisi za kidini ambazo nazo kwa pamoja watato tamko lao siku ya ijumaa wiki hii
Wakati huo huo CHADEMA wametangaza mkesha Mkubwa na bendelea kupepea dar es salaam nzima siku ya tarehe 31.8.2016 mkesha utakuwa kwenye viwanja vitatu Jangwani , Mwembeyanga na Tanganyika Pekazi. Huku mikoa ya Mwanza, musoma, arusha, mbeya na morogoro wakiendelea kupanga mikakati mkesha
//wana Dar es salaam karibu kwenye mkesha Mkubwa wa UKUTA