Ni rahisi sana kwa mtu kama wewe kujilipua kwa bomusawa hatuna familia tuna kuku na bata tu.
okey poa.Ni rahisi sana kwa mtu kama wewe kujilipua kwa bomu
Nyie mliizaliwa Jana ndio mnakubali kila anacho waambia huyo dictator wenu.ukawa tunajua mbinu za medani usipime! Subiri tarehe 1 septemberwe mi sijui kuwa hta filimbi ya mgambo unaweza kuihimili mkisema ukuta maanisheni mana si kitu rahis sana
Kwa akili yako watakao pigwa wataangalia tu Polisi wanatamba, hivi kwani wapo wangapi hadi wazidi nguvu ummaWatanzania wameiga tabia ya waingereza ya mbwembwe na maneno mengi,hebu tumuone shujaa wa kweli siku hiyo.Ni kipigo tu,msione serikali imekaa kimya,inaandaa mahabusu,FFU,rungu,mabomu ya machozi ya kutosha,nyie jitokeze sikuoni hiyo mpewe kipigo cha kutosha.TZ ni nchi ya Amani,ila Kwa upumbavu wenu ni Sawa kutenguliwa miguu ili mpate akili,sio mnashinda kwenye mitandao mnadanganyana tu.Mkishatiwa adabu mrudi mtupe taarifa ya maafa yaliyowakuta.
utajuta kuzaliwa ni siku itakayoweka recodi kwa madikteta uchwara wote dunianiTarehe zinavyoyoma naisubiria kwa hamu tarehe 1 kama ambavyo nilivyoisubiria tarehe 23/7/2016
Nadhani hii message unampelekea Magufuli mwenyekiti wa CCM anayetamba na chama chake vingine akitaka viufyate kama hajasoma ya nchi hizo mwambie aongoze nchi kwa demokrasia ,angejuwa kuwa hayupo juu ya katiba angejifunza kwamba sasa tunachojadiliana ni ukuta na sio kuhamia Dodoma wala si viwanda wala sio madawati shuleni so you should think twiceHuwa ni kwa interests za wachache sana
Kabla haujashabikia jambo lolote linalohusu uvunjifu wa amani wacheki jirani zako na maisha wanayoishi
Rwanda Burundi DRC Angalia pia historia zao
Angalia documentaries mbali mbali zinazohusu maeneo hayo
NI KWA FAIDA YA WACHACHE
NA WENGİNE Nİ NJİA YA KUTOA KAFARA SASA
utajuta kuzaliwa ni siku itakayoweka recodi kwa madikteta uchwara wote duniani