Ngoj nikujibu wewe kaka( Kilaza)sorry.I'm using this word coz it is official. Ni kwamba Ile ilielekezwa Dom..Rahisi Watu police Jeshi kwenda kama ulivyoona mikwara miiingiiiiii.But hii ni kote.Mtaa wa pili Sasa hawajui Police watumwe Tanga..Mbeya Arusha mwanza au Kagera. Kumbuka wananchi Ni wengi Na hawana silaha.Sasa kama itaamuliwa atakayeingia Road Ni kumlaza chini.Itajulikana Siku iyo.UKUTA for life !!!!mmmh nikkumbuka mlivyoapa kuzuia mkutano wa ccm, mkasajili na vijana 5000, ila ilipofika tarehe 23 /7 hakuonekana yoyote!! TUNACHOSHANA NA NGONJERA ZENU
Shika Nyumba yako utajua!Mimi bado siamini kama UKUTA upo
Professor Baregu alikuwa na kikundi cha Maaskofu wakati wa bunge la katiba Dr Slaa baadaye akawataja kwa majina walikuwa wanafadhiliwa mashangingi na logistical support na swahiba wa mgonbea. Ni hawa kawapata tena? Watakuwa wamefanya kosa kubwa sana, mtu wa Mungu hahamasishi damu kumwagika.Huku wananchi wengi wakizidi kusubiri kwa hamu operation UKUTA inayotarajiwa kuanza tarehe 1/9 chama cha demokrasia na maendeleo kupitia kwa kiongozi wa kamati ndogo ya ukuta prof baregu wameonyesha mafanikio makubwa
Mara hii wamepata uungwaji mkono kutoka kwa taasisi za kidini ambazo nazo kwa pamoja watato tamko lao siku ya ijumaa wiki hii
Wakati huo huo CHADEMA wametangaza mkesha Mkubwa na bendelea kupepea dar es salaam nzima siku ya tarehe 31.8.2016 mkesha utakuwa kwenye viwanja vitatu Jangwani , Mwembeyanga na Tanganyika Pekazi. Huku mikoa ya Mwanza, musoma, arusha, mbeya na morogoro wakiendelea kupanga mikakati mkesha
//wana Dar es salaam karibu kwenye mkesha Mkubwa wa UKUTA
U K U T A unawakosesha usingizi watu wa upande wa pili
HIVI MAKAO MAKUU YA F F U YA TANZANIA YAPO WAPI? NA MKUU WA F F U NI NANI ?mmmh nikkumbuka mlivyoapa kuzuia mkutano wa ccm, mkasajili na vijana 5000, ila ilipofika tarehe 23 /7 hakuonekana yoyote!! TUNACHOSHANA NA NGONJERA ZENU
HIVI MAKAO MAKUU YA F F U YA TANZANIA YAPO WAPI? NA MKUU WA F F U NI NANI ?mmmh nikkumbuka mlivyoapa kuzuia mkutano wa ccm, mkasajili na vijana 5000, ila ilipofika tarehe 23 /7 hakuonekana yoyote!! TUNACHOSHANA NA NGONJERA ZENU
Mbona Kilimanjaro haipo ktk Mkesha?Huku wananchi wengi wakizidi kusubiri kwa hamu operation UKUTA inayotarajiwa kuanza tarehe 1/9 chama cha demokrasia na maendeleo kupitia kwa kiongozi wa kamati ndogo ya ukuta prof baregu wameonyesha mafanikio makubwa
Mara hii wamepata uungwaji mkono kutoka kwa taasisi za kidini ambazo nazo kwa pamoja watato tamko lao siku ya ijumaa wiki hii
Wakati huo huo CHADEMA wametangaza mkesha Mkubwa na bendelea kupepea dar es salaam nzima siku ya tarehe 31.8.2016 mkesha utakuwa kwenye viwanja vitatu Jangwani , Mwembeyanga na Tanganyika Pekazi. Huku mikoa ya Mwanza, musoma, arusha, mbeya na morogoro wakiendelea kupanga mikakati mkesha
//wana Dar es salaam karibu kwenye mkesha Mkubwa wa UKUTA