Aisee Hata mimi siamini..maana magamba yatatumia jeshi la policcm, jeshi la wananchi na si silaha za kivita...Kisa maandamano na mikutano..that's stupidMimi bado siamini kama UKUTA upo
Aisee Hata mimi siamini..maana magamba yatatumia jeshi la policcm, jeshi la wananchi na si silaha za kivita...Kisa maandamano na mikutano..that's stupidMimi bado siamini kama UKUTA upo
IHawana kazi nyingine ni huo mkesha utakuwa wa kunywa viroba vya bure na kuporomosha matusi kwa watanzania waliojipumzikia majumbani.
Mkuu mimi bado siamini kama UKUTA upomambo yameiva.
swissme
pita hivi!kama unajua ni porojo nyenyenye za nini?Hakuna mkesha zote potojo na kumaliza MB tu,Sasa ukuta linafutika linaanza kusikika MKESHA lohhbbb
Mimi bado siamini kama UKUTA upo
we kweli hamnazo:Democrasia ya kweli aliyeshinda ndo anaongoza na kufanya maamuzi sasa nyie hamkubali kushindwa dawa yenu ni virungu na mabomu ya machozi. CCM majimbo 190, UUKAWA (UKUTA) 36, sasa mnatuletea vurugu hapa, mfano mikoa ambayo UKAWA hawakushinda hata jimbo moja Dodoma, Iringa, Njombe, Rukwa, Katavi, Geita, Shinyanga, Mwanza, Pwani,Zanzibar, Pemba, Simiyu, Tabora, Tanga,na Kagera . Mikoa hii hamna hata mbunge mmoja halafu mnatuletea vurugu hapa '' Non sense''
Mshana na wewe unaamini hizi ngonjera!Dreams can come true...! Make it happen
Wewe muongo sana Jaribu kufanya research ndio uje na matangazo kuhusu ushindi ulioutaja hapo.we kweli hamnazo:
a)iringa=jimbo moja(iringa mjini kwa Msigwa)
b)tabora=kaliua(cuf)
c)tanga=tanga mjini(cuf)
d)mwanza=ukerewe(cdm)
e)kagera=bukoba manispaa(cdm)!
Na hapo ni baada ya figisufigisu za n.e.c na polisi!
Mshana Bob ni nani? Robert? Mimi nashauri wasitishe, nadhani JPM anabadilika with time! Yatatokea maafa makubwa ! Ya Mwangosi nayaogopa sana, halafu Mtukufu Judge anasema kuua bila kukusidia wakati mtu amemlenga kabisa bila aibu. Mtu amezingirwa na maofisa wake wakubwa alikuwa analenga nini kama siyo dhamira ya kuua! Mtukufu Judge, wacha tuseme, maamuzi yako yana mashaka! Sidhani kama ni misdirection! Mbowe sitisha, let us have time for discussion!Mnazidi kumchosha bob mjue...jeshi la mtu mmoja
mmmh nikkumbuka mlivyoapa kuzuia mkutano wa ccm, mkasajili na vijana 5000, ila ilipofika tarehe 23 /7 hakuonekana yoyote!! TUNACHOSHANA NA NGONJERA ZENU
Watu wanaopanga sana si watendaji, waoga, hapatakuwa na ukuta wala wall!!!!! Hi Ni Kama magomvi ya watoto, vua Viatu uone, a uanze Nipige Ngumi uone? Hakuna lolote.
Malengo yapi, toka awepo pale lipi ambazo limetekelezeka zaidi ya madawati. Sukari bure, fyetulisheni watoto serikali yangu itawasomesha bure. Chakul nani atawapa wakati yeye kasema serikali halimi?mkakati wa cdm ni kumyumbisha jpm kufikia malengo yake mema kwa taifa. majipu kwa sasa yanatake cover nyuma ya chadema kama ngao kwa kudhani tumbuatumbua itakwama au kuslow down.