UKUTA wakosa waandamanaji

UKUTA wakosa waandamanaji

UKUTA ndio habari ya nchi, vyombo vya habari haviwezi kuacha kuandika habari zake.
 
We mwenyewe hapo mbna hukureport habari nyingine.. ? mbna umeripot UKUTA.. si unajua utapata likes na comments za kutosha
 
Kwa Takribani Mwezi Sasa Taifa letu la Tanzania hasa kwa Watanzania Wapenda Amani Kumekuwa na taharuki kubwa, kufuatia Maazimio ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutangaza Mpango wao walioubatiza jina UKUTA ukiwa na Maaana Ya Umoja Wa Kupinga Udikteta Tanzania.

Watanzania Wapenda Amani wamekuwa wakijiuliza ni nini hasa hatma na lengo la Maandamano hayo na umoja huo kwa Ujumla. Tukirejea katika Msingi wa hoja ya Chadema ya kuwa kuna Ukiukwaji Mkubwa wa Katiba na hata kufikia pahala kusema nchi hii inaongozwa Kidikteta, hoja hii inaweza kuwa na Mashiko lakini swali la Msingi ni je wanatumia mbinu sahihi kukipata kile wanachokitetea??

Nadhani Katiba yetu ya Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania imeainisha Vizuri ni kipi kifanyike Endapo Kutatokea Ukiukwaji wa Katiba. Lakini binafsi na naamini pia baadhi ya Watanzania Wenzetu Wanaamini kuwa CDM kwa makusudi kabisa au wakiwa na agenda yao binafsi wameamua kukiuka ngazi za kisheria ambazo zinawajibu wa kufafanua na kuelezea huo Ukiukwaji wa Katiba na Udikteta wanaousema. Katiba yetu imefafania Vizuri kabisa Juu ya Wajibu wa Mahakama kisheria Kutoa Muongozo Pindi ambapo kunakuwa na dalili au hoja zozote za Ukiukwaji wa Katiba ya nchi Yetu. Lakini Swali la Msingi ni Kwanini CHADEMA na Wana UKUTA hawajaamua kuchukua njia stahiki ya kudai haki yao ya Kikatiba kwa Mamlaka Husika na badala yake Kuamua Kuandamana kama njia ya Kudai haki yao ya Kikatiba?? Je huku sio kuikanyaga Katiba ambayo wao pia wanalalamika kuwa inakanyagwa??!

Mi nafikiri Hawa ndugu Zetu wana Agenda ya Siri zaidi ya hiki wanachotuaminisha Watanzania, na nadhani tuna kila sababau ya Kujiuliza ni nini hasa "LENGO LA CHADEMA NA WANA UKUTA KUELEKEA SEPTEMBER 1?!!!"
 
Kwa Takribani Mwezi Sasa Taifa letu la Tanzania hasa kwa Watanzania Wapenda Amani Kumekuwa na taharuki kubwa, kufuatia Maazimio ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutangaza Mpango wao walioubatiza jina UKUTA ukiwa na Maaana Ya Umoja Wa Kupinga Udikteta Tanzania.

Watanzania Wapenda Amani wamekuwa wakijiuliza ni nini hasa hatma na lengo la Maandamano hayo na umoja huo kwa Ujumla. Tukirejea katika Msingi wa hoja ya Chadema ya kuwa kuna Ukiukwaji Mkubwa wa Katiba na hata kufikia pahala kusema nchi hii inaongozwa Kidikteta, hoja hii inaweza kuwa na Mashiko lakini swali la Msingi ni je wanatumia mbinu sahihi kukipata kile wanachokitetea??

Nadhani Katiba yetu ya Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania imeainisha Vizuri ni kipi kifanyike Endapo Kutatokea Ukiukwaji wa Katiba. Lakini binafsi na naamini pia baadhi ya Watanzania Wenzetu Wanaamini kuwa CDM kwa makusudi kabisa au wakiwa na agenda yao binafsi wameamua kukiuka ngazi za kisheria ambazo zinawajibu wa kufafanua na kuelezea huo Ukiukwaji wa Katiba na Udikteta wanaousema. Katiba yetu imefafania Vizuri kabisa Juu ya Wajibu wa Mahakama kisheria Kutoa Muongozo Pindi ambapo kunakuwa na dalili au hoja zozote za Ukiukwaji wa Katiba ya nchi Yetu. Lakini Swali la Msingi ni Kwanini CHADEMA na Wana UKUTA hawajaamua kuchukua njia stahiki ya kudai haki yao ya Kikatiba kwa Mamlaka Husika na badala yake Kuamua Kuandamana kama njia ya Kudai haki yao ya Kikatiba?? Je huku sio kuikanyaga Katiba ambayo wao pia wanalalamika kuwa inakanyagwa??!

Mi nafikiri Hawa ndugu Zetu wana Agenda ya Siri zaidi ya hiki wanachotuaminisha Watanzania, na nadhani tuna kila sababau ya Kujiuliza ni nini hasa "LENGO LA CHADEMA NA WANA UKUTA KUELEKEA SEPTEMBER 1?!!!"
Sawa hamna shida umesikika..

Tukutane sept 1
 
Kwa Takribani Mwezi Sasa Taifa letu la Tanzania hasa kwa Watanzania Wapenda Amani Kumekuwa na taharuki kubwa, kufuatia Maazimio ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutangaza Mpango wao walioubatiza jina UKUTA ukiwa na Maaana Ya Umoja Wa Kupinga Udikteta Tanzania.

Watanzania Wapenda Amani wamekuwa wakijiuliza ni nini hasa hatma na lengo la Maandamano hayo na umoja huo kwa Ujumla. Tukirejea katika Msingi wa hoja ya Chadema ya kuwa kuna Ukiukwaji Mkubwa wa Katiba na hata kufikia pahala kusema nchi hii inaongozwa Kidikteta, hoja hii inaweza kuwa na Mashiko lakini swali la Msingi ni je wanatumia mbinu sahihi kukipata kile wanachokitetea??

Nadhani Katiba yetu ya Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania imeainisha Vizuri ni kipi kifanyike Endapo Kutatokea Ukiukwaji wa Katiba. Lakini binafsi na naamini pia baadhi ya Watanzania Wenzetu Wanaamini kuwa CDM kwa makusudi kabisa au wakiwa na agenda yao binafsi wameamua kukiuka ngazi za kisheria ambazo zinawajibu wa kufafanua na kuelezea huo Ukiukwaji wa Katiba na Udikteta wanaousema. Katiba yetu imefafania Vizuri kabisa Juu ya Wajibu wa Mahakama kisheria Kutoa Muongozo Pindi ambapo kunakuwa na dalili au hoja zozote za Ukiukwaji wa Katiba ya nchi Yetu. Lakini Swali la Msingi ni Kwanini CHADEMA na Wana UKUTA hawajaamua kuchukua njia stahiki ya kudai haki yao ya Kikatiba kwa Mamlaka Husika na badala yake Kuamua Kuandamana kama njia ya Kudai haki yao ya Kikatiba?? Je huku sio kuikanyaga Katiba ambayo wao pia wanalalamika kuwa inakanyagwa??!

Mi nafikiri Hawa ndugu Zetu wana Agenda ya Siri zaidi ya hiki wanachotuaminisha Watanzania, na nadhani tuna kila sababau ya Kujiuliza ni nini hasa "LENGO LA CHADEMA NA WANA UKUTA KUELEKEA SEPTEMBER 1?!!!"
ukuta
 
Na wale wasanii wenu uchwara waliokuwa wanatoa povu wametumwa na nani? Ninyi wenyewe mafisi emu na vyombo vyenu vya dola ndiyo mnaitangaza saaana ukuta, hata gari za polisi zimeweka chata la UKUTA.
 
We mwenyewe hapo mbna hukureport habari nyingine.. ? mbna umeripot UKUTA.. si unajua utapata likes na comments za kutosha


Nyani haoni kundule lake. Ananyooshea kidole vyombo vya habari uku yeye mwenyewe ni mfia ukuta.

Nimeshachukua t shirt yangu nasubiria taree 1/9
 
Hapo ulipo umekaa unawaza UKUTA tu na MaCCM wenzio...
kp.jpg
 
Uhalisia wa hili jambo ni kua, vyombo vya Habari ndivyo vinavyolikuza.

Ukipita mitaani UKUTA inazungumzika kama habari nyingine zinazosikika na kujadiliwa kwa wingi, ila sio kama jambo ambalo litatendeka katika uhalisia.

Napata fikra labda kuna faida medias zinapata ukilinganisha na madhara ambayo yatatokea endapo jambo husika litafanyika.

Kwa muda sasa wanaghabari wetu wamekua wakipenda kutoa habari zinazovutia masikio na sio habari chanya.

Tabia hii haina madhara ya kuonekana kwa haraka moja kwa moja lakini yapo madhara makubwa sana ya muda mrefu kama haitaachwa.

Ni ombi langu kwa vyombo vya habari kujitahidi kutuletea habari zenye lengo la kujenga umoja na kulinda usalama wa nchi ili kuharakisha maendeleo yetu badala ya kuwa mashabiki wa habari zenye kuvutia kwa muda mfupi.
wale polisi wanaopita mitaani na washawasha hawaikuzi?
 
Uhalisia wa hili jambo ni kua, vyombo vya Habari ndivyo vinavyolikuza.

Ukipita mitaani UKUTA inazungumzika kama habari nyingine zinazosikika na kujadiliwa kwa wingi, ila sio kama jambo ambalo litatendeka katika uhalisia.

Napata fikra labda kuna faida medias zinapata ukilinganisha na madhara ambayo yatatokea endapo jambo husika litafanyika.

Kwa muda sasa wanaghabari wetu wamekua wakipenda kutoa habari zinazovutia masikio na sio habari chanya.

Tabia hii haina madhara ya kuonekana kwa haraka moja kwa moja lakini yapo madhara makubwa sana ya muda mrefu kama haitaachwa.

Ni ombi langu kwa vyombo vya habari kujitahidi kutuletea habari zenye lengo la kujenga umoja na kulinda usalama wa nchi ili kuharakisha maendeleo yetu badala ya kuwa mashabiki wa habari zenye kuvutia kwa muda mfupi.
hata wewe kwa unachokifanya unaikuza.
 
miaka hii mitano itakuwa ya kusikia na kuona mambo mengi ya ajabu badala ya yale tuliyohaidiwa
 
..................................................................................................................................
Mie nimefanya minor survey katika vikundi vya vijana ambapo ni ngome za UKAWA kwa kila palipo na vijana 10 saba mpaka 8 wanasema hawataandamana siku hiyo kwa kuogopa nguvu na mkono wa jeshi la police......................................

....na kwa akili yako hiyo "kubwa" ulitegemea hata kama wataandamana watakwambia wewe??

suluhu ndiyo njia pekee. tuwaachie viongozi wa dini zetu waliochukua initiative ya kukutana na pande zinazosigana. hiyo ndiyo hekima lakini kuendelea kuweka matumaini hasi au chanya kuwa watu hawataandama ama la ni kucheza kamari ya mlingotini.
 
stock-photo-destruction-of-brick-wall-118290169.jpg

Sasa ni dhahiri, CHADEMA fahamu zimeanza kuwarudi.

UKUTA si utabomolewa, bali utalipuliwa kwa gharama yoyote ile.

Ukimya wa Rsis Magufuli katika suala la maandamano ya tarehe moja umeanza kuwatia kiwewe CHADEMA.

Rais alishatoa tamko la kuzuia hayo maandamano na kuonya vikali juu ya kupoteza muda kwa mambo yasiyo ya msingi kwa maendeleo ya Watanzania.

Viongozi wa CDM wakaishia kusema maandamano yako pale pale, na wengine kama Lissu kumtukana Rais.

CHADEMA wametaka kukaribishwa Ikulu kwa maongezi, hawajafanikiwa.
Wameomba kupatanishwa kupitia Msajili wa vyama, kimya.

Kuna miaka ya nyuma ati serikali ilibezwa kuwa ni dhaifu, sasa upele umepata mkunaji.
Sasa wenzi wa CDM, UKAWA wanasema wameombwa na wana Dini kurudi bungeni, kimya.

Wakati huo huo jaramba za vyombo vya usalama wakijifua kwa tar1 ziko wazi kila mtu kuziona.
Mbowe amesimuliwa kuwa yupo katika mikakati ya "kualikwa " huko ulaya ili asiwepo nchini tar 1.
Kwa mtaji huu wa matukio sioni jinsi UKUTA kubaki salama,kama hawazioni alama za nyakati.
UKUTA, hautabomolewa kwa kubembelezana, utalipuliwa!
 
Back
Top Bottom