UKUTA wakosa waandamanaji

UKUTA wakosa waandamanaji

Mtaani kiukweli hamna kabisa hii kitu, nawaonea huruma aibu watakayopata viongozi wa chadema ma hao watu 80,000 walioamdamana nchi nzima.
 
Viongozi wa dini wamewaonya viongozi wa CHADEMA juu ya UKUTA

Wasanii nao wamesema No to UKUTA.

Machinga waliokuwa wanawatumia nao wamegeuza kisogo hasa baada ya Rais Magufuli kuonekana kuwajali

Bodaboda nao hawapo tayari kuiingiza kwenye UKUTA hasa baada ya baadhi yao kutumia bodaboda kufanya uhalifu.

Wabunge wa UKAWA nao wameapa kutoshiriki kwenye UKUTA na kwamba wapo tayari kurudi Bungeni

Vyama washirika wa UKAWA na ACT nao wamesema hawatashiriki UKAWA.

Ni wapi hasa CHADEMA wamekosea? Hii ni Opersheni ambayo imeshindwa kabla hata haijaanza kutekelezwa.
Ukuta imebaki JamiiForums tu
 
Viongozi wa dini wamewaonya viongozi wa CHADEMA juu ya UKUTA

Wasanii nao wamesema No to UKUTA.

Machinga waliokuwa wanawatumia nao wamegeuza kisogo hasa baada ya Rais Magufuli kuonekana kuwajali

Bodaboda nao hawapo tayari kuiingiza kwenye UKUTA hasa baada ya baadhi yao kutumia bodaboda kufanya uhalifu.

Wabunge wa UKAWA nao wameapa kutoshiriki kwenye UKUTA na kwamba wapo tayari kurudi Bungeni

Vyama washirika wa UKAWA na ACT nao wamesema hawatashiriki UKAWA.

Ni wapi hasa CHADEMA wamekosea? Hii ni Opersheni ambayo imeshindwa kabla hata haijaanza kutekelezwa.
Unaweza vipi kufanya mazoezi ya kupambana na mtu ambaye ameishashindwa? Jibu unalo! kama huna jibu basi kasome mstari huu utakusaidia sana ... "Mwanadamu mwenye heshima iwapo hana akili amefanana na mnyama apoteaye"
 
Viongozi wa dini wamewaonya viongozi wa CHADEMA juu ya UKUTA

Wasanii nao wamesema No to UKUTA.

Machinga waliokuwa wanawatumia nao wamegeuza kisogo hasa baada ya Rais Magufuli kuonekana kuwajali

Bodaboda nao hawapo tayari kuiingiza kwenye UKUTA hasa baada ya baadhi yao kutumia bodaboda kufanya uhalifu.

Wabunge wa UKAWA nao wameapa kutoshiriki kwenye UKUTA na kwamba wapo tayari kurudi Bungeni

Vyama washirika wa UKAWA na ACT nao wamesema hawatashiriki UKAWA.

Ni wapi hasa CHADEMA wamekosea? Hii ni Opersheni ambayo imeshindwa kabla hata haijaanza kutekelezwa.
hivi Lizaboni we ni kada wa ccm nini, mambo ya kukatisha tamaa humu ndani hayapo kila mtu ana chama chake, Sept 1 lazima tujenge UKUTA
 
Mazoezi ya kulinda Amani, yameanza baada ya kutangazwa kwa UKUTA!
Ndio yameanza baada ya kutangaza UKUTA maana wanywa viroba hamkawii kupora madukani. Na maandamano ya nchi nzima mnataka kupindua serikali? Yani watu wasifanye kazi na viratiba vyenu vya maandamano wiki nzima. Muandamane muone.
 
Wanaccm, salaam!
Hongera sana Mhe Mwigulu Nchemba - waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa kuonesha demo ya kikosi cha Police nchi nzima. Kusema kweli umefanikiwa kuzima mipango na mikakati ya maandamano na mikutano ya UKUTA.

Mie nimefanya minor survey katika vikundi vya vijana ambapo ni ngome za UKAWA kwa kila palipo na vijana 10 saba mpaka 8 wanasema hawataandamana siku hiyo kwa kuogopa nguvu na mkono wa jeshi la police. Huu ni utafiti toka kanda ya ziwa sijui mahali kwingine. Hata hivyo inatakiwa tarehe 30/8 ipigwe demo nyingine kali zaidi na kikosi cha intelligence kiimalishwe kubaini iwapo UKUTA ikikwama nini mipango ya ndani kabisa ya viongozi wa waandamanaji.

Mwigulu, umeonesha umahili ktk ulinzi wa raia na mali zao.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
sasa kama hakuna wanaounga mkono ni kina nani wanaofanyiwa maandalizi ya kuzuwiwa tarehe 1 sept.?
 
Ni matokeo ya utafiti - kila mmoja afahamu kuwa dikupendelea upande wowote kati ya pande zinazovutana.

MUNGU TUBARIKI WATANZANIA
 
Hii study yako imezingatia eneo? Ukubwa wa eneo la watu 50K kisha wajikusanye wote kwa lengo moja muda mmoja? Napata shaka...ila kuna kitu wataalam wa crowd control huwa wana apply kile unalivunja kundi kupunguza nguvu sijui watakikumbuka maana hapo ndio marungu ya "mama mkanye mwanao" huwa yanakuwa kazini kunapigo linaitwa kinetic energy strike na 45 degree usiombe likatua maungoni.
"Tunachohitaji sio wingi wa watu bali watu wenye moyo na maendeleo." Source: Kijiji Chetu.

By the way, kila penye vijana 10, 8 hawapo tayari... assuming 2 wapo tayari! Hiyo ni 20%. Ikiwa mji una vijana 50K, 20% yake ni 10,000 wanaodhaniwa kuwa tayari kkwa UKUTA! Hiyo idadi bila shaka inazidi idadi ya polisi wote nchi nzima. So, mnatakiwa kuhofia hata kama ni vijana 9 kati ya 10 hawapo tayari, bado collection ya jeshi la kijana mmoja toka kila walipo vijana 10 sio jeshi dogo! Mbaya zaidi, huyo mmoja anakuwa tayari kwa lolote!
 
Back
Top Bottom