UKUTA wakosa waandamanaji

UKUTA wakosa waandamanaji

Naona ngoma ya UKUTA imenoga kweli kweli, wale jamaa wengine wanakata mauno kweli kweli huku chadema wakizidi kuchochea fimbo kwenye ngoma ya UKUTA.
 
Naona ngoma ya UKUTA imenoga kweli kweli, wale jamaa wengine wanakata mauno kweli kweli huku chadema wakizidi kuchochea fimbo kwenye ngoma ya UKUTA.
Sowing the seeds of destruction, CHADEMA inachungulia self destruction yenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
View attachment 387990
Sasa ni dhahiri, CHADEMA fahamu zimeanza kuwarudi.

UKUTA si utabomolewa, bali utalipuliwa kwa gharama yoyote ile.

Ukimya wa Rsis Magufuli katika suala la maandamano ya tarehe moja umeanza kuwatia kiwewe CHADEMA.

Rais alishatoa tamko la kuzuia hayo maandamano na kuonya vikali juu ya kupoteza muda kwa mambo yasiyo ya msingi kwa maendeleo ya Watanzania.

Viongozi wa CDM wakaishia kusema maandamano yako pale pale, na wengine kama Lissu kumtukana Rais.

CHADEMA wametaka kukaribishwa Ikulu kwa maongezi, hawajafanikiwa.
Wameomba kupatanishwa kupitia Msajili wa vyama, kimya.

Kuna miaka ya nyuma ati serikali ilibezwa kuwa ni dhaifu, sasa upele umepata mkunaji.
Sasa wenzi wa CDM, UKAWA wanasema wameombwa na wana Dini kurudi bungeni, kimya.

Wakati huo huo jaramba za vyombo vya usalama wakijifua kwa tar1 ziko wazi kila mtu kuziona.
Mbowe amesimuliwa kuwa yupo katika mikakati ya "kualikwa " huko ulaya ili asiwepo nchini tar 1.
Kwa mtaji huu wa matukio sioni jinsi UKUTA kubaki salama,kama hawazioni alama za nyakati.
UKUTA, hautabomolewa kwa kubembelezana, utalipuliwa!
Asiyesikia la mkuu, inaelekea atavunjwa miguu!
 
Viongozi wa dini wamewaonya viongozi wa CHADEMA juu ya UKUTA

Wasanii nao wamesema No to UKUTA.

Machinga waliokuwa wanawatumia nao wamegeuza kisogo hasa baada ya Rais Magufuli kuonekana kuwajali

Bodaboda nao hawapo tayari kuiingiza kwenye UKUTA hasa baada ya baadhi yao kutumia bodaboda kufanya uhalifu.

Wabunge wa UKAWA nao wameapa kutoshiriki kwenye UKUTA na kwamba wapo tayari kurudi Bungeni

Vyama washirika wa UKAWA na ACT nao wamesema hawatashiriki UKAWA.

Ni wapi hasa CHADEMA wamekosea? Hii ni Opersheni ambayo imeshindwa kabla hata haijaanza kutekelezwa.
 
Viongozi wa dini wamewaonya viongozi wa CHADEMA juu ya UKUTA

Wasanii nao wamesema No to UKUTA.

Machinga waliokuwa wanawatumia nao wamegeuza kisogo hasa baada ya Rais Magufuli kuonekana kuwajali

Bodaboda nao hawapo tayari kuiingiza kwenye UKUTA hasa baada ya baadhi yao kutumia bodaboda kufanya uhalifu.

Wabunge wa UKAWA nao wameapa kutoshiriki kwenye UKUTA na kwamba wapo tayari kurudi Bungeni

Vyama washirika wa UKAWA na ACT nao wamesema hawatashiriki UKAWA.

Ni wapi hasa CHADEMA wamekosea? Hii ni Opersheni ambayo imeshindwa kabla hata haijaanza kutekelezwa.
Kama imeshindwa vitisho vya nini mkalale.
 
Serikali kuweni makini,fuatilieni vijana mitandaoni wanaochochea na kutia utambi wa jambo kama huyu lizaboni.
Huyu anachochea jambo litokee
 
Sasa mazoezi yote ya nini? Si msubiri? Mpaka mnaua Polisi wasio na hatia ili kupata sababu ya kuuzuia UKUTA!
fujo4.jpg
 
Hakuna mjinga atakayeshiriki maandamano yasiyo na tija kwa maendeleo ya nchi yetu.
 
Back
Top Bottom