mwandeko
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 286
- 120
mazoezi yakupolwa silaha?Jeshi lolote duniani hufanya mazoezi. Askari wasiyo na mazoezi duniani sidhani kama wapo.
mazoezi yakupolwa silaha?Jeshi lolote duniani hufanya mazoezi. Askari wasiyo na mazoezi duniani sidhani kama wapo.
mkuu alishasema wananchi wawaogope polisMBONA POLISI WAMESHA ANDAMANA NCHI NZIMA KUTANGAZA UDIKTETA WA MAGUFULI NA RAIA WAMEMCHUKIA SANA KWA KITENDO HCHO NDIO MAANA ASILIMIA 99.9 RAIA WENGI WALIFURAHIA KUUAWA KWA POLISICCM
Kuanzia Rais mwenyewe anaongea kishabiki tu. Amekosa busara na hekima kabisa huyu Rais. Hata hajui ni wakati gani aongee nini yeye lolote linalokuja kinywani mwake ni kuachia tu.Nchi inaongozwa na ushabiki
tulia ccm tunajitambuaHaya ahsante, nenda sasa ukafanye kazi! Rais alisema hakuna maandamano ili watu waachwe wafanye kazi ila nikashangaa kuwaoneni ninyi uvccm mnasahau agizo la rais la kufanya kazi eti nanyi mfanye maandamano ya kumpongeza rais, mmesikia wapi kazi zimeisha kwa mafanikio mpaka muandamane kupongeza? Waambie na wenzio wakafanye kazi, ahsante!
Table round is very gud way for finding reconciliation...Unajua unacho wakilisha? Nani kakwambia ni watu wachache? Amani soup kukaa kimya.
Unaweza kukubomokea hata ww mkuu...bora ubomoke tutulie
Waapi,?Hizo dalili umeziona Wewe, labda dalili za kwenda nanihiii
Wameomba mazungumzo???Jiulize kwa nini jpm hataki kuwasikiliza wapinzani ili ukuta usitishwe