UKUTA wakosa waandamanaji

UKUTA wakosa waandamanaji

Ni sawa kwani hakuna mtu anayelazimishwa kuandamana kama anaona mambo kwake yanaenda sawa. Hao watu wa huko si ndio hao wanaokopwa mazao yao na serekali na wanalipwa jinsi viongozi wanavyojisikia na hawana lolote la kufanya. Hao waache waendelee hivyohivyo maana wote wakiwa wajanja itakuwa shida hata kuwaongoza. Waambie waendelee kuvuta shuka ndugu wabakie kusema maendelea yanapelekwa moshi tu.
 
Ngalikivembu

What did you expect of such area??
Ileteracy/semi illiteracy almost 99 percent
Ungefanya survey Mbeya, Arusha, Kili, Dar, Iringa etcs etc
Hiyo yako Siyo representative

Hatuhitaji Rubuma Au mikoa 20 ifanye hiyo Kitu kuita. Even one is enough!!
...looh, bwana interested observer kwani usipo support upinzani unakuwa illiterate.
 
Wanaccm, salaam!
Hongera sana Mhe Mwigulu Nchemba - waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa kuonesha demo ya kikosi cha Police nchi nzima. Kusema kweli umefanikiwa kuzima mipango na mikakati ya maandamano na mikutano ya UKUTA.

Mie nimefanya minor survey katika vikundi vya vijana ambapo ni ngome za UKAWA kwa kila palipo na vijana 10 saba mpaka 8 wanasema hawataandamana siku hiyo kwa kuogopa nguvu na mkono wa jeshi la police. Huu ni utafiti toka kanda ya ziwa sijui mahali kwingine. Hata hivyo inatakiwa tarehe 30/8 ipigwe demo nyingine kali zaidi na kikosi cha intelligence kiimalishwe kubaini iwapo UKUTA ikikwama nini mipango ya ndani kabisa ya viongozi wa waandamanaji.

Mwigulu, umeonesha umahili ktk ulinzi wa raia na mali zao.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Duh! We badala kumshauri au kusaidia kuwafichua wahalifu hasa wanaoua Polisi (Majambazi) Unahangaika na UKUTA. Okay vijana na wananchi wameogopa na hawataandamana vipi majambazi? Wanahitaji demo ya aina gani?
 
Utafiti mdogo nilioufanya kupitia mitandao ya kijamii na majadiliano na watu ana kwa ana, nimebaini kwamba watu wengi hawafahamu dhamira halisi ya UKUTA.

Suala la UKUTA ni mgogoro wa Katiba na Sheria ya nchi..yaani ili uweze kujua au kubaini Udikteta wa serikali au ukiukaji wa utawala bora na haki za kibinaadamu yakupasa uwe na uwelewa wa kutosha kuhusu SHERIA.

Sasa ninachokiona kwa wafuasi na washabiki wa UKUTA ni watu wasiojua chochote kuhusu sheria iliokiukwa na serikali kuhusu Amri/Maagizo yalioyatolewa kwa vyama vya siasa.

Ukimuuliza mfuasi sheria gani,kifungu gani au Ibara ya ngapi ya katiba ya JMT iliokiukwa?? .Utasikia anakwambia ujamsikia Tindu Lisu.

Sasa ukweli kwamba UKUTA ni kama historia ya wabeba JENEZA waliokua wanapita nalo mtaani,baadae likapokelewa na wakaazi na wapita njia wakielekea makaburini.lakini walipofika makaburini mwenyejeneza hakuonekana

kupelekwa barabarani kwajili ya maandamano ni sawa kubeba Jeneza bila ya kujua ni nani alikufa na ndani ya Jeneza kunanini.

Nawasilisha.
 
Wanaccm, salaam!
Hongera sana Mhe Mwigulu Nchemba - waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa kuonesha demo ya kikosi cha Police nchi nzima. Kusema kweli umefanikiwa kuzima mipango na mikakati ya maandamano na mikutano ya UKUTA.

Mie nimefanya minor survey katika vikundi vya vijana ambapo ni ngome za UKAWA kwa kila palipo na vijana 10 saba mpaka 8 wanasema hawataandamana siku hiyo kwa kuogopa nguvu na mkono wa jeshi la police. Huu ni utafiti toka kanda ya ziwa sijui mahali kwingine. Hata hivyo inatakiwa tarehe 30/8 ipigwe demo nyingine kali zaidi na kikosi cha intelligence kiimalishwe kubaini iwapo UKUTA ikikwama nini mipango ya ndani kabisa ya viongozi wa waandamanaji.

Mwigulu, umeonesha umahili ktk ulinzi wa raia na mali zao.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Unajidanganya!
 
tupe wewe,rais ametumia kifungu gani cha sheria kukataza mikutano ya kisiasa,umetumwa?
 
Jamani tatizo la wanaukawa ni kutaka kusifiwa kila jambo - nimesema huu utafiti unahusu kanda ya ziwa na magharibi. Hbr za huko kwingine tutazipata kwa wakati wake
 
Wanaccm, salaam!
Hongera sana Mhe Mwigulu Nchemba - waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa kuonesha demo ya kikosi cha Police nchi nzima. Kusema kweli umefanikiwa kuzima mipango na mikakati ya maandamano na mikutano ya UKUTA.

Mie nimefanya minor survey katika vikundi vya vijana ambapo ni ngome za UKAWA kwa kila palipo na vijana 10 saba mpaka 8 wanasema hawataandamana siku hiyo kwa kuogopa nguvu na mkono wa jeshi la police. Huu ni utafiti toka kanda ya ziwa sijui mahali kwingine. Hata hivyo inatakiwa tarehe 30/8 ipigwe demo nyingine kali zaidi na kikosi cha intelligence kiimalishwe kubaini iwapo UKUTA ikikwama nini mipango ya ndani kabisa ya viongozi wa waandamanaji.

Mwigulu, umeonesha umahili ktk ulinzi wa raia na mali zao.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Nonsense
 
Vaa tisheti yako ya UKUTA kama nyumba yako kubwa tembea toka chumba kimoja mpka kingne hakuna haja ya kwenda mtaani na kuleta shda hata ukiwa kwako utakua umeshiriki au wataka onekana Luningani? Twaweza kukuona ila ukiwa umebakiwa na Meno mawili tuu au taya limevunjwa kbsa...ni wewe mwenyewe kuchagua
 
Mbona Polisi wanaandamana kila siku hata kabla ya Sept 1?. Kila wanapopita watu wanaulizana," nini hicho!". Utasikia mwenzake anajibu ,"UKUTA huo shosti". Yaani ni UKUTA, UKUTA, UKUTA kila mahali....... Vijana wakaandamane kufanya nn tena??
 
UKUTA imeungwa mkono na watu wa aina zote. wa kwanza ni jeshi la polis kwa kuandamana kila mkoa huku wakifanya mazoezi....
 
Uhalisia wa hili jambo ni kua, vyombo vya Habari ndivyo vinavyolikuza.

Ukipita mitaani UKUTA inazungumzika kama habari nyingine zinazosikika na kujadiliwa kwa wingi, ila sio kama jambo ambalo litatendeka katika uhalisia.

Napata fikra labda kuna faida medias zinapata ukilinganisha na madhara ambayo yatatokea endapo jambo husika litafanyika.

Kwa muda sasa wanaghabari wetu wamekua wakipenda kutoa habari zinazovutia masikio na sio habari chanya.

Tabia hii haina madhara ya kuonekana kwa haraka moja kwa moja lakini yapo madhara makubwa sana ya muda mrefu kama haitaachwa.

Ni ombi langu kwa vyombo vya habari kujitahidi kutuletea habari zenye lengo la kujenga umoja na kulinda usalama wa nchi ili kuharakisha maendeleo yetu badala ya kuwa mashabiki wa habari zenye kuvutia kwa muda mfupi.
 
Uhalisia wa hili jambo ni kua, vyombo vya Habari ndivyo vinavyolikuza.

Ukipita mitaani UKUTA inazungumzika kama habari nyingine zinazosikika na kujadiliwa kwa wingi, ila sio kama jambo ambalo litatendeka katika uhalisia.

Napata fikra labda kuna faida medias zinapata ukilinganisha na madhara ambayo yatatokea endapo jambo husika litafanyika.

Kwa muda sasa wanaghabari wetu wamekua wakipenda kutoa habari zinazovutia masikio na sio habari chanya.

Tabia hii haina madhara ya kuonekana kwa haraka moja kwa moja lakini yapo madhara makubwa sana ya muda mrefu kama haitaachwa.

Ni ombi langu kwa vyombo vya habari kujitahidi kutuletea habari zenye lengo la kujenga umoja na kulinda usalama wa nchi ili kuharakisha maendeleo yetu badala ya kuwa mashabiki wa habari zenye kuvutia kwa muda mfupi.
Nadhani pccb ifungue jalada kwa wahariri wafuatiliwe nyendo zao inawezekana wanatumika kwa maslahi ya wengine
 
Nadhani wakuu wangetulia kulizungumzia hata upinzani wasingelipambisha moto
 
Back
Top Bottom