Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,360
...nani tena katangaza NDOA.. MamndenyiNdoa za mkeka humu zimezidi,
ndoa gani hakuna hata mwaliko.
Last edited by a moderator:
...nani tena katangaza NDOA.. MamndenyiNdoa za mkeka humu zimezidi,
ndoa gani hakuna hata mwaliko.
nawataja kimya kimya mkuu
nilinde lakini,
cantalisia + rejao.
kongongo + theboss
nangojea hiyo vita kwanza nitaendelea
..duh nimesikia simwambii mtu..vipi washaanza vikao..?
Hahahaha.... nawe kwa kiherehere...khaa! Mboga si nlikuachia hela ukanunue?Ndo nimeshaona, utakula ulikopeleka mboga.
Hapa stori tu kula kwenu
Hivi weye kikongwe mwenzangu Mamndenyi, huyo kongongo ni senior au premium member wa JF?nawataja kimya kimya mkuu
nilinde lakini,
cantalisia + rejao.
kongongo + theboss
nangojea hiyo vita kwanza nitaendelea
Sikujua kumbe kongongo ni a.k.a Kongosho......... khaaa!
Hahahaha......... ulivyo mchoyo hata PM zenyewe unagoma kujibu. Nimekoma kujipendekeza. Ntakubakia hapahapa hadharani.Ananitania huyu babu, hajui mie lile jamaa ni li kijana la shoka?
Twende tukamalizane PM, hapa baba watoto wangu ataona jamani
Mbona una visa hivi?
Na mie ntakuharibia kule kwa nani.