Psalm 103
JF-Expert Member
- Jul 5, 2026
- 1,659
- 2,689
Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo na wevi huvunja na kuiba. Bali jiwekeeni hazina mbinguni, kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi.
(Kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakuwapo na moyo wako Mathayo 6:19-21.
Je, yule mwizi msalabani, ambaye hajaweka hazina. Na wengine waliomwamini watatumia hazina za nani na mioyo yao itakuwa wapi?
Hizo hazina mbinguni zitakuwa na matumizi gani?
Asante!
(Kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakuwapo na moyo wako Mathayo 6:19-21.
Je, yule mwizi msalabani, ambaye hajaweka hazina. Na wengine waliomwamini watatumia hazina za nani na mioyo yao itakuwa wapi?
Hizo hazina mbinguni zitakuwa na matumizi gani?
Asante!