...Uko wapi...

...Uko wapi...

...uko wapi nikuone MOYO wangu utulie.. Preta

...na wewe ungependa kumuona nani..ili MTIMA wako utulie...?


..Jumatatu Njema

ibrahim,zakayo,tomaso na yesu na mungu baba
 
Last edited by a moderator:
jamani me my hezbenda @sobhuza anatumikia ban. popote uliko pokea ki.ss zangu. dedication. miss u by aaliyah!
 
...nitakubali kitu cjafanya...bebi. Preta...ila basi Yaaishe..ila wewe BADILI TABIA...hebu anza sasa Kubadili hiyo tabia yako...

MC mbona Shemeji yangu yuko kwenye line ?
Then anafunguka anaeleweka ?
We kukubali kama umebugi kiayna ukaingia Choo kisicho cha gendar yako, kuna ubaya gani ?
Tena anakwambia funguka myamalize unakausha dwiii !
Mbona mambo madogo hayo Swaiba ?
 
Last edited by a moderator:
MC mbona Shemeji yangu yuko kwenye line ?
Then anafunguka anaeleweka ?
We kukubali kama umebugi kiayna ukaingia Choo kisicho cha gendar yako, kuna ubaya gani ?
Tena anakwambia funguka myamalize unakausha dwiii !
Mbona mambo madogo hayo Swaiba ?

mwambie huyo shem....yani hapa nilipo nime......
380298_460823423934104_100000193506580_88242372_1716543375_n.jpg
......akitokea namla nyama.....
 
..Nakubali kosa...nisamehe bebii..NI SHETANI tu alinipitia...sirudii tena. Preta
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom