...Uko wapi...

Wee huwa hujibu bana
Utadhani wino unaisha, unaniudhi mie.

Ungejua napenda kweli unavyonikaba.

Hahahaha......... ulivyo mchoyo hata PM zenyewe unagoma kujibu. Nimekoma kujipendekeza. Ntakubakia hapahapa hadharani.
 
Mkimwona gfsonwin tafazalini mwambieni eti namsubiri huku mtaa wa 12 mpaka saa 12 jioni ya tarehe 12.

Hakikisheni Kongosho hasomi hii post.
Kongosho miye simo kabisaa.............. anasubiria mavibration yako huyu. Na huko mtaa wa 12 ndiko wapi???? mmmh! isijekuwa cku hizi mmehamia Tanga lolol! tena pale ni karibu kabisa na sokoni so kongosh hutopata shida ya viungo vya kumuekea kwenye maji ya kuoga.

ngoja nitangaze nia na mimi jaman nina one loose electron which needs to be shared, but the pair must have opposite spin so anyone who is interested unakaribishwa.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, siku hizi lazima nijipe dakika kumi za mazoezi ya vibration
Hivi hata yakiwa madogo yanavibrate?

Kongosho miye simo kabisaa.............. anasubiria mavibration yako huyu. Na huko mtaa wa 12 ndiko wapi???? mmmh! isijekuwa cku hizi mmehamia Tanga lolol! tena pale ni karibu kabisa na sokoni so kongosh hutopata shida ya viungo vya kumuekea kwenye maji ya kuoga.

ngoja nitangaze nia na mimi jaman nina one loose electron which needs to be shared, but the pair must have opposite spin so anyone who is interested unakaribishwa.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, siku hizi lazima nijipe dakika kumi za mazoezi ya vibration
Hivi hata yakiwa madogo yanavibrate?

swala hapo ni flexibility tu hata kama ni madogo vibration inakuwepo. usitishwe na minyama hata kwenye sambusa imo hiyo. Lakini tazama huyu babu wa watu Asprin asije akakufia ma dia Kongosho manake kuna mmoja juzi kati kavunjika mguu wa kati kisa mavibration kafungwa POP kabisa alipata sprain.
 
njooo hapa nikuone popote ulipo mtima wa moyo wangu AfroDenzi,

Nitupie ua...nilikumiss sanaaa
 
Back
Top Bottom