...huyo na Jimama lake ..tumuche tu...mie namuombea uzima tu..
....vipi kamanda mia..?ameeen...!
....vipi kamanda mia..?
tupo kamanda... Msalimie sana Preta, pia mfikishie salam zake kutoka kwa Mai Waif Jimama.
umeshaisikia ile nyimbo ya Chidi Benz na Khadija Kopa.....?
..kwani sie tuliachana..?@Badili Tabia..
unajifanya hujui ulichofanyaga eeeeeeh?
...naona hili dongo langu na Preta liveeeee..haya dada@Cantalisia nimekusoma...
mulika mwizi meeen,,,, BADILI TABIA hebu niambie ni nini alikifanya........uwiiiiiiiii......nauwa mtu.....
aisee mi nampenda sana CUTE ila labda sina bahati ya ye kunipenda
pole kwa kumtafuta madame B, ila kaniachia ujumbe nikwambie kuwa ameenda hospital
Niko Nairobi kipenzi changu.
Yani huku sili, silali nakuwaza wewe,
japo vishawishi ni vingi,najitahidi niviepuke ila vikinizidia,Ntakuwa sina jinsi itabidi niingie navyo mkataba.
Nikirudi DSM ntakuletea Popcorn na BaobabSd's.
Ciao..!!!
chonde,chonde my love fanya yote lakini mimba yangu usitoe japo iko kwako,nitaarifu siku utakaporudi nikupokee,ugua pole