Uko wapi.....Nikufate

Uko wapi.....Nikufate

Namtafuta sana Demu mmoja anaitwa Khairati abdalla. Mimi na yeye tulikomana darasa la tano baada ya kukutikana barua yake ndani ya buku la hisabati pale chumbuni. Baada ya Kesi hiyo nilidukuzwa skuli na nikatafutiwa skuli nyengine, nlisikia yuko dar es salaam but sijui nimpate wape Kama atayaona haya maelezo yeye mwenyewe atanijua tu, naomba nimjulishe mimi mwenyewe nipo dar lakini nakutafuta sana
 
Namtafuta sana Demu mmoja anaitwa Khairati abdalla. Mimi na yeye tulikomana darasa la tano baada ya kukutikana barua yake ndani ya buku la hisabati pale chumbuni. Baada ya Kesi hiyo nilidukuzwa skuli na nikatafutiwa skuli nyengine, nlisikia yuko dar es salaam but sijui nimpate wape Kama atayaona haya maelezo yeye mwenyewe atanijua tu, naomba nimjulishe mimi mwenyewe nipo dar lakini nakutafuta sana

Mkuu kiswahili chako kimakaa kama ya watangazaji wa BBC idhaa ya kiswahili
 
ha ha ha utasikia mapunda! Simba !! Sungura !! Kifalu !ngedere !! Swala !! Nguruwe pori!!...

Ha ha ha Munkari.. kuna mwingine bonge yuko mjengon & anaimba kwaya.. ana jina la yule mnyama mdogo lkn bingwa wa kurukia kwenye miti.. Anaitwa nani vleee..?
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha Munkari.. kuna mwingine bonge yuko mjengon & anaimba kwaya.. ana jina la yule mnyama mdogo lkn bingwa wa kurukia kwenye miti.. Anaitwa nani vleee..?
kombaaaaaaaaaaaaaaa !!!! Ha ha ha ha kadudu kanakunywa mnazi haka! Ndo mana muda wote anasinzia tu !!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha Munkari.. heri mie sijasema lol..

ha ha ha yani hako kadudu ni nouma yake minazi tu sijui wanyasa walikuwa wanafikiria nini kuitana majina ya wanyama kiasi hicho ! Kwili mwenzio ukamwiti pundi kwili haki jameni naulizo kudadeko??!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom