Uko wapi.....Nikufate

Uko wapi.....Nikufate

sijambo ma wiii
siku hizi lazima nitizame angani kwani ndiko kuna baraka zangu
na isitoshe nilishakwenda angani nimejua kuna hazina iliyofichika
karibu na wewe angani
My wii kila siku unatizama angani!!! Kunani?!
Hujambo lakini
 
sijambo ma wiii
siku hizi lazima nitizame angani kwani ndiko kuna baraka zangu
na isitoshe nilishakwenda angani nimejua kuna hazina iliyofichika
karibu na wewe angani

Huko kunafaa sana,asante
 
Back
Top Bottom