Uko nchi maskini na bado uko mkoani?

Uko nchi maskini na bado uko mkoani?

Dada mi Arusha ni nyumbani napajua vzr siongei kwa kutania nimetoka huko sio miaka mingi sana, Arusha hamna mazingira rafiki wa wajasiriamali wadogo wadogo kulinganisha na daslam
Kwa biashara nilisikia pia.. unless uuze chakula ambacho ni lazima mtu ale likely mgahawa nk.
Ila duka, utasikia mtoto anaambiwa aende kwa Mangi, Masawe. Wa kuja lazima asitoboe

Wakuja na ajira mtuache tu na mkoa wenu.. naupenda 😂😂
Sema baridi ikija nauchukiaa..
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa taarifa yako life ya mkoani ni tamu mara elfu kuliko dar. Tembea uone namna mikoani watu wanaishi kwa raha bila stress za vyakula visivyo na ladha, usafiri, hali ya hewa mbaya, makelele etc
 
Kwa biashara nilisikia pia.. unless uuze chakula ambacho ni lazima mtu ale likely mgahawa nk.
Ila duka, utasikia mtoto anaambiwa aende kwa Mangi, Masawe. Wa kuja lazima asitoboe

Wakuja na ajira mtuache tu na mkoa wenu.. naupenda 😂😂
Sema baridi ikija nauchukiaa..
Ile baridi ya mwezi wa sita mpaka nane mwanzon dadeq ukienda kuoga unakiosha kichwa baada ya hapo ni mwendo wa nyeto tu maji ya baridi kinoma! Sema Kuna mda namiss Yale maisha ila nkikumbuka tafuka fukara
inabidi nitulie Kwa hawa watoto wa chalamila wanaokula chipsi na kuvaa vibukta
 
Ile baridi ya mwezi wa sita mpaka nane mwanzon dadeq ukienda kuoga unakiosha kichwa baada ya hapo ni mwendo wa nyeto tu maji ya baridi kinoma! Sema Kuna mda namiss Yale maisha ila nkikumbuka tafuka fukara
inabidi nitulie Kwa hawa watoto wa chalamila wanaokula chipsi na kuvaa vibukta
Baridi inaishia sasa, tunashukuru...hapo kati ilikuwa mpk fog aisee. Lazima udate 😂😂

Koti ndefu kama tuko Ulaya 🙌

Ukiwa mzawa sio shida sana bana kwenye ujasi ukilinganisha na wa kuja.
 
Baridi inaishia sasa, tunashukuru...hapo kati ilikuwa mpk fog aisee. Lazima udate 😂😂

Koti ndefu kama tuko Ulaya 🙌

Ukiwa mzawa sio shida sana bana kwenye ujasi ukilinganisha na wa kuja.
😁😁Ngoja nizisake nije kujenga kasri huko...jasiri haachi asili
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanaishi mkoani mashi yao safi kuliko wewe unae hesabu magali na maduka na maghorofa ya watu dar
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa tukijazana wote hapo kwa jiji la Albert si patazama hapo alaf tutashindia kula samaki tu maana kulima hamlimi hapo mnalima lami
 
Uchafu uchafu uchafu.... ukiondoa majalalani sehemu nyingine inayofuata kwa uchafu ni mkoa wa Dar... naked truth
Uchafu,upi unaouzungumzia mkuu,unaweza ukauainisha hapa na Sisi tuujue,tupo hapa kuelimishana sio kuponda au kukashifu mikoa.
Tunasubiri ainisho lako la uchafu wa DSM sote tupate kuujua karibu mkuu tunakusikiliza.
 
😀😀😀Watu wa Dar Magufuli kawajengea flyover na Daraja baharini wanapigia picha na kufanya jogging wanaona watz wengine wajinga

Watoke waende hata Nairobi wapate exposure waache ushamba
Ndio maana mtoa mada alitangulia Ku defend point yake kua Tz yote ni masikini afadhali ya DSM pale ndio Tz ilipo kwa maana ya pesa,exposure, starehe,deals,almost everything you people wanted in this life ukitoa mashamba vyote vipo DSM.mikoani hakufik hata robo kivyovyote hata pop ya DSM ni Kubwa kuliko sehem nyngne yyte
Wengi wa niliowah kuishi nao mitazamo yao kuhusu DSM ni uoga wa maisha wakiamini DSM ni so expensive and they believe kila mtu dar ni tapeli so they have insecurity staying at DSM sidhan kama kuna lingine
DSM unahitaji akili nyingi ugali kidogo .
 
Back
Top Bottom