Uko nchi maskini na bado uko mkoani?

Uko nchi maskini na bado uko mkoani?

Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushamba mzigo, labda tukuulize umefika lini dar na gari la kubebea ng'ombe?
 
Sema mkijaga huku bushi hamna kitu mnaweza fanya zaidi ya story za alfu lela ulela
Maisha,hatukatai ni sehemu yoyote but unaangalia na fursa available, huez kwa sehem tajiri wa mtaa anamiliki million moja,hapo hapawez kua na mzunguko wa hela
Kwa mtu unaye aim higher huez ukawa comfortable na utafutaji,mbn kuna sehemu mikoani zina mzunguko mkubwa wa pesa, hapa we're talking about places ambazo unawekwa mbali na USO wa dunia .hata thinking capacity lazma ipungue akili inakua dormant,you have to stay place yenye iko well interacted kuna fursa zaid ya kumi with basic and important services.
Just imagine unakaa sehemu kufka Mjini tu usafiri changamoto barabara vumbi lami unaiota kama ndoto,and you're expecting to be successful.
Watu wanaridhika na pesa za kula na bia mbili tatu za kuwahonga kina neema na tunsubilege 😁😁 watoto wwmechoka they can't dream about the future shule tu watu ni mzozo imagine 15yrs girl thinking of marriage.
We need new Tanzania, for better future
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wako huko uliko kutaja na maisha yao ni ya uhakika,raha,afya,amani na matumaini zaidi ya wengi walio Dar.
TRUST ME
 
Elimu yako haijakukomboa kabisa kwa bandiko hili unadhihirisha wazi Kariba yako kuwa ni kijana usiejielewa kabisa huna future plan.kwa hyo watu wote watoke Nkasi waishi jijini ili wafanye Nini labda?halafu utakula sembe na hizo chips utaziona wapi!!muwe mnaficha ujinga jamani
 
Pesa inakufanya uji feel comfortable popote

Wazungu wakija Tz wanaenda kukaa porini huko

wana enjoy nature,nyie mnabanana Dar tu
The problem is not about money mkuu,mzungu hawez kwenda pori chaka huko bila sababu ya msingi
Ataenda sehemu kutalii kulingana na kivutio cha utalii

Ataenda pori huko kama ana some research to do au project to establish
Otherwise huo ni uongo mzungu atoke atokako aende kula bats mabonde kuinama na million kadhaa kufanya nn hakuna hata huduma ya chakula since when utasema nature? Nature bila basic and luxurious services? It's rare!
 
Elimu yako haijakukomboa kabisa kwa bandiko hili unadhihirisha wazi Kariba yako kuwa ni kijana usiejielewa kabisa huna future plan.kwa hyo watu wote watoke Nkasi waishi jijini ili wafanye Nini labda?halafu utakula sembe na hizo chips utaziona wapi!!muwe mnaficha ujinga jamani
SidhanI,kama anamaanisha watu wote waje mjini hapana but at least kuwe na improvement ya living standards za watu,watu wanaishi like wako 60's huko
Mbn kuna vijiji viko ndani but pesa iko,watu wanajenga vizuri and wako na exposure ya baadhi ya vitu.
Wewe unafikri kwa hali kama hii utamueleza nn Mdimi wa njombe kuhusu KATIBA MPYA,BANDARI, akuelewe ikiwa hana exposure ya vitu hvyo na anaona havina msaada katika maisha yake?
 
Of,course kuna maisha tofauti sana tena ndani ya Tanzania mja hii hii,Hasa DSM na mikoa mingine a very huge different
last two weeks kuna kijimchongo flani hv nlikua assigned kuja kufanya huku country side.

1.The place ni totally bush,no social services at all na ikipatkana ni kwa ubora hafifu sana yani F grade.

2.Mwamko wa kibiashara upo chini sana licha ya fursa zinazopatikana.

3.Huduma za chakula ni mbovu kabsa migahawa ya kuhesabika,chakula kbovu,usafi ni zero na ukarimu kwa mteja.
just imagine kijiji kizima menu ya chakula ni wali maharage,ugali maharage no dagaa,wala udambu udambu mwngne mapishi ni 0.Asubuh hakna chapati ni maandaz tu magumu,tasteless,mafta mengi.

Kama hapa nlijtahd sana kudodosa kwa ka binti kamoja of course kana jitahd kupka,usafi,and everythng katokea pwani so atleast kaleta mapish tofauti bt wachache ndo wanakula due to facts that;
chai ikiwekwa viungo kama iriki,mdalasini na karafuu wakazi wanasema unaweka dawa hawaji.
huku kula nyama ni mthani sahau,Bwana Ng'ombe anachinjwa mara moja kwa wik au anaweza asichinjwe kabisa wazee wa liqour with soup huku mmeisha.
Cha ajabu mgahawa wowote ule hata uwe mbaya vp haukosi TV ndani,hauna TV hauuzi hili nime experience kpnd ambacho TV ya binti ilikua imeharibika wateja wakiingia wanatoka na kuambizana hana TV twend sehemu nyngne dah,inafurahsha na hapo wanaagza ugali maharagwe au wali maharagwe bt wanataka wa buy time mgahawani kwa masaa kadhaa wakiangalia TV badala ya kula na kusepa kupisha space kwa watu wengine wapate huduma.

3.Watu wa huku ni wachafu totally ile totally yan si wanaume wala wanawake.Matumizi ya vyoo ndo usiseme wako disqualified wanafaa wachimbiwe vya shimo.

4.Pombe wanajtahd kunywa 24/7 bt humo bar ni harufu ya uvundo you can't enjoy the liqour,
Waitress ni wachafu kabsa yaani,hawakupi hamasa ya kuendelea kuwepo hapo unasema bora nirud lodge bdo the same situation mtu limekuja na rafk yake kila mtu kachukua rum yake ucku yakmalza kuzagamua yanaanza kuitana kwa sauti yani ni walevi hovyo.They ain't civilized at all.

5.Huku vijana wa tano wote wanamfuata demu mmja at the same time kila mtu anajipigia pande.Nkachoka kabisa

6.Ukiwa mgeni,unajulikana and people wanakushangaa kama wameona mzungu maana kijiji ni kidogo mno bt wanajtahd kuchangamkia watu wapya.Kuna ka U VIP flan una experience.

7.Maduka hayana mpangilio humo humo,Nguo,mahtaji ya nyumbn,hardware,vyakula,pombe humo humo.

8.Huku Uzinzi ni general order maana baridi ni kali sana had ukiingia bar unakuta jiko la mkaa ndani kwa ajil ya wateja.

9.Huku upend uspend utajfunza mother tounge yao maana kiswahili ni kama second language huku.

10.Mtandao haukamati ni only TIGO ,other networks mpaka upande juu ya mti huduma za kifedha/ki benki hakuna ni cheche .

All in all dada wa lodge amekua mkarimu sana kwa kunipatia jiko la moto mara zote niwapo lodge na maji moto ya kuoga bila kusahau binti wa mgahawa kwani amekua aknpkia extra food tofaut na wateja wengne wamesaidia sana katika my existence huku.
But Tanzania hii hii kuna watu wapo nyikani,bt wana enjoy maisha yao bila stress na wana amani tele, just
waiting for the project to finish up so i can move out my testicles here.
NB.magari ni ya kusubiri kwa ratiba wakuu,
Nawasilisha kutoka mkoa wa njombe ndani ndani kijiji cha kidegembye wao wanapaita (SUPERMARKET).
Uchafu uchafu uchafu.... ukiondoa majalalani sehemu nyingine inayofuata kwa uchafu ni mkoa wa Dar... naked truth
 
Uchafu uchafu uchafu.... ukiondoa majalalani sehemu nyingine inayofuata kwa uchafu ni mkoa wa Dar... naked truth
😀😀😀Watu wa Dar Magufuli kawajengea flyover na Daraja baharini wanapigia picha na kufanya jogging wanaona watz wengine wajinga

Watoke waende hata Nairobi wapate exposure waache ushamba
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi hicho, 2010,nina degree yangu nipo kazini Mwanza,nimepewa, nyumba gari nk, kulikuwa, na jamaa nakutana nae kila, nikienda, kituo cha mafuta kujaza bouwzer, akawa ananiambia, nifanye biashara ya kupereka mafuta ya, taa,petrol kwenye visiwa vya ziwa Victoria, akaniambia, hiyo biashara inalipa sana, nikawaza nikaona huyu Dogo anazingua, nani afanye biashara ya mateso vile, wakati nipo kwenye ajira Nina cruza mkonga ya ofc,saaaafi.
Baada ya mwaka mmoja, nikakutana na Yule Dogo, anaendesha Nissan patrol short chassis, akasema ametoka kuinunua juzi.
Nikamuuliza kwa pesa gani, akasema ileile ya kupereka mafuta visiwani,harafu anakuja na dagaa wa kusafirisha kwenda Dar!
Fast forward Leo!!
Jamaa ana mkwanja mreefu, mie bado nipo ajirani,na mvi zimeanza,
Hata kuonana nae, naogopa kwa gap aliloniacha,
Fulsa zipo kila mahari bro! Sio dar tu!!
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo ya kitumwa kabisa
 
Back
Top Bottom