Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Vavene Jomba, hulongu.Mapembelo vhavene
Makete sijawahi fika though mzazi mmja ana asili ya huko kwa babu zake but huduma zote zinapatikana I never heard about them complaining be in makete.
Mwisho wa mwaka inabd nipate trip na mm kwenda huko kwa kina Binamu .
Huko hadi hotel zipo hapa wakinga hawajazingua kinachotafutwa kkoo na kule knaenda makete kama uswiswi tu![]()
Mimi nipo Dar es Salaam nina miaka zaidi ya 10 sijaenda Njombe.
