Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,699
- 4,902
Angeweka wazi kuwa wawe wanatembelea mjini ila sio kuishi kama alivyosema mkuuSidhanI,kama anamaanisha watu wote waje mjini hapana but at least kuwe na improvement ya living standards za watu,watu wanaishi like wako 60's huko
Mbn kuna vijiji viko ndani but pesa iko,watu wanajenga vizuri and wako na exposure ya baadhi ya vitu.
Wewe unafikri kwa hali kama hii utamueleza nn Mdimi wa njombe kuhusu KATIBA MPYA,BANDARI, akuelewe ikiwa hana exposure ya vitu hvyo na anaona havina msaada katika maisha yake?

tuendelee kukaa mikoani
